Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Shida ya wabongo wamekariri ajira ni za serikali tuu,wanaogopa kwenda kushinda a nje ya Nchi nk
Ila to be honest organization za Nje wanalipa vizuri sana ila lazima upige Kazi kweli kweli hakuna janja janja.
Sure brother hakuna janja janja ukipita umepita kweli na mpunga utakaovuta mwenye Masters yake kwenye utumishi wa umma anasubiri mkuu.