Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Kwa kweli darling tuzidi kukaza na kila kitu kitakuwa sawa dear...!

Hapa napambana kujaza application ya UN nione itakuwaje bado almost page 1 au 2 tu nimalize my dear, please pray for me mammy...!

❤️
Mungu wako unaemuamini akutangulie mkuu
 
Kwa kweli darling tuzidi kukaza na kila kitu kitakuwa sawa dear...!

Hapa napambana kujaza application ya UN nione itakuwaje bado almost page 1 au 2 tu nimalize my dear, please pray for me mammy...!

[emoji3590]
Usijar nakuombea sana baddy, lazima ufanikiwe tyuuu. [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
 
Duh.wako vizuri

Ila sijajua hawa jamaa wa UN wakikuita kwenye interview halafu ukaishia practical au oral sijui wanaku-refund gharama zako za usafiri na hotel itabidi nipate mtu nijue kuhusu hilo coz position ipo Kibondo huko na mimi nipo Chuggah aisee.
 
Ila sijajua hawa jamaa wa UN wakikuita kwenye interview halafu ukaishia practical au oral sijui wanaku-refund gharama zako za usafiri na hotel itabidi nipate mtu nijue kuhusu hilo coz position ipo Kibondo huko na mimi nipo Chuggah aisee.
Napenda shirika la kimataifa opportunity ya kubula mipaka n simple tyuuu, yaan ukiwa mjanja unasepa Bongo mazima.
 
Back
Top Bottom