Mange Kimambi: Paula Kajala hajaenda Uturuki kusoma, anafanya kazi Airbnb

Mange Kimambi: Paula Kajala hajaenda Uturuki kusoma, anafanya kazi Airbnb

Nimeamini nyani haoni kundule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Proof hii hapa kwenye uzi wako[emoji116][emoji116][emoji116]

Library reveals.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kajaa haswa hiyo app yake ataweka taarifa za uongo zionekane exclusive atachafua watu sana
Binti yuko darasani.
IMG_20211108_201035.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki anachofanya Mange kinaitwa Cyber bullying.
 
Imagine this!

Andunje chenyewe full mashauzi kama nini, ila deep down ukikaangalia unakaona kabisa hakana furaha kabisa!

Huwa nakumbana nako occasion mbalimbali kama misiba, harusi ukikakuta live huwa hakana amani wala raha full stress...ngoja aingie insta sasa[emoji854]
Hahahaah
 
Imagine this!

Andunje chenyewe full mashauzi kama nini, ila deep down ukikaangalia unakaona kabisa hakana furaha kabisa!

Huwa nakumbana nako occasion mbalimbali kama misiba, harusi ukikakuta live huwa hakana amani wala raha full stress...ngoja aingie insta sasa[emoji854]
Social media kuna fake life sana [emoji1787]kila mtu katusua

Kila mtu anaenda vacation Dubai kazi anazofanya hazijulikana
 
Bongo nyoso kweliiii.

Hawa ndio mastaa wetu ambao tunasema ni vioo vya jamii. Lakini their life is fake to the ground.


[emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487][emoji3488][emoji3487]

Paula is an innocent beautiful little girl. Ila anakuwa let down na watu wazima. Na nnamuita little girl sababu she is the same age as my daughter Cassandrah.

Jamani Paula wala hasomi huko uturuki. Wamemuweka kwenye apartment za Airbnb. Mtoto ana kazi ya ku-hangout tu kwenye viwanja vya starehe. Wabongo wanamuona tu kwenyw restaurants. Hakuna cha chuo wala nini.

I think ni vile mtoto wa Mona alivyopelekwa chuo nje ikabidi tu wamuondoe Paula Dar ila ili watu wasiongee. Paula sio mwanafunzi wa chuo chochote huko Uturuki.

Paula hana makosa ni mtoto, ila hana tu watu wakumuongoza. Kweli mtoto wa 19 years unampeleka nchi ya nje unambwaga kwenye furnished apartments anaishi tu peke yake no shule no nothing ? Hayo maisha atayakimu vipi? Si ndo atajikuta anaingia kwenye maisha mengine?

Walichokosea Uturuki kuna watanzania wengi sana. Na wote wanajuana. Wangempeleka nchi haina watz habari zisingerudi kwa dada wa taifa [emoji24][emoji24][emoji24]


Mbususu si yake nyie mnapata shida gani.Mwacheni dogo atoe apendavyo na hata kale kamtandao aruhusu network
 
Mnyakyusa Raymond anachapiwa na ada atatoa
Acha wamfaidi, uchi kala sana sasa acha na yeye agharamie shule. Hii inaitwa kula na kulipa.

Wanachapiwa watu wake zao wanaowagharamia kila kitu na wanagharamia familia zao, kuchapiwa kupo tu.
 
Hii mbona kama photoshop?
Ukiangalia hiyo picha vizuri ni kama imekua edited
Kuna video clip, hata ingekuwa hasomi kweli they couldn't go to that extent ya kudanganya kwa kutumia photoshop images, that can easily be exposed.
Kuna video clips You Tube hata hiyo nimekutana nayo huko, mimi sina IG wala FB accounts. Ipo clip yupo class mpaka lecturer anamuita jina ni kwamba aliipost na hizi online TV channels zikaichukua na kuirusha.
Mange ameingizwa chaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom