Hv nimeona taarfa kuw askar wa jwtz wanaanz ukoz kesho mean ukoz bado hakuw seriously na kwann kesho waazianze leo inaama majesh hayana utayr
Mv bukoba waokoaji walitoka afrika kusini
Tz kwenye mambo ya uokozi sifuri
Kabisa
Ova
Kwa namna walivyosimana kwenye paa na kwa jinsi wanavyoangalia hawana tofauti na wahanga wa hilo tukio.
Pole kwa wote waliokumba na maafa na wapumzike kwa amani waliotutangulia. 😢😢😢
CCM ni takataka kabisa
tuko busy na waliomwaga drip kwanza.yanihii habari sijaiona kabisa.kwanini vyombo vyahabati havijaipa airtime yakutosha namapicha kama yoteee?
Ilaa taarifaa sio sahihi sisi uku tumeshuhudia watu said 100. wakifariki mnasema 17.
Serikali mpaka Sasa imesema imeshachukua HATUA Gani?
Wanamtafuta aliyefungulia mafuriko ya matope huko milimani, kwani kuna shida hapo?
Tupige kazi watanzania.
Hela za vifaa vya uokozi ndio hizo wanapewa wenza wa viongozi wastaafu.Halafu hata vifaa vya uokozi hawana.
Unauliza swali la kijinga na kipumbavu Kwa kuwa hujui hata maana ya serikali na majukumu yake..!!
Upangaji wa makazi unafanywa na watu binafsi au na serikali?
Ina maana wewe hujui kuwa serikali ndiyo yenye jukumu la kuzuia watu kuweka makazi ktk maeneo hatarishi hata kabla ya maafa.?
Lakini kinachofanyika ni nini? Ni serikali kutoa vibali vya ujenzi hata katika maeneo ambayo inajua fika kuwa ni hatari Kwa maisha ya watu..!
Si hivyo tu, bali pia ni jukumu la serikali kuhakikisha inajenga miundombinu ya kuzuia mafuriko...
Lakini hebu nenda na angalia kwenye miji yetu mingi. Mambo yako hovyo hovyo sana, watu wanajijengea nyumba hovyo, hakuna mifereji ya kupitisha maji mengi...
Ukitaka kujua hatari inayokuja, nenda ktk mji wa Mwanza uone namna watu wanavyojijengea hovyo na kwenye maeneo hatarishi huku mamlaka za serikali zinazohusika na mipango miji zikiangalia tu...
Kwa hiyo, ni kweli Kwa kiasi kikubwa serikali inastahili kulaumiwa Kwa uzembe na kushindwa kuwajibika hata kutokea Kwa maafa haya..!!
Ni mudslide au mud flowHiyo ni landslide! Volcano ni mlipuko wa matope ya moto na landslide ni maporomoko ya mlima uliozidiwa na maji kutokana na mvua!
Kwa hiyo huko ujerumani uchina na California ambako mafuriko hutokea wote ni wa HOVYO, ndio maana tunasemaga upinzani ni takataka hawana akili.
‼️Naweka kumbukumbu‼️
Machi 2023 Serikali kupitia kamati ya maafa ilipeleka msaada Malawi kufuatia maafa ya kimbunga Freddy
Msaada ulikuwa:
👉🏽Tani 1000 za unga wa mahindi (Tani 90 kutokea Dodoma na Tani 60 Iringa kuingia Malawi kila siku)
👉🏽Mablanket 6000, na mahema yasiyopungua 50
👉🏽gari la wagonjwa(Ambulance)
👉🏽karakana ya magari inayotembea(mobile workshop
👉🏽 malori makubwa ishirini yenye uzito wa tani 30
👉🏽 malori 10 yenye uzito wa tani zaidi ya kumi na nane(18)
👉🏽 Helikopta mbili
Katesh vipi mmeona hata ambulance huko?
@TZWaziriMkuu mpo?
#TutaelewanaTu lakini
Duh update zinasikitisha 49 wengi sana
Hela za vifaa vya uokozi ndio hizo wanapewa wenza wa viongozi wastaafu.
kwamba tope lote lile limeflow bila kuwa na landslide???kuna tofauti ya landslide na mudslide/mudflow. Hiyo ni mudslide mzew wa kula tunda kimasihara