Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Aupo sawa . At this moment ukiwachawa watu wanakuona kichaa .Kama hakuna anayemsikiliza jaribu kuchukua kipaza sauti umtolee matusi afu kama hutochezewa sehemu yako ya haja kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aupo sawa . At this moment ukiwachawa watu wanakuona kichaa .Kama hakuna anayemsikiliza jaribu kuchukua kipaza sauti umtolee matusi afu kama hutochezewa sehemu yako ya haja kubwa.
PR please kirefu
Kwahiyo tec wakiwa na mibavu na misuli ni sawa, ila mama hapana,Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement...
Ni kawaida watu wasio na nguvu ya hoja hukimbilia kwenye hoja za nguvuLicha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?
Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.
Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Cha msingi mwambieni Samia arudishe fedha za Waarabu walizohongwa, asitutishe na wala hatutishiki!Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?
Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.
Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Mama nakushauli endelea ni mikakati ya dp world achana na kelele za wezi wa bandari hata swissport walipiga kelelel hizihizi lakini inaendesha exports na imports pale JKIA efficiently and effectively ( Dong things right and doing the right things)Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?
Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.
Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Wawe na mizizi mirefu au mifupi haijalishi Bandari ndio hiyo imeenda poleni sanaRais Samia huwezi shindana na taasisi kama TEC. Endelea kujifanya kibri na kushupaza shingo.
Hao wana mizizi mirefu utaumia.
Pole sana Bandari ndio hiyo imeendaKayataka mwenyewe kuwasikiliza hao na nina imani walimwambia usihofu wabongo watapiga kelele mwanzoni then wataacha na maisha yataendelea sasa hili dubwasha la bandari linawaka moto kila iitwapo leo hata dalili za kuzimika hazipo[emoji16]
Pole sana Bandari ndio hiyo imeendaTEC ni Vatican, Vatican wako na MAKUNDI kama "Jesuits" na "MAFIA," na mengine mengi. Dola ya Roma ndio hadi sasa inatawala dunia.
ilianza Babeli ikaja Uajemi, kisha Uyunani na sasa ni Roma. hadi arudipo Yesu kwa mara ya pili (na ni hivi karibuni).
YESU NI BWANA&MWOKOZI
Siku zote huwa comander in chief akisema hivyo tena kwa utulivu mkubwa huwa amejiridhisha na anachokisema anakimaanisha.Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?
Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.
Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Tunatamani iwe hivyo, sema tunahofia isije ikawa siasa tu za kupooza wananchi kama ilivyo kawaida ya ccm🤣"Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Simply ni kuwa ata yeye anatambua hakuna wa kuiharibu hii nchi akiwemo yeye mwenyewe kwa hiyo Hilo jambo la bandari limesikika na litashughulikiwa kama wananchi na maoni ya walio wengi yanavyoelekeza kwa kuwa nchi ya wananchi wenye amani Yao na Umoja wao Kuna nguvu nyuma yake inailinda hii nchi.
Kwa hiyo haya yeye hawezi kupuuzia Hilo.
Linalokwenda kutokea sasa ni mojawapo kati ya haya mawili.
Kuachana na mkataba na DP World.
Ama la kurekebisha kwa mujibu ya maoni ya wananchi na wadau walio wengi.
Tunataka uwekezaji wenye Tija.
Ilikuwa enzi za Nyenyere kwa sasa kanisa ni toothless bull dog...Rais Samia huwezi shindana na taasisi kama TEC. Endelea kujifanya kibri na kushupaza shingo.
Hao wana mizizi mirefu utaumia.
Mtachoka tu...Kayataka mwenyewe kuwasikiliza hao na nina imani walimwambia usihofu wabongo watapiga kelele mwanzoni then wataacha na maisha yataendelea sasa hili dubwasha la bandari linawaka moto kila iitwapo leo hata dalili za kuzimika hazipo[emoji16]
Walume ndago wanamchora tu,ataomba poaLicha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".
Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?
Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.
Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Labda Mungu mwenyewe atakeMtatafsiri sana kauli za Dr Samia ila ndo mjue utawala wake ni hadi 2030. MTAKE MSITAKE. Hakuna wa kuzuia hilo.
Kama roma na makundi yake ya maana sana kachukue uraia huko sio unakitambulisho cha taifa la Tanzania, na bado kabisa unataka tutawaliwe na roma hii kubali wewe tu, hii Tanzania yetu itaendelea milele na itasimama imara.TEC ni Vatican, Vatican wako na MAKUNDI kama "Jesuits" na "MAFIA," na mengine mengi. Dola ya Roma ndio hadi sasa inatawala dunia.
ilianza Babeli ikaja Uajemi, kisha Uyunani na sasa ni Roma. hadi arudipo Yesu kwa mara ya pili (na ni hivi karibuni).
YESU NI BWANA&MWOKOZI