Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
Unaongea Pumba Kwanza wewe hujacheza na timu kubwakubwa Afrika wakati Simba inabattle na hizo timu.Daaah,,,, ngoja niteremke moja kwa moja kwenye point,,
Simba alipokuwa cafcl maneno yalikuwa mengi sana, sasa nasubiri muongee na saivi niwasikie,,
NASEMA HADI FA HAMTAPATA YAANI MTAKANDAWA POTE POTE MKIVUKA AZAM FC MNAKUTANA NA MWENYE KUU YA JANGWANI YAANI MTAPOTEANA MPAKA MSEME JINA LA UTOTO LA PROF.NABI
Kuokoa ulale na kusihi tu usijinyonge ๐คฃ๐คฃ๐คฃUnaongea Pumba Kwanza wewe hujacheza na timu kubwakubwa Afrika wakati Simba inabattle na hizo timu.
AahasaaaaDaaah,,,, ngoja niteremke moja kwa moja kwenye point,,
Simba alipokuwa cafcl maneno yalikuwa mengi sana, sasa nasubiri muongee na saivi niwasikie,,
NASEMA HADI FA HAMTAPATA YAANI MTAKANDAWA POTE POTE MKIVUKA AZAM FC MNAKUTANA NA MWENYE KUU YA JANGWANI YAANI MTAPOTEANA MPAKA MSEME JINA LA UTOTO LA PROF.NABI
Ukubwa gani kaa apo tukuletee kombe sasaMlipigwa ndoige asubuhi tu mkaaga mkutano, hamna timu ya kufika japo makundi klabu bingwa, Simba ameonesha ukubwa wake
Simba katolewa na bado unasema kaonesha ukubwa? Ukubwa which? How? Who?Mlipigwa ndoige asubuhi tu mkaaga mkutano, hamna timu ya kufika japo makundi klabu bingwa, Simba ameonesha ukubwa wake
Umecheza na timu kubwa moja tu, Wydad kule ulipita kwa vitimu kama Nysa Bug bullet ukajiona bingwa sana, ukapita kupitia Vipers, Sasa robo ndio haki yako huko nusu waachie timu kubwaUnaongea Pumba Kwanza wewe hujacheza na timu kubwakubwa Afrika wakati Simba inabattle na hizo timu.
Wanajipa matumaini siunajua inaumaSimba katolewa na bado unasema kaonesha ukubwa? Ukubwa which? How? Who?
Subiri tukuletee kombe ee dsmUzi umeletwa na mtu ambae hana kichwa.๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Hawa watu huwa ni wapuuz sana ngoja nitoe povuwatu wana stress za wydad halafu nawewe unawaongezea pumba zako
Naona unatafuta hoja ya kupozea kichapo usiku huuHayo mashindano ambayo Simba ametolewa kwenye hatua ya robo fainal tena na Widad timu ya pili kwa ubora barani Afrika, ndo hayo hayo ambayo utopolo alitolewa raundi ya kwanza tena na kitimu cha hovyo kutoka kwenye nchi yenye vita.
Punguza muwasho kwenye jicho lako la nyuma wahuni wasije kukushuhgulikia.
Kwa hiyo na Bayan alipo tolewa na Man city kwenye UEFA basi Bayan ni timu ndogo sio?Simba katolewa na bado unasema kaonesha ukubwa? Ukubwa which? How? Who?
Sasa ww siumesema Utopolo ndo wanaume tuambie mlitokaje kwenye mashindano acha uwasho.Naona unatafuta hoja ya kupozea kichapo usiku huu
Tatizo unaongea pumba kwahiyo unaounganisha bayern na man cit,,,,,, etihad ni jitu kubwa ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅKwa hiyo na Bayan alipo tolewa na Man city kwenye UEFA basi Bayan ni timu ndogo sio?
Kwani wanatokajeSasa ww siumesema Utopolo ndo wanaume tuambie mlitokaje kwenye mashindano acha uwasho.