🤣🤣🤣Mwaka mmoja watakuwa wanajua njia zote za panya ngoja uoneAcha kuwafundisha wenzako ujambazi yaani TRA na bandari kwa wezi tu wapo vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mwaka mmoja watakuwa wanajua njia zote za panya ngoja uoneAcha kuwafundisha wenzako ujambazi yaani TRA na bandari kwa wezi tu wapo vizuri
Serikali wanajua wanaenda kuongeza mapato kumbe wanaenda kupunguza mapato vijana wana moto sana mungu asaidie ila hapa kuna dalili za rushwa zishaanza kuonekana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwaka mmoja watakuwa wanajua njia zote za panya ngoja uone
Wameshatoa Nafasi zingine tena Kwa wanaohitaji Kuomba TRAHebu nitafute inbox nikushauri kitu cha msaada sana [emoji1787][emoji1787] maana sio kwa furaha hzo.
Wametoa tena Ajira Nyingine kama 400 hv muda huuLisemwalo lipo...
Inapendeza...Wametoa tena Ajira Nyingine kama 400 hv muda huu
WashatangazaMkuu hivi karibuni zitatangazwa tena lengo ni 2,100 na wamechukua 1,453 kwahiyo bado hizo za kujazia hatujui baada ya hapo itakuwaje?
Nakuona mkuu, shughuli vp lknTRA wametangaza nafasi zingine... wekeni account zenu vizuri kusiwe na vikwazo alafu muombe.
Poa kabisaNakuona mkuu, shughuli vp lkn
Hv ukiachana na kucertify vyeti ni kitu gani muhimu wanakazia sana.. maana jamaa kwa kuwa idadi ya watu ni wengi hvyo petty issue tu inawafanya wakuondoe kabisaPoa kabisa
Kuweka picha, weka cv weka kila kitu yaani ili wakose sababu... namba ya NIDA. Hakikisha accout yako imefika angalau 80%Hv ukiachana na kucertify vyeti ni kitu gani muhimu wanakazia sana.. maana jamaa kwa kuwa idadi ya watu ni wengi hvyo petty issue tu inawafanya wakuondoe kabisa
Mkuu yangu Iko 💯% kabisa.. labda hyo CV ndo sijaweka officially,, but picha ipo na zagazaga kibao.. tena nataka nikacertify vyeti vyangu colored kabisa kama attendants wanashida ya macho basi iwarahisishie kuona😁Kuweka picha, weka cv weka kila kitu yaani ili wakose sababu... namba ya NIDA. Hakikisha accout yako imefika angalau 80%
Good [emoji122][emoji122][emoji122]Mkuu yangu Iko [emoji817]% kabisa.. labda hyo CV ndo sijaweka officially,, but picha ipo na zagazaga kibao.. tena nataka nikacertify vyeti vyangu colored kabisa kama attendants wanashida ya macho basi iwarahisishie kuona[emoji16]
Barua ya maombi usainiHv ukiachana na kucertify vyeti ni kitu gani muhimu wanakazia sana.. maana jamaa kwa kuwa idadi ya watu ni wengi hvyo petty issue tu inawafanya wakuondoe kabisa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]baada ya miez sita utaona ndogooo mkuuuYaani sasa hivi ndo nataka kujua Salary scale hivi TRSA 4 ndo 2.3 mil acheni masihara mbona nyingi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha simple uki ya target vizuri.Kabisa aisee kuna nafasi za madereva zilitoka juzi kwenye International Firm moja hivi nikauliza kwa watu kadhaa nikaambiwa dereva analamba 1.8m can you imagine my dear...?
Connection na further tyuuuh.Ila tatizo kuzipata ndio shughuli my dear, lakini ukishafanikiwa moja tu basi kupata nyingine inakuwa sio issue sana tofauti na ikiwa hujawahi kufanya hata NGO moja kidogo inakuwa ngumu my dear.
Wee 2.3m jaman ni nyingi mnooo. KhaaaahUnaiona nyingi coz upo nje ya game my lovely ila anayechukua hiyo 2.3m sahizi anatafuta sehemu nyingine inayolipa pesa zaidi ya hiyo mkuu. Acha tu...!