Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
- Thread starter
- #61
Hera. X Hela √Ashukuru hera za UVIKO..mkopo zingekuwa kodi za kukusanya angekuwa analia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hera. X Hela √Ashukuru hera za UVIKO..mkopo zingekuwa kodi za kukusanya angekuwa analia
Kumbe ni mikoa yote 26 duuu, Mama anachapa kazi kwelikweliMbona hilo suala la kujengwa shule ni kwa mikoa yote 26 zitajengwa hebu njoo na kitu tofauti bro
ndugu zangu baba yetu wa Taifa alituasa ubaguzi ni sawa na kula nyama ya binadamu mwenzio. haya mambo ya ubaguzi yalianza kipindi cha mwendazake. Zimeanzishwa kauli za kibaguzi hasa anashabikia Majaliwa za kibaguzi eti "MAENEO YA KIMKAKATI" ubaguzi ni kuwa wanajenga hoja za kibaguzi kuwa kuna sehemu za nchi hii hazifahi kuendelezwa hasa kwa kuwekea miundo mbinu ya barabara za lami.l Amekuja mama Samia ubaguzi uleule eti shule ya sekondari kila mkoa ya mchepuo wa sayansi ya wasichana. Leo tena shule ya sekondari ya wasichana SINGIDA ya wasichana. we RAIS unamfurahisha nani? kwani watoto wa kiume hawajazaliwa na wanawake"?===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961
Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,
Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,
Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,
"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,
View attachment 2046954View attachment 2046956
View attachment 2046952
View attachment 2046955
Naungana na wewe 100%Pamoja na juhudi za serikali kuleta huduma za kijamii, lakini maendeleo ya kweli yataletwa na wana Manyoni wenyewe.
Jikiteni kwenye uzalishaji mali, Kilimo, mifugo na Viwanda vya kusindika bidhaa kama mafuta ya Alizeti, matunda nk.
Vinginevyo mtaendelea kuyaona maendeleo kwa wengine
Ko na yeye ameanza kufanya mamb kwa kujiamulia bila ya kufuata bajeti iliopitishwa na bunge??Washaanza kampeni wapuuzi hawa😡😡😡
Point of correction ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kujenga, Mhe Raisi hatoi hela yake mfukoni, hivi shuleni mlienda kusomea nini?===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961
Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,
Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,
Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,
"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,
View attachment 2046954View attachment 2046956
View attachment 2046952
View attachment 2046955
Sijui kwanini ujinga haukua mali alafu mkajaliwa kwa kiasi kikubwa hiviSisi tunataka maendeleo tu
Daaah kwani ujinga ni upi hapo?Sijui kwanini ujinga haukua mali alafu mkajaliwa kwa kiasi kikubwa hivi
Kaziiendelee===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961
Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,
Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,
Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,
"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,
View attachment 2046954View attachment 2046956
View attachment 2046952
View attachment 2046955
Hata kipindi cha Magu mlikuwa mnaimba ngonjera hizi hiziDaaaah!!!
Huyu Samia huyu, kwakweli tukiacha roho mbaya huyu mama anafanya kazi kubwa sana ya kuijenga upya nchi yetu
Sasa kwanini kuwe na mkutano wa bajeti wa bunge,na ndo unatumia pesa nyingi sana kama posho kwa wabunge,alafu kuna mtu pekee anaweza kuamua matumizi atakavyoDaaah kwani ujinga ni upi hapo?
Kamati ya Siasa hiyo mkuu,Mbona wote wamevaa jezi za chama
Umerogwa siyo bure.Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961
Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,
Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,
Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,
"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,
View attachment 2046954View attachment 2046956
View attachment 2046952
View attachment 2046955
kweli wewe ni Mtukutu wa NyaigelaUmerogwa siyo bure.
ungeonyesha mfano wa aina hiyo ya shule ilishakuwepo wapi na ilileta manufaa yapi kwa eneo husika