Manyara: Simanjiro walia kwa uhaba wa mvua, mifugo 62,500 imekufa

Manyara: Simanjiro walia kwa uhaba wa mvua, mifugo 62,500 imekufa

Mm imetimiza wajibu wangu nimepanda ekari 100 ndani ya miaka 7
 
Mm imetimiza wajibu wangu nimepanda ekari 100 ndani ya miaka 7
duh hongera sana kwa hilo na uendelee kwa moyo huo huo
Hapa hapa Tz tuna misitu mingapi ya kupandwa??
 
So serkali ilete mvua ,

USSR
Tumia akili yako ,kutafakari kama binadamu mwenye utashi!
Ni aibu kama Taifa kuwa mvua imechelewa mwezi.mmoja tu,tunapoteza mifugo ya Mabilioni!Inatakiwa tujiongeze kuwa na malishonyanayoendana na idadi ya mifugo
Aidha ni lazima tujiandae na uhaba wa mvua!
Kwa Nini yuwe naifugo amabayo uwezo was kuilosha unategemea kudra ya Mnyazi Mungu!
Wataalam wetu Wana fanya nini!
 
So serkali ilete mvua ,

USSR
Tujikumbushe kidogo

Halafu USSR hebu jiulize tu serikali ilifanya nini baada ya hizi taarifa za mwaka jana halafu uje uulize hili swali lako [emoji848][emoji848]
IMG_20220114_193547.jpg
IMG_20220114_193601.jpg
 
Na sio mmasai tu wafugaji wakubwa wote ng'ombe kwao ana thamani sana,kuna mzee alitaka kujinyonga kipindi cha kiangazi maana anaona mifugo inakufa tu
Mimi nawajua wawili wamedata kwa mifugo yao kufa...leo nimeshuhudia ngombe wanne wakianguka karibu na mgodini,yani ukiwa mwajanga mpka swala nazo zinakufa....watu wakimbiza swala au digidigi kwa miguu na kumkamata
 
Hebu toa pendekezo au Ushauri nini kifanyike.
Serikali itenge maeneo makubwa ya ufugaji,kama Morogoro,Iringa,Kiteto,Muheza ,Kigoma,na Rukwa na Kagera.Then ianzishe kilimo cha nyasi za malisho...zizalushwe kitaalam.ili zisaidie wakati was ukame au kiangazi.
Hapohapo uzalishaji was vyakula vya kisasa vya mifugo usisitizwe ...mfano,kutumia mashudu ya alizeti!
Na hii i3nde sambamba na wakulima.kufuga ng'ombe Kwa tija! Sinkuwa na makundi makunwa ya mifugo Hulu wanakula vumbi!
Haakuna lisilowezekana Kiongozi!
Tatizo tumekaa tunafanya porojo bila kufikiria kesho!
Majuzi nimeshuhudia kijijini huko Monduli Masai anatembeza ng'ombe Bei ya kuanzia elfu 40,000(Elfu arobaini)ilhali.miezi 3 iliyopita Ng😱mbe kama huyo alikuwa anuzwa kuanziq laki sita!
Tuna tatizo kubwa kama Taifa!
 
Mimi nawajua wawili wamedata kwa mifugo yao kufa...leo nimeshuhudia ngombe wanne wakianguka karibu na mgodini,yani ukiwa mwajanga mpka swala nazo zinakufa....watu wakimbiza swala au digidigi kwa miguu na kumkamata
kwa mguu wapi huko aisee
 
Serikali itenge maeneo makubwa ya ufugaji,kama Morogoro,Iringa,Kiteto,Muheza ,Kigoma,na Rukwa na Kagera.Then ianzishe kilimo cha nyasi za malisho...zizalushwe kitaalam.ili zisaidie wakati was ukame au kiangazi.
Hapohapo uzalishaji was vyakula vya kisasa vya mifugo usisitizwe ...mfano,kutumia mashudu ya alizeti!
Na hii i3nde sambamba na wakulima.kufuga ng'ombe Kwa tija! Sinkuwa na makundi makunwa ya mifugo Hulu wanakula vumbi!
Haakuna lisilowezekana Kiongozi!
Tatizo tumekaa tunafanya porojo bila kufikiria kesho!
Majuzi nimeshuhudia kijijini huko Monduli Masai anatembeza ng'ombe Bei ya kuanzia elfu 40,000(Elfu arobaini)ilhali.miezi 3 iliyopita Ng😱mbe kama huyo alikuwa anuzwa kuanziq laki sita!
Tuna tatizo kubwa kama Taifa!
Elfu 40 dah hiyo hasara lazima upagawe
 
View attachment 2080443
Mifugo 62,593 imekufa wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa kukosa maji na malisho kutokana na ukame. Kati ya mifugo hiyo;

Ng'ombe - 35,746
Kondoo - 15,136
Mbuzi - 10,033
Punda - 1,670

======

Hali ya ukame inayoendelea wilayani Simanjiro mkoani Manyara imesababisha mifugo mbalimbali ikiwemo ng'ombe, kondoo, mbuzi na punda kufa.

Simanjiro. Mifugo 62,593 imekufa wilayani Simanjiro mkoani Manyara kutokana kukosa maji na malisho baada ya ukame kuvikumba vijiji mbalimbali katika wilaya hiyo.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Sendeu Laizer ameyasema hayo Januari 13 kwenye kikao cha baraza la madiwani wa Halmashauri hiyo.

Sendeu ameitaja mifugo hiyo iliyokufa kuwa ni ng'ombe 35,746, kondoo 15,136, mbuzi 10,033 na punda 1,670.

Amesema katika kipindi hiki hali ya mifugo katika maeneo mengi ya Simanjiro siyo ya kuridhisha kutokana na uhaba wa maji na malisho.

Amesema ufuatiliaji na ukusanyaji wa taarifa za vifo vya mifugo kutokana na athari za ukame unaendelea katika vijiji vyote.

"Hali hii imesababisha baadhi ya mifugo kufa na wafugaji wengi kuhama na kurundika katika maeneo machache yenye maji na malisho," amesema Sendeu.

Mbunge wa jimbo la Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema kutokana na ukame huo jamii nyingi zimeingia kwenye umaskini kutokana na mifugo yao kufa.

Ole Sendeka amesema kwa sababu ya ukame uliopo nchini baadhi ya wafugaji wamehamisha mifugo yao nje ya nchi ili zipate malisho.

Diwani wa kata ya Naisinyai, Taiko Kurian ametoa ombi kwa Serikali kuruhusu mifugo kuingia ndani ya ukuta wa madini ya Tanzanite ili kupata malisho.

"Mifugo ni benki ya jamii za kifugaji sasa inapokufa kwa ukame inakuwa tatizo tunaiomba Serikali iruhusu mifugo kuingia ndani ya ukuta wa madini ya Tanzanite kwani haitadhiriana," amesema Taiko.

Simanjiro yapitisha Sh25.2 bilioni

Wakati huo, madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro wamepitisha rasimu ya mpango wa bajeti ya Sh25.2 bilioni kwa ajili ya mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Ofisa mipango wa halmashauri hiyo, Heri Kuria amesema bajeti hiyo imelenga kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya elimu, afya, maji na miundombinu.

Amesema katika bajeti ya 2022/2023 halmashauri hiyo itatekekeleza miradi mbalimbali na katika bajeti hiyo itaongeza ujenzi wa madarasa ya shule za msingi 20, shule mpya ya sekondar na kituo cha afya.
Shida ya hawa ndg zetu wao wanaona kuwa na mifugo/ngo'mbe mingi ndio utajiri mkubwa . Yaani kuna mmoja amesoma mpaka degree na ni mtumishi Ila kwake mifugo tuu ndio Dili Hana mpango hata wa kujenga kajumba Ka kuishi. Yeye akili yake inawaza ngo'mbe tuu
 
Serikali itenge maeneo makubwa ya ufugaji,kama Morogoro,Iringa,Kiteto,Muheza ,Kigoma,na Rukwa na Kagera.Then ianzishe kilimo cha nyasi za malisho...zizalushwe kitaalam.ili zisaidie wakati was ukame au kiangazi.
Hapohapo uzalishaji was vyakula vya kisasa vya mifugo usisitizwe ...mfano,kutumia mashudu ya alizeti!
Na hii i3nde sambamba na wakulima.kufuga ng'ombe Kwa tija! Sinkuwa na makundi makunwa ya mifugo Hulu wanakula vumbi!
Haakuna lisilowezekana Kiongozi!
Tatizo tumekaa tunafanya porojo bila kufikiria kesho!
Majuzi nimeshuhudia kijijini huko Monduli Masai anatembeza ng'ombe Bei ya kuanzia elfu 40,000(Elfu arobaini)ilhali.miezi 3 iliyopita Ng😱mbe kama huyo alikuwa anuzwa kuanziq laki sita!
Tuna tatizo kubwa kama Taifa!
Ndugu tupo kwenye Ubebari sio kila kitu Serikali umeona fursa hiyo itumie...Nenda TIC waambie nataka kuwekeza nataka Ardhi...Kwa kuanzia unatakiwa uwe $100,000/-
Serikali iweke Mazingira mazuri ya kuwekeza basi.
 
Shida ya hawa ndg zetu wao wanaona kuwa na mifugo/ngo'mbe mingi ndio utajiri mkubwa . Yaani kuna mmoja amesoma mpaka degree na ni mtumishi Ila kwake mifugo tuu ndio Dili Hana mpango hata wa kujenga kajumba Ka kuishi. Yeye akili yake inawaza ngo'mbe tuu
Duh
 
Ndugu tupo kwenye Ubebari sio kila kitu Serikali umeona fursa hiyo itumie...Nenda TIC waambie nataka kuwekeza nataka Ardhi...Kwa kuanzia unatakiwa uwe $100,000/-
Serikali iweke Mazingira mazuri ya kuwekeza basi.
hizo si ni dollar hizo [emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom