Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Wenye stress ni nyie njaa kali ambao kula yenu inatokana na kusifia viongozi.relax bas kijana,
punguza mihemko bana, maana saaa zingine ina madhara kwa afya hiyo, huwa inawakumba sana wenye stress, hivi unadhani ni kwanini iko hivyo?🐒
Ndio maana nakwambia kua mfano wako hauna maana,Huna akili ya kuelewa mfano niliotoa hivyo Hata sishangai kurudi na ujinga ule ule kama awali. Mtoto mgongoni anahitaji msaada achana na hayo ya kuingiliwa kwanza, na tunatofautishaje kuingiliwa na kuulizwa/kushauriwa? Kikubwa ni je kweli Mtoto anaanguka? Au ni mpaka yule anayeruhusiwa kukuingilia atakapokuuliza ndio utageuka kurekebisha kanga iliyomfunga mtoto mgongoni?
damu ya mtu nzito.inatesa kuliko umasikini.Hana Cha kupoteza UMRI wake mkubwa na amesha watengenezea watoto wake pesa za kula kwa maisha yao yote
Chura mpya huyoHuyo ni CHURA wa aina gani anayeweza kuota Mapembe ....!!?
kwa hio unashabikia utekaji naAcha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?
Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
anaupiga mwingiIngawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Hivi yule mtu hatumii kweli Konyagi?Ingawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Freedom of speechIngawa ni Firstpost, ambayo ni ya India, habari ni kwamba kauli zake zimeshavuka mipaka.
View: https://youtu.be/TmbbANwpujQ?si=cjkbHAfI-mvUpAY3
Kama amekereka sana si avunje tu uhusiano wa kidiplomasia na hizo nchi alizozilalamikia au hawezi?Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?
Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
Hakika 🤣.anaupiga mwingi
Hakuna sehemu ambayo nimesema kua nashabikia utekaji au mauaji,wala hakuna mtu ambaye ni timamu anayeweza kushabikia mambo hayo,kwa hio unashabikia utekaji na
mauaji kwa ya raia kwa coment yako hii
Kwa hiyo Tanzania ilipokuwa inazisaidia nchi za kusini mwa Afrika kujikomboa ilikuwa inaingilia internal affairs za nchi hizo?Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?
Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
Nchi haziendeshwi hivyo kijana,ndio maana mpaka leo kuna ubalozi wa Russia US na kuna Ubalozi wa US nchini Russia,pamoja na tofauti zao.Kama amekereka sana si avunje tu uhusiano wa kidiplomasia na hizo nchi alizozilalamikia au hawezi?
Wafukuze hao mabalozi anaowalalamikia
Na yeye kasema watu wameota mikia.Ameota mapembe
Hili swali hata mtoto wa darasa la pili hawezi kuliuliza,hivi nchi ambayo inapigania kujikomboa inakua tayari ina mamlaka kamili?Kwa hiyo Tanzania ilipokuwa inazisaidia nchi za kusini mwa Afrika kujikomboa ilikuwa inaingilia internal affairs za nchi hizo?
Akikujibu nitaggKwa hiyo Tanzania ilipokuwa inazisaidia nchi za kusini mwa Afrika kujikomboa ilikuwa inaingilia internal affairs za nchi hizo?
alikuwepo magufuli hapa na kiburi chake chote.akalala yooooNa yeye kasema watu wameota mikia.
Aanzie wapi? Yeye ndiye anawatuma!! kaishaipata kuwa hapati kura anatafuta kura kwa ncha ya upanga! Hili jini siku zake kwshneySamia ni muoga.anawaogopa wakuu wake wa vyombo vya usalama. Alitakiwa atoe kauli MOJA."wanaohusika na kifo cha kibao wakamatwe wapelekwe mahakamani mkishindwa nitaanza na nyie"
Sasa yeye anawaambia fanyeni uchunguzi. Uchunguzu wagundue nini?ndo maana wenzie wana mdharau mpaka leo hawajampelekea chochote