Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Hawaogopi ila yeye ndio kawatuma. Lakini yeye pia nguvu yake inatoka humohumo.
sasa wanamuharibia nchi.
Wanamchonganisha na wananchi na dunia kwa ujumla.
Huu pole,uoga na ukimya wa wananchi.viongozi wa ccm wqnatakiwa wautumie vizuri.
Wanasema muogope mtu mkimya anayekuogopa .siku akija kutoa ule uoga hayo majeshi yako unayoringia hayatakusaidia kitu
 
Basi hapo mwenyewe unajiona umeweka bonge la point,halafu vilaza hua mna confidence sana,huoni hata aibu kuandika ujinga wa level hii,wewe hata mtu akueleweshe kwa mwaka mzima,huwezi kuelewa,tatizo lako lipo Kichwani,hivi ulienda Shule japo kudogo tu?
Umeishiwa hoja, hakuna hoja yeyote uliyoandika hapa.

Mbio zimekuokoa.
 
Basi hapo mwenyewe unajiona umeweka bonge la point,halafu vilaza hua mna confidence sana,huoni hata aibu kuandika ujinga wa level hii,wewe hata mtu akueleweshe kwa mwaka mzima,huwezi kuelewa,tatizo lako lipo Kichwani,hivi ulienda Shule japo kudogo tu?
Halafu nilikuwa sijaangalia avatar yako, kumbe nabishana na Boko haramu, ndio maana umekomalia Gaza muda wote.
 
USA baada ya jaribio la kwanza la kukatisha uhai wa Trump, mwana mama mkurugenzi wa CIA allijiuzulu, je kwetu nani amejiuzulu? Je, kweli tunalingana nao katika kushughulikia mambo haya?
 
Hivi mpaka leo unaamini kuna kitu kinaitwa haki za binaadamu kwa wenzetu. Kama wanazielewa haki za binaadamu, wangeanzia huko Gaza.

Msidanganyike, wenzetu wanajua interest zao tu na sio haki za binaadamu.
Mkuu

Mbona una vituko namna hii?

Kila nchi ni responsible kwa haki za binadamu za wanadamu wa nchi husika tu na sio nchi ingine

Nchi ingine ni takataka kwa nchi ingine,hivyo uhai wa wanadamu wa nchi zingine ni fair game kuua kama kuku

Israel au Gaza ni responsible kwa haki za binadamu waliopo nchi husika tu...

America ipo responsible kwa haki za binadamu wa wananchi wake tu,wengine nje ya America ni haki kuua kama ilivyo Tanzania ilivyofanya Uganda

Vita kati ya nchi na nchi "inahalalisha" kuua...its wrong na hapo ndio mwanadamu alipofikia kua animal

Samia yupo responsible kwa haki za binadamu za watu wote ambao ni Watanzania na sio Wakenya,cha ajabu yeye ndio wa kwanza kuondoa hizo haki

Ni very strange mtawala ndio wa kwanza kuua wananchi wake binafsi waliompa kura....its unfortunate!
 
Wewe ni punguani kweli,ndio maana unahangaika kuja na hizo ID zako mbili ila akili ni ile ile tu,jaribu kuficha upumbavu wako kwa kukaa kimya.
ID gani mbili ni watu tofauti tunakuona ulivyo
Kizibo, Gaza Gazaaa, mliambiwa mumchokoze Israel

Nenda huko kawasaidie basi Alshabaab mkubwa wewe.
 
Hiki chombo gani? Mtu amekaa sebuleni kwake na ka kamera ndio unaita vyombo vya kimataifa
 
kuna yeyote alielazimishwa kuleta chochote humu nchini kutokea huko kwao?

nadhani msaada zaidi wa fikra mpya na mawazo mbadala, unapaswa kupewa wewe ambae unaewaza kimaskini sana, lakini pia uwezo, ufahamu na uelewa wako mdogo kuhusu masuala haya ya misaada 🐒

hata hivyo,
ni vizuri zaidi ukaacha uvivu na kuwa jasiri, kwasabb Tanzania jamii kua maskini au tajiri ni uamuzi wa mtu binafsi. Nini hakuna Tanzania hata utegemee msaada wa mtu kama sio utumwa mbaya wa fikra dumavu na mgando hizo?🐒
Wewe ni kilaza, tahira a.k.a mjina hakuna asiyekujua
 
Back
Top Bottom