Wajue mwanajeshi akitoka vitani hata kama atakuwa kashindwa, kamwe hawezi kufanana na askari polisi wala mgambo, ukimvimbia unapokea kichapo cha kijeshi.Waombe ule moto itakua mara 3 yake
Wanatakiwa wanyamaze kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajue mwanajeshi akitoka vitani hata kama atakuwa kashindwa, kamwe hawezi kufanana na askari polisi wala mgambo, ukimvimbia unapokea kichapo cha kijeshi.Waombe ule moto itakua mara 3 yake
point ni wewe ulitolewa cafcl hata makundi aukugusa na super cup aupo.Simba kavuka makundi cafcl na super cup yupo.Ooh kumbe hujui lolote kuhusu super cup kaa huko hufai kubishana na mimi
Naomba tukutane nao tuwanyoosheWajue mwanajeshi akitoka vitani hata kama atakuwa kashindwa, kamwe hawezi kufanana na askari polisi wala mgambo, ukimvimbia unapokea kichapo cha kijeshi.
Wanatakiwa wanyamaze kabisa.
Kwa hiyo Simba unaifanisha na Bayern timu ambayo kwenye soka la ulaya ina rekodi lukuki ikiwa ni pamoja na kubeba makombe ya UCL zaidi ya mara 5 imeshacheza cheza fainali mara nyingi tu. Sasa wewe Simba nafasi kubwa ni QF mmetolewa halafu unasema mmeonesha ukubwa ndio mimi nataka kujua mmeonesha ukubwa gani?Kwa hiyo na Bayan alipo tolewa na Man city kwenye UEFA basi Bayan ni timu ndogo sio?
Rage aliona mbali sanaSimba katolewa na bado unasema kaonesha ukubwa? Ukubwa which? How? Who?
Hii ndio faraja pekee mlio baki nayoHayo mashindano ambayo Simba ametolewa kwenye hatua ya robo fainal tena na Widad timu ya pili kwa ubora barani Afrika, ndo hayo hayo ambayo utopolo alitolewa raundi ya kwanza tena na kitimu cha hovyo kutoka kwenye nchi yenye vita.
Punguza muwasho kwenye jicho lako la nyuma wahuni wasije kukushuhgulikia.
Muungwana akivuliwa nguo huchutama. Unachojaribu kufanya wewe ni kumkimbiza aliye na nguo zako. Hakuna point dhaifu kwente mpira kama kusema sijui timu dhaifu na hata kama tukiamua kusema ivyo jilinganishe wewe ulokutana nao kuanxia hatua za mwanzo wale kina Nyassa sijui premeiro de Agosto wakaja kina Vipers mara Horoya then waweke chungu kimoja na aliyenitoa mimi Al Hilal najua moyoni mwako mwenyeww unakiri hawawezi kukaa chungu kimoja hawa. Kwa hiyo hiyo point ya timu dhaifu toa umezidiwa mpira kaa kimya subiri msimu ujaoUnaweza vipi kusema wewe ni mwanaume wakati kwanza tulikutoboa viwili na saivi una kitumbo soon unajifungua pili umekutana na timu dhaifu huko shirikisho huoni aibu mzee.
Asante mkuu hawa jamaaa wanapenda kujisifu wamekutana na timu kubwa kubwa, hebu waje waseme hapa timu kubwa kubwa zipi wamekutana nazo wakafunga mpaka wakafika roboUmecheza na timu kubwa moja tu, Wydad kule ulipita kwa vitimu kama Nysa Bug bullet ukajiona bingwa sana, ukapita kupitia Vipers, Sasa robo ndio haki yako huko nusu waachie timu kubwa
Kweli Yanga hamnazo ...hebu angalia timu tulizocheza nazo hadi kufikia hapa! Kumbuka Simba ipo kwenye 10 ya Africa na Ndio hao wameingia robo fainali !Simba katolewa na bado unasema kaonesha ukubwa? Ukubwa which? How? Who?
Petro ,Horoya ,Raja,Vipers( kiboko yenu)...Asante mkuu hawa jamaaa wanapenda kujisifu wamekutana na timu kubwa kubwa, hebu waje waseme hapa timu kubwa kubwa zipi wamekutana nazo wakafunga mpaka wakafika robo
Wazee wa in and out river united waliwanyumbua vilivyo na round mkafurahi kuwafunga zalan lakn kilichowakuta mnakijua na mpaka muda cjui timu ilyowatoa CAFCL yaan n muda sanaaUmecheza na timu kubwa moja tu, Wydad kule ulipita kwa vitimu kama Nysa Bug bullet ukajiona bingwa sana, ukapita kupitia Vipers, Sasa robo ndio haki yako huko nusu waachie timu kubwa
Naunga mkono hojaDaaah, ngoja niteremke moja kwa moja kwenye point,,
Simba alipokuwa cafcl maneno yalikuwa mengi sana, sasa nasubiri muongee na sahivi niwasikie,
NASEMA HADI FA HAMTAPATA YAANI MTAKANDAWA POTE POTE MKIVUKA AZAM FC MNAKUTANA NA MWENYE KUU YA JANGWANI YAANI MTAPOTEANA MPAKA MSEME JINA LA UTOTO LA PROF.NABI
Kombe la harusi.....Safiiii sanaUkubwa gani kaa apo tukuletee kombe sasa
Kwenye hiyo unayoita top 10 Mazembe wako nafasi ya ngapi ewe Dunduka? Kama Mazembe wamechoka imekuwaje wakawa miongoni mwa timu bora? Wewe hujakutana na timu bora yoyote ile kuanzia hatua za awali, Nyasa nayo ni timu? Umeshinda ugenini mechi moja na Wachovu VipersKweli Yanga hamnazo ...hebu angalia timu tulizocheza nazo hadi kufikia hapa! Kumbuka Simba ipo kwenye 10 ya Africa na Ndio hao wameingia robo fainali !
Sasa utalinganishaje naFC Bamako,Rivers(wanadunfuliza nauli kuja tz)TP Mazembe iliyochoka...Monastery ...Timu pekee mliyoifunga na wanasoka tukaelewa angalau ni Club Africane
Umelooowa. Pole najua hapo ulipo roho inakuuma ile mbaya. Ila na nyie muachage kidomofomo kama mataya wa kwa saloon ya Mama Kimbo, shombo nyiingiHayo mashindano ambayo Simba ametolewa kwenye hatua ya robo fainal tena na Widad timu ya pili kwa ubora barani Afrika, ndo hayo hayo ambayo utopolo alitolewa raundi ya kwanza tena na kitimu cha hovyo kutoka kwenye nchi yenye vita.
Punguza muwasho kwenye jicho lako la nyuma wahuni wasije kukushuhgulikia.
Sawaaaa mnaongea sana mnachukua kombeMuungwana akivuliwa nguo huchutama. Unachojaribu kufanya wewe ni kumkimbiza aliye na nguo zako. Hakuna point dhaifu kwente mpira kama kusema sijui timu dhaifu na hata kama tukiamua kusema ivyo jilinganishe wewe ulokutana nao kuanxia hatua za mwanzo wale kina Nyassa sijui premeiro de Agosto wakaja kina Vipers mara Horoya then waweke chungu kimoja na aliyenitoa mimi Al Hilal najua moyoni mwako mwenyeww unakiri hawawezi kukaa chungu kimoja hawa. Kwa hiyo hiyo point ya timu dhaifu toa umezidiwa mpira kaa kimya subiri msimu ujao