Hv nimeona taarfa kuw askar wa jwtz wanaanz ukoz kesho mean ukoz bado hakuw seriously na kwann kesho waazianze leo inaama majesh hayana utayr

Tangu lini jeshi la Tanzania likawa na utayari?. Wao wapo tayari kujazwa Zanzibar kutishia watu kipindi Cha uchaguzi. Ila kwenye majanga Kama haya huwezi waona mpaka wabembelezwe
 
Mv bukoba waokoaji walitoka afrika kusini
Tz kwenye mambo ya uokozi sifuri
Kabisa

Ova

Hata hili janga itabidi tuwaombe wamisri au Africa Kusini waje kutusaidia. Si unaona polisi baadala ya kuokota nao wamejificha kwenye paa.
 
Mambo ya Natural disaster tunachanganya na siasa, tunaharibu kabisa, majanga ya namna hii si ya kuibeza serekali kwani huweza kutokea popote pale, na huwa nje ya uwezo wa akili na sayansi zote za kibinadamu.
 

Kwenye hili serikali Ina lawama kabla ya maafa na baada ya maafa. Kabla ya maafa serikali lazima ijue maeneo hatarishi hasa kipindi hiki Cha mvua na kuwaondoa raia na pia serikali imeshindwa kutumia hata chopa haraka kuokota hata wale ambao wangesalimika mapema.
 
Kwa hiyo huko ujerumani uchina na California ambako mafuriko hutokea wote ni wa HOVYO, ndio maana tunasemaga upinzani ni takataka hawana akili.

Upinzani unaingiaje hapa?. Halafu acha kulinganisha China au California na takataka ya CCM.
 

Acha tu! Serikali za kinafiki Kama yetu zinaboa Sana. Nadhani ni muda Tanzania ipate Prince Johnson wa kwake, ili tuheshimiane huko mbeleni
 
Ni aibu kwa kwa mkuu wa Nchi kuendelea kula raha kwenye Hotel ya nyota tano, huku Nchini lipo janga lililowakumba Wananchi.

Dunia kote, hata Viongozi wa Mataifa yaliyoendelea Viongozi wao huguswa na janga lolote liwalo kwenye Mataifa yao. Na hata kama wapo safarini hurejea mara moja kuungana na wanao waongoza.

Ni aibu kwa Samia kuendelea kula raha Uarabuni huku kule Hanang Wananchi baadhi wameangamia kwa janga la asili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…