Yaan kumbe ndogo kwa kuendekeza umalaya, pombe, na show off zisizo na msingi? Narudia kusema 2.4m ni nyingi sana.Pesa ni ndogo ukiwa nayo mkuu ila kama umesugua benchi miaka 4 upo ground zero full of stress unaunga unga hela za udalali elfu 10-20 tena kwa tabu sana usiongee hivyo mzee!
Trust me hela ndogo sana kama unaishi maisha makubwa tayari upo kwenye mfumo kimsingi hela haijawahi tosha. Utataka upange jumba la laki 4 uende bar kila weekend na kumiliki crown jini mafuta huku wategemezi lukuki hela lazma uone ndogo maana company yako unakuta wanakunja 4m au zaidi
Kwa mnywaji soda na biskuti labda😅 ila kama unaijua bata na utajiingiza humo basi jua ni ndogo mno.Yaan kumbe ndogo kwa kuendekeza umalaya, pombe, na show off zisizo na msingi? Narudia kusema 2.4m ni nyingi sana.
Hela ni nyingi hiyo tena sana, tuache kudanganya hapa lol.Sio hela nyingi kihivyo ila inatosheleza basic needs. Utaishi comfortably kama huna wategemezi wengi.
Ngoja ratiba za viwanja zianze hata viposho Kwa wazazi vinakata kuwatumiaYaan kumbe ndogo kwa kuendekeza umalaya, pombe, na show off zisizo na msingi? Narudia kusema 2.4m ni nyingi sana.
Bado hujakopa kuagiza crown😅 utashangaa figur inayoingia mfukoni ni 1.2mHela ni nyingi hiyo tena sana, tuache kudanganya hapa lol.
Jaman 2.4m ni nyingi sana, khaaah wee. Achen show off zenu bhana.Unachosema sikupingi mkuu na ndicho nilichomueleza cocastic hiko kitu kuwa anaiona nyingi kwa sababu yupo nje ya mchezo ila akiingia dimbani hizo rates ataziona za kawaida sana tena hazitatoshea kabisa.
Hela sjui ikoje kiongozi...!
Ewura unatakiwa uhamie sio uombe kazi huko😅Achana na EWURA wengine hata hatujisumbui kuomba ajira huko
Mkuu ukiingia hapo hata for 5 yrs tu tayari we ni mtu mwengineKabisa kabisa my dear kuna watu wanavuta mpunga mrefu sana juzi kuna position ilitoka Ireland Embassy nikamtumia sister aombe aisee, jamaa waliweka na salary yao kabisa per annum, tulivyokuja kuigawa tukakuta kwa mwezi salary anayotakiwa kulipwa ni almost 9m my lovely.
Acha kabisa my dear...!
Sasa kuhalisia ni nyingi, ila anasa zinafanya iwe ndogo.Kwa mnywaji soda na biskuti labda[emoji28] ila kama unaijua bata na utajiingiza humo basi jua ni ndogo mno.
Huko mtu kukunja 10M ni kawaida sana yani! Napenda sana kazi za NGO ila kupata sasa ndio ishuMzee mimi mwanzo nilikuwa napewa hizi info ila nilikuwa siamini lakini baada ya kuingia kwenye hizi kazi za International Organizations nimeamini kweli kuna watu wanavuta mpunga kiongozi.
Acha kabisa mkuu...!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Ngoja ratiba za viwanja zianze hata viposho Kwa wazazi vinakata kuwatumia
Unahamiaje Kule hata transfer vacancy hawatangazi au una njia nyingine ya kutusaidia ya KUHAMIA kule EWURA?Ewura unatakiwa uhamie sio uombe kazi huko[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ni show off hizo.Bado hujakopa kuagiza crown[emoji28] utashangaa figur inayoingia mfukoni ni 1.2m
wenzio wote wanatembelea Dualis we utakubali utembee kwa mguu? Yani hao walioitwa Dodoma baada ya kuingia kitengo 50% lazma watachukua mikopo ya magari kupunguza machungu ya ukata!😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ni show off hizo.
Mkuu baki ulipo tu mzee acha sie twende kwanza utapata muongozo baadae😂 au kama una Million 10 nipe nikufanyie kazi.Unahamiaje Kule hata transfer vacancy hawatangazi au una njia nyingine ya kutusaidia ya KUHAMIA kule EWURA?
Hamna kitu kama hicho mzeeStay tuned wiki ijayo kuna mzigo mwingine wa zile ajira 32,000
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeh sana.wenzio wote wanatembelea Dualis we utakubali utembee kwa mguu? Yani hao walioitwa Dodoma baada ya kuingia kitengo 50% lazma watachukua mikopo ya magari kupunguza machungu ya ukata![emoji28]
Mzigo huo[emoji3][emoji3]Mkuu baki ulipo tu mzee acha sie twende kwanza utapata muongozo baadae[emoji23] au kama una Million 10 nipe nikufanyie kazi.
Kazi nzuri ikiwa inalipa vizuri huwezi kujihisi kama unachoshwa sana.Shida ya wabongo wamekariri ajira ni za serikali tuu,wanaogopa kwenda kushinda a nje ya Nchi nk
Ila to be honest organization za Nje wanalipa vizuri sana ila lazima upige Kazi kweli kweli hakuna janja janja.
Jaman 2.4m ni nyingi sana, khaaah wee. Achen show off zenu bhana.