Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha simple uki ya target vizuri.

Kabisa kabisa my dear kuna watu wanavuta mpunga mrefu sana juzi kuna position ilitoka Ireland Embassy nikamtumia sister aombe aisee, jamaa waliweka na salary yao kabisa per annum, tulivyokuja kuigawa tukakuta kwa mwezi salary anayotakiwa kulipwa ni almost 9m my lovely.

Acha kabisa my dear...!
 
Ewura wanafanya mchakato wao wa ajira wenyewe na hazipitiagi utumishi mbona..kwaio kuna uwezekano ilishafanyika
Kwa tangazo hili tunaiomba iweke majina ya walioitwa kwenye usaili wazi. Kuna harufu ya Rushwa
 

Attachments

Mliokuwepo jikoni kwenye kitengo Cha reseni.
Naombeni kujua.
Reseni inachukua siku ngapi kutoka
 
Kabisa kabisa my dear kuna watu wanavuta mpunga mrefu sana juzi kuna position ilitoka Ireland Embassy nikamtumia sister aombe aisee, jamaa waliweka na salary yao kabisa per annum, tulivyokuja kuigawa tukakuta kwa mwezi salary anayotakiwa kulipwa ni almost 9m my lovely.

Acha kabisa my dear...!
Yaan pesa zipo bhana, further tyuu kuipata.
 
Kuna mtu nipo nae ofisini ni Technical Assistant analamba 2.4m ila kuna nafasi ameomba ya 3.6m per month ndio anaskilizia interview hapa mamiii...!

[emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anataka pakubwa zaidi lol.
 
Back
Top Bottom