cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kikubwa kuwa mpolee utajua kila kitu.Shukrani kwa taarifa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa kuwa mpolee utajua kila kitu.Shukrani kwa taarifa mkuu
Huenda wanarudisha.maana watu kama 🇺🇸 embassy wanarudisha,iweje hao wasirudishe mkuu?Ila sijajua hawa jamaa wa UN wakikuita kwenye interview halafu ukaishia practical au oral sijui wanaku-refund gharama zako za usafiri na hotel itabidi nipate mtu nijue kuhusu hilo coz position ipo Kibondo huko na mimi nipo Chuggah aisee.
Ulisikia wapi mkuu?Nilisikia n 35m
Mie bado bado kidogo, ila soon ntakua ktk kundi la watafutaji.Sure my dear huwa unaziomba sasa my...?
Nna kuna mtu namfahamu yuko kitengo fulan ndo aliwahi nambia kuwa MD wa coca anakula 35m, tena hapo niliuliza nipate uhakika maan nilibishan na mwenzang yee akanambia anakula 30m sasa sikuamini, maan niliona ni nyingi mnoo.Ulisikia wapi mkuu?
Kwani chuo ulishamaliza?
Huenda wanarudisha.maana watu kama 🇺🇸 embassy wanarudisha,iweje hao wasirudishe mkuu?
vijana mnashindwa kuelewa hao walibugi step ya kuajiri ewura hairuhusiwi kuajiri parmanent yenyewe kama yenyewe mnajisumbua bure ajira zinatakiwa zitangazwe psrs hichi ndio chombo kinachoajiri wafanyakazi wa serikaliHizi ajira zilitangazwa tangu mwezi August 2021 hadi sasa vijana hatujaitwa kwenye interview wala hakijulikani kinachoendelea.
Kila tukiuliza tunaambiwa Mh. waziri wa nishati ,January makamba hajatoa kibali cha ajira. Sasa kwanini nafasi zilitangazwa na watu wakaomba?
Tunaomba mamlaka zinazuhusika kuifuatilia jambo hili na inawezekana EWURA iliajiri kimya kimya bila interview kufanyika kwa kuwachukua Watoto wa vigogo na kuwapa ajira.
Kila tukifuatia HR wa Ewura kupitia simu namba 0783-335-800 Anajibu majibu ya ajabu kwa kusema hakuna ajira wakati alitoa tangazo la ajira.
Rais samia tunakuomba angalia Ewura kwa jicho la karibu malalamiko ni mengi mno.
Na tayari Sekretariet ya ajira imetangaza ajira zaidi ya 700 kufikisha idadi ya ajira 2100..Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf?
======
#HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia Suluhu Hassan kuajiri vijana 1,000 zaidi ya idadi ya awali.
TRA ilipewa kibali cha kuajiri vijana 1,100 hata hivyo Rais Samia aliongeza idadi ili kuotoa msukumo mpya wa ukusanyaji mapato.
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Samwel Tanguye ameiambia Daily News Digital kuwa idadi ya watumishi wengine wa TRA wataajiriwa hivi karibuni. TRA sasa inafikisha idadi ya watumishi 5000.
Alisema katika ajira za TRA vijana takribani 66,000 walituma maombi na baada ya kuchujwa kulingana na vigezo vijana 13,800 waliitwa kwenye usaili na 8,586 ndio waliofika kwenye usaili uliofanyika Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar.
Imeandaliwa na Idd Mwema
Mkuu mbona kama uko kwenye kitengo unakula maisha[emoji16][emoji16] tupe michongo basiNa tayari Sekretariet ya ajira imetangaza ajira zaidi ya 700 kufikisha idadi ya ajira 2100..
Bado kuna maswali Kuhusu ufanisi wa Mama kuupiga mwingi?
Mkuu,Na tayari Sekretariet ya ajira imetangaza ajira zaidi ya 700 kufikisha idadi ya ajira 2100..
Bado kuna maswali Kuhusu ufanisi wa Mama kuupiga mwingi?
Kama una hela nunua ardhi saizi,Samia akiwa Madarakani kuanzia 2025 bei ya ardhi itakua juu na italipa kabla ya kuja mgalatia wa roho mbaya.Mkuu,
Kiukweli mama anaupiga mwingi mpaka unamwagika,naona anarudisha legacy ya JK katika ajira..
Dip.ni zaidi ya 1.3 grossWanalipa Tsh ngapi watu wajiandae kununua sabufa
Vumilieni next week kuna zingine zaidi ya 30,000 zinakuja hasa walimu,madaktari na manesi..Mkuu hii haisaidii, kama walifikisha 50% na wakafaulu oral ni halali yao, binafsi nilipata 49.5% najua huu haukuwa wakati sahihi ila natambua upo wakati sahihi na nitapata kirahisi sana.
Kwahiyo kukunja sijui huyu Baba yake nani sijui nani haina msaada, focus katika hizo 1,000 zijazo jipange vizuri huenda ikawa zamu yako na yangu but for now fungua moyo wabariki wengine nawe utabarikiwa.
Samahani kama hotuba hii itakukwaza.
Utawapa posho za hapa na pale.Ubaya wa kufanya kazi TRA ni mmoja tu watu wanakuoverate una pesa nyingi ngoja ndugu na jamaa wasikie utajuta hayo matatizo
Mkuu acha tu..Kama una hela nunua ardhi saizi,Samia akiwa Madarakani kuanzia 2025 bei ya ardhi itakua juu na italipa kabla ya kuja mgalatia wa roho mbaya.
Mark my words.
Ni kawaida ya maisha kutafuta greener pastures zaidi kwa sababu the high income high expendituresUnaiona nyingi coz upo nje ya game my lovely ila anayechukua hiyo 2.3m sahizi anatafuta sehemu nyingine inayolipa pesa zaidi ya hiyo mkuu. Acha tu...!
Mbona BOT wanaajiri wao kama wao na wao inakuaje mtumishi wa BOT apiti utimishi wa Umma..vijana mnashindwa kuelewa hao walibugi step ya kuajiri ewura hairuhusiwi kuajiri parmanent yenyewe kama yenyewe mnajisumbua bure ajira zinatakiwa zitangazwe psrs hichi ndio chombo kinachoajiri wafanyakazi wa serikali
ewura naona walivyoona wamebugi wakaa kimyaaa kama sio wao
note ajira zote za taasisi,agency,mamlaka kasoro vyombo vya ulinzi na usalama ajira zote ni psrs(public service recruitment secretariat)
narudia ilo tangazo lilikua linadirect mtu apply ewura moja kwa moja kitu ambacho hakiwezekan sijui mnaalewa ajira za ewura zinatakiwa kutangazwa na utumishi vijana eleweni
Omba upya tangazo limetoka la ajira zaidi ya 700Aaah ndio nimeona hapo .. Lakini wamesema wameajiri 1453.. Kwa hiyo ukitoa 2100 zinabaki kama 600+
Mimi pia nilipata 49.5 .. Was Very Close
Spesho kesi,hata Tanapa wanafanya wenyewe .Mbona BOT wanaajiri wao kama wao na wao inakuaje mtumishi wa BOT apiti utimishi wa Umma..
Story za vijana wanaomaliza chuo hao, ukija mchek miez 6 toka alivyomaliza chuo utamuonea huruma.