jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 441
Wcb wanamlipia shule sio bei mbaya shilling million tatu tu kwa mwaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudadadek Gademit 😀😀😀Mange ana followers milioni 5.
Mimi kwenye page yangu ya kufundisha watu ufugaji wa nguruwe nina followers 27.
Bongo nyoso.
Mhhhh kamba....Wcb wanamlipia shule sio bei mbaya shilling million tatu tu kwa mwaka
Wewe heshimu hilo jina.[emoji34][emoji34][emoji34]Kama namuona bi hamisi anavyochekelea saivi
Wit nothing ni uongo pale...kuna mengi watu hawayasemi kuogopa tu kupata dhambi ila dozen ni mchicha mwiba!Yaaan ni noma!
Kama ni kweli hizi ndoa hizi[emoji848][emoji848]
Nafikiri wanaweza wakawa wanalingana ktk mahusiano au dozen ndo b mkubwa!Kumbe wameanza muda? Mie sikuwahi kuwaza hata
Ila tu jamaa huo uinnocent wake ulikuwaga unanipa mashaka kiaina
Hapo bibie inabidi ajifanye haoni tu
Nchi ngumu sana hii
Bora uke wenza hata wangapi ila me mwenziwe!loohh!unanyonya mafii!Wanaume wenye pesa ukiona hana skendo yoyote ya kuwa na wanawake wa pembeni chunguza sana
Sasa sijui bora kipi
Kuwa na mke mwenza au mume mwenza?
Yule yuko kimaslahi mnoo pale,kusomeshewa feza mdogo wake,kuishi maisha mazuri sana ya sifa maana ana kauhaya yule na kumaintain status ila kiukweli hana amani ya nafsi"anafurahisha shetani wakati kiti anaumia"Imagine this!
Andunje chenyewe full mashauzi kama nini, ila deep down ukikaangalia unakaona kabisa hakana furaha kabisa!
Huwa nakumbana nako occasion mbalimbali kama misiba, harusi ukikakuta live huwa hakana amani wala raha full stress...ngoja aingie insta sasa[emoji854]
Jf bila hizi habari itakuwa haijakamilika....Na wew unaleta habari za mange kimavi apa ?? Ukute wazazi wako wanakutegemea uwe baba wa watoto na uwatunze wazazi
Nimeamini nyani haoni kundule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wew unaleta habari za mange kimavi apa ?? Ukute wazazi wako wanakutegemea uwe baba wa watoto na uwatunze wazazi
Page yako inaitwaje mkuuMange ana followers milioni 5.
Mimi kwenye page yangu ya kufundisha watu ufugaji wa nguruwe nina followers 27.
Bongo nyoso.
Hivi mtu anawezaje kuandika "atakama"!!!???
Huko insta ndo naonaga mashauzi yakeYule yuko kimaslahi mnoo pale,kusomeshewa feza mdogo wake,kuishi maisha mazuri sana ya sifa maana ana kauhaya yule na kumaintain status ila kiukweli hana amani ya nafsi"anafurahisha shetani wakati kiti anaumia"
DuuuhWit nothing ni uongo pale...kuna mengi watu hawayasemi kuogopa tu kupata dhambi ila dozen ni mchicha mwiba!
vp jicho lipo salama?Tuko naye hapa anasomea Degree ya Medicine!
mwamba kajitoa ufahamu! hiyo couple hakika imedumu muda mrefu pamoja na vikwazo vingi kama Afganistani.Duuuh