Maneno yalikuwa mengi sana, sasa nasubiri muongee

Maneno yalikuwa mengi sana, sasa nasubiri muongee

Street brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2022
Posts
584
Reaction score
767
Daaah, ngoja niteremke moja kwa moja kwenye point,,
Simba alipokuwa cafcl maneno yalikuwa mengi sana, sasa nasubiri muongee na sahivi niwasikie,
NASEMA HADI FA HAMTAPATA YAANI MTAKANDAWA POTE POTE MKIVUKA AZAM FC MNAKUTANA NA MWENYE KUU YA JANGWANI YAANI MTAPOTEANA MPAKA MSEME JINA LA UTOTO LA PROF.NABI
 
Daaah,,,, ngoja niteremke moja kwa moja kwenye point,,
Simba alipokuwa cafcl maneno yalikuwa mengi sana, sasa nasubiri muongee na saivi niwasikie,,
NASEMA HADI FA HAMTAPATA YAANI MTAKANDAWA POTE POTE MKIVUKA AZAM FC MNAKUTANA NA MWENYE KUU YA JANGWANI YAANI MTAPOTEANA MPAKA MSEME JINA LA UTOTO LA PROF.NABI
Unaongea Pumba Kwanza wewe hujacheza na timu kubwakubwa Afrika wakati Simba inabattle na hizo timu.
 
Daaah,,,, ngoja niteremke moja kwa moja kwenye point,,
Simba alipokuwa cafcl maneno yalikuwa mengi sana, sasa nasubiri muongee na saivi niwasikie,,
NASEMA HADI FA HAMTAPATA YAANI MTAKANDAWA POTE POTE MKIVUKA AZAM FC MNAKUTANA NA MWENYE KUU YA JANGWANI YAANI MTAPOTEANA MPAKA MSEME JINA LA UTOTO LA PROF.NABI
Aahasaaaa
 
Unaongea Pumba Kwanza wewe hujacheza na timu kubwakubwa Afrika wakati Simba inabattle na hizo timu.
Umecheza na timu kubwa moja tu, Wydad kule ulipita kwa vitimu kama Nysa Bug bullet ukajiona bingwa sana, ukapita kupitia Vipers, Sasa robo ndio haki yako huko nusu waachie timu kubwa
 
Hayo mashindano ambayo Simba ametolewa kwenye hatua ya robo fainal tena na Widad timu ya pili kwa ubora barani Afrika, ndo hayo hayo ambayo utopolo alitolewa raundi ya kwanza tena na kitimu cha hovyo kutoka kwenye nchi yenye vita.
Punguza muwasho kwenye jicho lako la nyuma wahuni wasije kukushuhgulikia.
 
Hayo mashindano ambayo Simba ametolewa kwenye hatua ya robo fainal tena na Widad timu ya pili kwa ubora barani Afrika, ndo hayo hayo ambayo utopolo alitolewa raundi ya kwanza tena na kitimu cha hovyo kutoka kwenye nchi yenye vita.
Punguza muwasho kwenye jicho lako la nyuma wahuni wasije kukushuhgulikia.
Naona unatafuta hoja ya kupozea kichapo usiku huu
 
Unaweza vipi kusema wewe ni mwanaume wakati kwanza tulikutoboa viwili na saivi una kitumbo soon unajifungua pili umekutana na timu dhaifu huko shirikisho huoni aibu mzee.
 
Kwa hiyo na Bayan alipo tolewa na Man city kwenye UEFA basi Bayan ni timu ndogo sio?
Tatizo unaongea pumba kwahiyo unaounganisha bayern na man cit,,,,,, etihad ni jitu kubwa 🔥🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom