wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Sawa fogo, endelea kushusha vitu.Navisubiri hapaFogo then barikiwa unatafuta huruma ya ma admin.
Njoo nikufire kenge wewe.
Huwa naamini Kuna KUSAMEHE ila KISASI NI HAKI YANGU.
Mkundu wako again and again.
Kaa na Mimi MBALI malaya wewe.
#YNWA
Narudia tena. Sijui chochote kuhusu salary kwasababu ni ya watoto.- umeona Sasa tax Officer anaweza kupata rushwa, Ni kiasi gani anachukuwa? hatujui
-ukiuza parachichi mchumo mmoja unapata sh ngapi? na unajua TRA huo mko Ina wafanyakazi wangapi? Na je salary ya tra ambayo unaitumia kukokotoa hizo Hesabu zako Ni salary ya 700k au 2.3M/1.8 M (kwa diploma)?
-hujui chochote kuhusu salary, kwa hiyo hujui hata uko tgs ngapi? Yaani hujawahi kupendishwa Cheo tangu ulivyoajiriwa mwaka2012 kwa ile diploma? Means uko THIS AMBAYO NI 500k
- Je, una Uhakika kuwa hao wafanyakazi wa TRA huo mkoa wote wanategemea salaries, hawana vyanzo vingine eg.mashamba,magari ya biashara, consultancies,maduka?
- Kinondoni tax region? Swali Ni lile like je unaUhakika kuwa hao staff wa TRA Kinondoni wanategemea salary?hawana miradi Kama ww?
Jamaa Yuko halmashauri aliajiriwa kwa diploma Mwaka 2012 ndiyo maana anashangaa kuona watu wanalipwa 2.3M kwa degree ya kwanza,Inferiority complexes
-yaani hujui uko daraja gani?Narudia tena. Sijui chochote kuhusu salary kwasababu ni ya watoto.
Na wewe pia nakushauri ACHANA NA SALARY DO THE SIDE HUSTLE.
KWAHERI
Naomba tuishie hapa.
πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ
Stanford Bridge.-yaani hujui uko daraja gani?
Hakika wokovu umekushukia, enzi zako pangechimbika hapo, nimefurahishwa sana na your response. BravooooAsante sana fogo,we mbabe bana.Barikiwa zaidi.
Na akiambiwa ukweli anapaniki.Tatizo anadhani scale ya mishahara ya huko local govt ndio scale za mishahara sehemu nyingine.Jamaa Yuko halmashauri aliajiriwa kwa diploma Mwaka 2012 ndiyo maana anashangaa kuona watu wanalipwa 2.3M kwa degree ya kwanza,
- Na Kama alianza kwa diploma means alianza na TGS C ambayo Ni 500k, Sasa mkadirie Sasa hivi atakuwa na Salary ya sh ngapi
Hahah utu uzima dawa mkuu.TunabadilikaHakika wokovu umekushukia, enzi zako pangechimbika hapo, nimefurahishwa sana na your response. Bravoooo
SafiiiiHahah utu uzima dawa mkuu.Tunabadilika
- ajitahidi tu kuomba Kazi TRANa akiambiwa ukweli anapaniki.Tatizo anadhani scale ya mishahara ya huko local govt ndio scale za mishahara sehemu nyingine.
100kJamaa Yuko halmashauri aliajiriwa kwa diploma Mwaka 2012 ndiyo maana anashangaa kuona watu wanalipwa 2.3M kwa degree ya kwanza,
- Na Kama alianza kwa diploma means alianza na TGS C ambayo Ni 500k, Sasa mkadirie Sasa hivi atakuwa na Salary ya sh ngapi
-hao Ni wale wa diploma assistant tax management officersWaingie mitaani kutukimbiza madukani
πππ Jomba huyu Ni expert wa mambo mengi mkuu.- ajitahidi tu kuomba Kazi TRA
-au kasoma Sociology? Kwa maana TRA inaajiri Sana Watu wa taxation, Customs,law, Finance, business administration sociology Ni wachache mno mno TRA
Sasa ndani ya miaka 7 sinihela nzuri tu hio mkuu! Na huo mshahara wa kawaida kuna watu kwa mishahara yao anaweza vuta hata 100M mzee ya fasta.
Afisa elimu wa TRA huku anafanya patrol.-hao Ni wale wa diploma assistant tax management officers
Mwenzio mbona kakimbia.[emoji1][emoji1][emoji1] fogo bana,nishakwambia we ni mbabe hakuna anayekuweza.
[emoji1][emoji1] Maisha Ni kuchagua fogo.Mwenzio mbona kakimbia.
Anaogopa ban?
#YNWA
Mwenzio kaogopa ban.[emoji1][emoji1] shusha vitu fogo.
- kwa hiyo afisa Elimu kwa mlipakodi wa TRA anatembelea wafanyabishara wote wa Tanzania?Afisa elimu wa TRA huku anafanya patrol.
Tena analazimisha watu wa vitisho wachukue mashine za EFD.
Na juzi katoka kumaliza masters yake.
Huyu nae ni Diploma?
#YNWA