Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Maneno ya Rais Samia yafika kwenye vyombo vya habari vya kimataifa

Wewe ni kilaza, tahira a.k.a mjina hakuna asiyekujua
kwahiyo muerevu akilini mwako umejaza mihemko, ghadhabu na hasira tu, lakini hauna hoja, mawazo mapya, wala fikra mbadala, right?🤣

sasa si unaishi kwa tabu sana maana hizo ni athari za stress 🤣
 
Acha kua na fikra za kitumwa wewe,hakuna nchi ambayo hua inataka kuingiliwa kwenye internal affairs zake.
Hao US si ndio wanatoa silaha zinazoua Wanawake na watoto huko Gaza? kwanini wasijirekebishe wao kwanza?

Sijaongea kwa ushabiki wa kisiasa coz mimi hua sibishani mambo ya kisiasa hapa bali nimeongelea uhalisia.
Wapuuzi sana hao US. Kipindi hiki cha ubabe wa Putin wamekaa kimya wanaangalia namna Ukraine wanavyoteswa na makombora ya Russia na hawana cha kufanya.

Wanaona bongo ni nchi ndogo na balozi wao mara moja anaikosoa serikali ya SSH, aanze kwanza kuikosoa Russia ya Putin inayofanya ubabe kule Ukraine.
 
kwahiyo muerevu akilini mwako umejaza mihemko, ghadhabu na hasira tu, lakini hauna hoja, mawazo mapya, wala fikra mbadala, right?🤣

sasa si unaishi kwa tabu sana maana hizo ni athari za stress 🤣
Sio stress bali huo ndo ukweli kama unaambiwa haya ni mavi na unabisha basi utakua ni tahira

Kama unabisha Tanzania sio nchi inayotegemea misaada basi we utakua ni tahira
 

Attachments

  • Screenshot_20240920_100750_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20240920_100750_WhatsApp.jpg
    111.6 KB · Views: 1
Ajiandae kunyolewa na kisu maana mabeberu yakiamua jambo hayashindwi.Amejitakia kuyakanyaga.mabeberu fanyeni kazi yenu
Kwani jomba ungekuwa wewe ndio Rais ungechukua hatua gani, tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom