- umeona Sasa tax Officer anaweza kupata rushwa, Ni kiasi gani anachukuwa? hatujui
-ukiuza parachichi mchumo mmoja unapata sh ngapi? na unajua TRA huo mko Ina wafanyakazi wangapi? Na je salary ya tra ambayo unaitumia kukokotoa hizo Hesabu zako Ni salary ya 700k au 2.3M/1.8 M (kwa diploma)?
- Je, una Uhakika kuwa hao wafanyakazi wa TRA huo mkoa wote wanategemea salaries, hawana vyanzo vingine eg.mashamba,magari ya biashara, consultancies,maduka?
- Kinondoni tax region? Swali Ni lile like je unaUhakika kuwa hao staff wa TRA Kinondoni wanategemea salary?hawana miradi Kama ww?
-hujui chochote kuhusu salary, kwa hiyo hujui hata uko tgs ngapi? Yaani hujawahi kupendishwa Cheo tangu ulivyoajiriwa mwaka2012 kwa ile diploma? Means uko THIS AMBAYO NI 500k