Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Feza Primary ada ni kiasi gani Mkuu?UONGO Feza Primary Ada haifiki 10mil kwa Mwaka, hata A level haifiki hiyo ADA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Feza Primary ada ni kiasi gani Mkuu?UONGO Feza Primary Ada haifiki 10mil kwa Mwaka, hata A level haifiki hiyo ADA
Nursery 2.9milFeza Primary ada ni kiasi gani Mkuu?
Hizi ni per term or per year?Nursery 2.9mil
Primary 3.7mil
Secondary 3.3mil
Feza International Kuanzia Dollar 4500
Kwa mwaka, unalipa 2Hizi ni per term or per year?
Jamaa fyatu sana huyuMawazo ya kipuuzi sana, shule pamoja na kutoa elimu ni biashara na zinatoa ajira. Uzalendo haujengwi na shule za serikali, bali na matendo thabiti ya wanasiasa ambayo yatachochea uzalendo na si vinginevyo
Asante mkuu kwa taarifa,maana yake kwa Primary itakuwa 7.4M kwa mwaka.Kwa mwaka, unalipa 2
Kaka KatangkaondolewaMkuuu, sio kwamba zitataifishwa kwa sababu ya ushindani bali ni katika kuboresha uzalendo na kiwango cha elimu kwa manufaa ya taifa zima kwa ujumla.
Hapana gharama ni 3.7mil kwa mwakaAsante mkuu kwa taarifa,maana yake kwa Primary itakuwa 7.4M kwa mwaka.
Kwa mazingira haya watoto watafaulu tu,tena utakuta mkondo mmoja wa darasa una watoto hawazidi 30.Feza Primary ina Walimu 52 kwa Wanafunzi 640
Wastani wa Mwalimu kwa wanafunzi 12
Wanafunzi 17-25 kwa darasaKwa mazingira haya watoto watafaulu tu,tena utakuta mkondo mmoja wa darasa una watoto hawazidi 30.
Pana mtu niko nae hapa tunasoma pamoja hii thread.Kapiga moja kwa moja Feza Primary akajibiwa ada ni 6.8M kwa mwaka.Kama mtoto anaanza au anahamia utalipia na 700K za admission on top of ada.Hapana gharama ni 3.7mil kwa mwaka
Basi walichoandika kwenye website ni tofauti na maelezo yaoPana mtu niko nae hapa tunasoma pamoja hii thread.Kapiga moja kwa moja Feza Primary akajibiwa ada ni 6.8M kwa mwaka.Kama mtoto anaanza au anahamia utalipia na 700K za admission on top of ada.
Ila pamoja na hayo bado wanatoa elimu nzuri na malezi mazuri.Pana mtu niko nae hapa tunasoma pamoja hii thread.Kapiga moja kwa moja Feza Primary akajibiwa ada ni 6.8M kwa mwaka.Kama mtoto anaanza au anahamia utalipia na 700K za admission on top of ada.
Watakuwa wanamaanisha kwa term moja hiyo walioandika kwenye website.Basi walichoandika kwenye website ni tofauti na maelezo yao
Yawezekana ikawa kwa term. Ila parefu sanaWatakuwa wanamaanisha kwa term moja hiyo walioandika kwenye website.