Maoni Yangu: Kauli hii ya Rais Samia imekaa kibabe sana! Je, ni hasira?

Maoni Yangu: Kauli hii ya Rais Samia imekaa kibabe sana! Je, ni hasira?

Mwambie Mh.Samia Suluhu Hassan ajue kwamba ni bora nchi IGAWANYIKE kwasababu ya UKWELI kuliko iwe na UMOJA katika uovu na UONGO.UKWELI UTATUGAWA KWASASA LAKINI BAADAE UTATUPONYA LAKINI UONGO UTATUFARIJI KWA UMOJA NA UTULIVU KWASASA LAKINI BAADAE UTATUUUA!!

Mh.Rais elewa hili,'Utawanyamazisha wanaosema ukweli lakini huwezi kuuzima UKWELI!'Tunajua hasira zako zinatokana na wew kukutana uso kwa uso na UKWELI.Mheshimiwa Rais ukweli ni HATARI,ukweli huharibu falme,huangusha wakuu wa nchi,huharibu fahari za wakubwa na ukweli huua.Ukweli huamsha waliolala na wakabeba silaha.Ukweli huamsha machungu yaliyopita na maumivu ya muda mrefu.Ukweli ni mama wa kutopata usingizi!

Lakini kuna hatari nyingine mbaya ambayo ni ninyi mnaotaka kuuzima UKWELI.Mh Rais watu unaotaka kuwazima wameshachagua kuzimwa kuliko kujizima(kujifanya hamnazo/hawaoni uhovyo wa mkataba) kwahyo hasira zako hazimu'intimidate yeyote labda tu unawapa ari ya kuendelea kuisimamia kweli!

Mwisho Mheshimiwa Rais tunajua kwako na kwa chama chako hawapendi kusikia ukweli,ukweli ni lugha ngeni masikioni mwenu.Sasa tunataka tu ujue kwamba kwa hili kazi unayo kwasabab UKWELI umeamua kujianika na kwa hili kujinasua inabidi tu uachane na mkataba huo!
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Atulie tu...

Ataumbuka
 
Sitafanya lolote kwenye DP world agreement! Sitajibu nitanyamaza tu ila DP world watakabidhiwa bandari zote! Hakuna mwenye ubavu wa kuniambia cha kufanya mimi nimeamua! Sheria zitabadilishwa na Bandari watapewa hakuna mwenye ubavu wa kuleta fyoko! Ndio lugha ya nani kama mama hii! kama hamjui kusoma kati ya mistari.
Nafikiri haya ni maono yako na sio kile alichokusudia mheshimiwa Rais. Kwa lugha nyepesi ni unataka kumlisha maneno mama yetu.
 
Raisi Hayupo sawa. Naona alot of accusations? Kwa mtu wa kawaida uwezi kuwa sawa. Ana Angaika na PR. Instead of solving problems. Ni Kama kitu Akipo sawa .
Nilizungumza hivi Kuna mtu akanibeza...huyu mtu ayupo sawa Yani hata ile body language yake ni kama mtu alorudi nyuma hatua mbili...Hadi namuonea mpaka huruma
 
Ni amiri jeshi mkuu kwa majeshi, siyo kwa raia........sidhani kama una uelewa wa hili.
Ni sahihi ukisemacho lakini ulichosahau ni kwamba jukumu lake kubwa kama amiri jeshi mkuu ni kulinda raia yake. Kwahiyo Yuko sahihi kabisa kutoa kauli hizo dhidi ya maadui wote wanaopanga kuvuruga amani ya raia wake
 
Mama hayuko sawa, msongo wa mawazo unamsumbua.
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Ogopa sana mtu asiyeongea sana ni hatari kwake binafsi na watu wengine wanaomzunguka. Ogopa sana mtu anayeongea kwa ufupi huku midomo na mikono ikitetemeka. Ogopa sana mtu anayeongea na wewe hata suala ambalo linahitaji kuonesha amekasirika halafu anakuchekea tu. Ogopa sana anayetamka "hakuna mtu anayeniweza mimi"
Any word coming out of a decisionmaker's mouth shifts into executive superiority practice regardless of its relevance.
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Sawa hata mpini uliovishwa jembe anayelitumia kwa kulibamiza ardhini kwa nguvu ni sharti aumie viganja na kutoka jasho. Lugha aliyotumia ni ya kibabe kuliko hata mtu anayeonesha wazi hasira kwa matamshi yake.
 
Mama hayuko sawa, msongo wa mawazo unamsumbua.


hili ata mimi nililiona DPW watakuwa wanamnyima usingizi. ukute kuna mabilion alishapokea, kama maulidi kitenge na zembwela ataendaje kuwadai sasa maokoto na tayari wameshakula. kupanic lazima ata ingekuwa wewe.
 
Rais Samia ndiye mkuu wa majeshi yote nchini na kwakawaida jeshini huwa hakuna kumbembelezana wala lugha laini ya kufurahisha kwahiyo alichokizungumza ndivyo inatakiwa kuwa Kwa mtu ambaye ni amiri jeshi mkuu
Anajidanganya na vile vimazoezi vya kuvunja nazi kwa mikono siku ya uhuru .70% ya jeshi ni wakatoliki
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Hawezi kuwa ana maana hiyo. Yeye anajua kuwa ni Rais wa Jamhuri siyo sultan? Ubavu ataupata wapi bila kuungwa mkono na Watanzania walio wengi? Rais anatakiwa aonekane anawawakilisha raia wake na anasimamia mategemeo ya wananchi wengi na siyo sehemu ndogo ya wananchi wala siyo CCM peke yao. Mgawanyiko na mpasuko nchini utategemea imani ya wananchi waliyonayo kwenye uongozi wake isipokuwa kama tegemeo la CCM ni lile
lile la kutokuwa na uchaguzi wa kweli.Mambo ya mabavu na misuli ni matamshi ya mipasho na siyo uongozi. Msiache kufikiri.
 
Back
Top Bottom