Maoni Yangu: Kauli hii ya Rais Samia imekaa kibabe sana! Je, ni hasira?

Maoni Yangu: Kauli hii ya Rais Samia imekaa kibabe sana! Je, ni hasira?

Rais Samia huwezi shindana na taasisi kama TEC. Endelea kujifanya kibri na kushupaza shingo.

Hao wana mizizi mirefu utaumia.


TEC hii inayofadhiliwa na wenzao hawa


In the book, "The Changing Face of the Priesthood," the Rev. Donald B. Cozzens suggests that the priesthood is, or is becoming, a gay profession
 
Na yamemwagika vibaya yani kama kuna watu wanamshauri tofauti wanamdanganya hili limkataba wananchi wengi hawalitaki hata kabla ya tamko la TEC alielimwagia mchanga kajua kuliharibu na kama kiongozi angetumia busara ya kuachana nalo

Wananchi wengi kutoka wapi kanisa katoliki ??
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?

Unatishika na watu hawa ??

In the book, "The Changing Face of the Priesthood," the Rev. Donald B. Cozzens suggests that the priesthood is, or is becoming, a gay profession
 
Tanzania inajiendea tu kama Gari bovu lililokatika breki
Alaaa, kama ni hivyo hebu jaribu kuikaribia hiyo break na ujidanye kama unaifunga vile uone kama kweli haina dereva au la.
 
% 70 𝒂𝒖 𝒔𝒊𝒐 𝒎𝒌𝒖𝒖.
Kabisa na zaidi .tunajuana kaka si kwa ubaguzi wenzetu kazi ngumu hamtaki .nyi mnapenda biashara maana mnathamini sana uhuru wenu
Nenda pale ud katafutr kozi ngumu kama degree in civil engineering. Utakuta 80% ni wakristo sio ubaguzi ni data.pia 70% ya wasafirishaji maloli utakuta waislamu 60% ya wapika vyakula mjini(migahawa mikubwa) waislamu
 
Unakuwa Mbabe lakini tumia akilii kufanya maamuzi na mambo yenye Tijaa kwa jamiii.. sio diktata alafu mambo yanaendaa ovyooo tuu
Awamu hii ya 6 akili kubwa inatumika nguvu kidogo sana.
Ndio maana mambo yanaenda na uhuru wa kutuoa maoni umeongezeka sana tofauti na miaka miwili iliyo pita, sasa vyama vya siasa vinapiga mikutano usiku na mchana.......tija inaonekana.....
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Mara ya kwanza nchi kuwa kwenye autopilot ilikuwa enzi ya Kikwete.
Safari hii rubani huko kwenye cockpit anacheza game kwenye simu na ndege haipo hata kwenye autopilot🤣
 
Mara ya kwanza nchi kuwa kwenye autopilot ilikuwa enzi ya Kikwete.
Safari hii rubani huko kwenye cockpit anacheza game kwenye simu na ndege haipo hata kwenye autopilot🤣
Kimsingi imezima hewani na pilot anasifiwa kwa utulivu
 
TEC wame bugi step big time, watapuuzwa!. Wakati wanatoa tamko lao hawakuizingatia kauli hii ya Rais Samia
View: https://youtu.be/fZ7MWhPeyko

P

Paskali.
Tuijadii kauli hii ya Rais na utii kwa Katiba yetu.

Je rais ndiye mmiliki wa utendaji wote serikalini?

Je unakubaliana na kauli hii to what extent?

Je baadhi ya matendo, maamuzi ama utendaji mbovu wa serikali unapopingwa ni kuikosea heshima?

Sheria ya kinga kwa watawala na maafisa usalama inareflect ukuu wa sheria na katiba ya nchi yetu? Kutoiunga mkono ni kumkosea mama?
 
Yani ile kauli imejaa kiburi, jazba ya kiwango cha juu sana kama kiongozi hakupaswa kusema vile,bado tunamsihi azingatie na kurekebisha maoni ya wananchi period
Bado kakaza fuvu ngoja ufike uchaguzi ataona kama wananchi wamependa ay hawajapenda
 
Hakutegemea kukutana na upinzani huu kwenye ishu ya bandari.
Alijua kila kitu kipo shwari, sasa kavurugwa
Shehe Mwaipopo, mwijaku,baba levo, stive Nyerere n.k hawajasaidia kabisa.
Hapo lazima apagawe!
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Niwapumbavu kama wewe unataka kutuaminisha Dr slaa ametumwa na hiyo tec nakama ndivyo sasa huu nimwisho wa wao kipelekesha serekali na serekali iachwe ifanye mambo take ilinchi isonge tukiendelea kuruhusu hawa waingilie maono yaserekali tutaendelea kubaki nyuma katika kosa nyerere alifanyakosa nihili kuwazoesha hawa watu kupenyeza kilewanacho kitaka serekali ifanye bilakujali kunawasiokuwa nadini na kunaimanizingine
 
Some one is controlling her . Au she is on depression
Of all things...depression! Hakuna kitu hatari na cha kuogofya kama depression. It can drive someone to very etreme lengths, namely;
  • Angry outbursts, irritability or frustration, even over small matters
  • Loss of interest or pleasure in most or all normal activities, such as sex, hobbies or sports
  • Sleep disturbances, including insomnia or sleeping too much
  • Feelings of worthlessness or guilt, fixating on past failures or self-blame
  • Trouble thinking, concentrating, making decisions and remembering things
  • Frequent or recurrent thoughts of death, suicidal thoughts, suicide attempts or suicide
  • Unexplained physical problems, such as back pain or headaches
Depression is a mental disorder affecting more than 264 million people worldwide. It is characterized by persistent sadness and a lack of interest or pleasure in previously rewarding or enjoyable activities.

More than just a bout of the blues, depression isn't a weakness and you can't simply "snap out" of it. Depression may require long-term treatment.
 
Kayataka mwenyewe kuwasikiliza hao na nina imani walimwambia usihofu wabongo watapiga kelele mwanzoni then wataacha na maisha yataendelea sasa hili dubwasha la bandari linawaka moto kila iitwapo leo hata dalili za kuzimika hazipo[emoji16]
Busara angeendeleza ukimya wake au akajibu hoja zilizomo kwenye waraka wa TEC hata kwa kutumia wizara/vyombo vya dola husika
 
Back
Top Bottom