Maoni: Ili kujenga uzalendo, Serikali ifute shule zote binafsi hapa nchini tubaki na shule za kata tu!

Hapo utakuwa umekosa uzalendo mkuu. Na ikiwa utawapeleka watoto wako Kenya basi uhamie huko huko. Hatutakutaka kurejea hapa nchini tena.

Wataenda, na wakirudi hapa nchini watapata ajira zenye mshahara mnono.
 
Tanzania ni nchi pekee inavichaa wengi waliosoma kuliko waliorogwa,niaminini mimi
 
Mkuu kutaifisha kutawafanya wananchi wote kuwa na collective responsibility katika kuhakikisha kiwango cha elimu kinapanda na kinaendelea kuwa juu.
collective responsibility itakuwa achieved lini? moja watu wakiona serikali imechukua upper hand watategea second hii move mpaka hio collective responsibility iweze kuadjust shule zile mbovu kimazingira na kiwango cha elimu duni kinachotolewa na shule hizo {ambazo ni nyingi} kiuhalisia it means elimu itakuwa rehani kwa kipindi fulani.

Sababu admistrative procedures za shule za kata zinadiffer masively na shule za private ku create even balance it means kuna wanafunzi watakaoloose .

Sioni sababu tuchukue hii difficult approach ambayo itawafanya ya wanafunzi wa loose. The better approach is not to disturb equilbrium bali serikali slowly kuboresha system iliyopo bila kuathiri wanafunzi na hii ni kwa kujenga shule zenye mazingira mazuri na kutafuta technic know how kutoka private schools ili kuimprove quality of education kwa shule za kata.
 
Ikiwa dhamira ni kutengeneza magoigoi,mbumbumbu na wahuni ndani ya taifa hili 🤔
 
Ikiwa dhamira ni kutengeneza magoigoi,mbumbumbu na wahuni ndani ya taifa hili 🤔
No. Dhamira ni kujenga taifa lenye usawa wa kielimu na kimaendeleo kupitia kuboresha elimu ya umma kwa manufaa ya wananchi wote.
 
Mkuu hata mbuyu ulianza kama mchicha. Sitakai kutakuwa na changamoto ndogo za hapa na pale lakini mwisho wa siku elimu ya umma itaimarika na kila mtu atafurahia matunda yake.
 
Kikubwa serikali iache kuendekeza umaskini na kudhoofisha elimu yetu kitu chochote kizuri kinapatikana kwa gharama. Rudisheni ada mashuleni wazazi wawajibike. Shule ni sehemu ya kukua kitaaluma na kufikia ndoto sio sehemu ya kukua ukisubiria kuolewa/kuoa.
Ada irudishwe ili elimu yetu iwe na thamani.
 
Kwa akili hizi tunayo safari ndegu mno.
 
Nadhani jitambuliahe kwanza tukuelewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…