Atlantis Voyager
JF-Expert Member
- Jan 19, 2018
- 371
- 502
Labda angekuwa Burundi kwa maskini wenzenu wasio na akili, kwa US hawasikilizi upuuzi wa kesi za maharage mabovu kama hizo, na wanaweza kuwapiga fine kwa kuwapotezea mudaSerikali haijaamua tu, kumrudisha inawezekana aje a face kesi zake huku
Sawa bwana tajiri mwerevuLabda angekuwa Burundi kwa maskini wenzenu wasio na akili, kwa US hawasikilizi upuuzi wa kesi za maharage mabovu kama hizo, na wanaweza kuwapiga fine kwa kuwapotezea muda
Mpya au ya zamani?Ni kwamba Mange ameshindikana Account yake ya Instagram imerudishwa yuko live.
Mpya au ya zamani?
Ya zamani imerudMpya au ya zamani?
Na wewe kumbe ni miongoni mwa wapuuzi wanaolipa buku kila mwezi ili umwezeshe mpuuzi wa Marekani aendelee kudhalilisha watu?[emoji56][emoji848]
Ni kwamba hujui tu yule ana matatizo ya kisaikolojia... Baba yake mzazi Mzee Kimambi alifumaniwaga Kigoma na mke wa mtu..akapigwa mtungo na mtu 5 na picha akapigwa. Ndo kisa cha yule mzee kujiua. Muulize Mange kuhusu chanzo cha kifo Cha Baba yake uone kama atakujibuNauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
UPDATE: Naishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kusikia Vilio vya wengi juu ya yule Dhalimu mwenye Matatizo ya Akili pamoja na genge lake kwa kufungia Malipo ya App yake, tunaomba iwe Permanent ili Tabia hizo chafu zikomeshwe na isiishie hapo tu, kwa Umoja wetu tufanye maandamano huko Insta ili akaunt yake ipigwe Life Ban.
Unateseka ukiwa wapiNi kwamba hujui tu yule ana matatizo ya kisaikolojia... Baba yake mzazi Mzee Kimambi alifumaniwaga Kigoma na mke wa mtu..akapigwa mtungo na mtu 5 na picha akapigwa. Ndo kisa cha yule mzee kujiua. Muulize Mange kuhusu chanzo cha kifo Cha Baba yake uone kama atakujibu
Wewe na werevu wako hizo buku buku ulizomnyima zimekufikisha wapi?🤣🤣🤣Na wewe kumbe ni miongoni mwa wapuuzi wanaolipa buku kila mwezi ili umwezeshe mpuuzi wa Marekani aendelee kudhalilisha watu?[emoji56][emoji848]
Ni kwamba hujui tu yule ana matatizo ya kisaikolojia... Baba yake mzazi Mzee Kimambi alifumaniwaga Kigoma na mke wa mtu..akapigwa mtungo na mtu 5 na picha akapigwa. Ndo kisa cha yule mzee kujiua. Muulize Mange kuhusu chanzo cha kifo Cha Baba yake uone kama atakujibuNauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
UPDATE: Naishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kusikia Vilio vya wengi juu ya yule Dhalimu mwenye Matatizo ya Akili pamoja na genge lake kwa kufungia Malipo ya App yake, tunaomba iwe Permanent ili Tabia hizo chafu zikomeshwe na isiishie hapo tu, kwa Umoja wetu tufanye maandamano huko Insta ili akaunt yake ipigwe Life Ban.
Nikiwa kitandani na mama yako..nateseka kumkojoleshaUnateseka ukiwa wapi
[emoji1787][emoji1787]
Story zile zile kumhusu mange hakuna mpya wanazosema [emoji38]wanateseka kweli sio masiharaUnateseka ukiwa wapi
Watu wanajiona wao watu wa maana[emoji38][emoji38][emoji38]yaani wabongo kigezo Cha umakini ni kutomfatilia mange[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]Wewe na werevu wako hizo buku buku ulizomnyima zimekufikisha wapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuku wa mayai wewe.