Maoni Yangu: Kauli hii ya Rais Samia imekaa kibabe sana! Je, ni hasira?

Maoni Yangu: Kauli hii ya Rais Samia imekaa kibabe sana! Je, ni hasira?

Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement...
Kwahiyo tec wakiwa na mibavu na misuli ni sawa, ila mama hapana,

Wewe mwenyewe hapa umetumia mibavu na misuli ya kidini

Safari hii tec wameingia cha kike, watapigwa ndani nje, mbele nyuma chini juu
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Ni kawaida watu wasio na nguvu ya hoja hukimbilia kwenye hoja za nguvu
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Cha msingi mwambieni Samia arudishe fedha za Waarabu walizohongwa, asitutishe na wala hatutishiki!
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Mama nakushauli endelea ni mikakati ya dp world achana na kelele za wezi wa bandari hata swissport walipiga kelelel hizihizi lakini inaendesha exports na imports pale JKIA efficiently and effectively ( Dong things right and doing the right things)
 
Kayataka mwenyewe kuwasikiliza hao na nina imani walimwambia usihofu wabongo watapiga kelele mwanzoni then wataacha na maisha yataendelea sasa hili dubwasha la bandari linawaka moto kila iitwapo leo hata dalili za kuzimika hazipo[emoji16]
Pole sana Bandari ndio hiyo imeenda
 
TEC ni Vatican, Vatican wako na MAKUNDI kama "Jesuits" na "MAFIA," na mengine mengi. Dola ya Roma ndio hadi sasa inatawala dunia.

ilianza Babeli ikaja Uajemi, kisha Uyunani na sasa ni Roma. hadi arudipo Yesu kwa mara ya pili (na ni hivi karibuni).

YESU NI BWANA&MWOKOZI
Pole sana Bandari ndio hiyo imeenda
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Siku zote huwa comander in chief akisema hivyo tena kwa utulivu mkubwa huwa amejiridhisha na anachokisema anakimaanisha.
 
"Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Simply ni kuwa ata yeye anatambua hakuna wa kuiharibu hii nchi akiwemo yeye mwenyewe kwa hiyo Hilo jambo la bandari limesikika na litashughulikiwa kama wananchi na maoni ya walio wengi yanavyoelekeza kwa kuwa nchi ya wananchi wenye amani Yao na Umoja wao Kuna nguvu nyuma yake inailinda hii nchi.

Kwa hiyo haya yeye hawezi kupuuzia Hilo.

Linalokwenda kutokea sasa ni mojawapo kati ya haya mawili.

Kuachana na mkataba na DP World.

Ama la kurekebisha kwa mujibu ya maoni ya wananchi na wadau walio wengi.

Tunataka uwekezaji wenye Tija.
Tunatamani iwe hivyo, sema tunahofia isije ikawa siasa tu za kupooza wananchi kama ilivyo kawaida ya ccm🤣
 
Kayataka mwenyewe kuwasikiliza hao na nina imani walimwambia usihofu wabongo watapiga kelele mwanzoni then wataacha na maisha yataendelea sasa hili dubwasha la bandari linawaka moto kila iitwapo leo hata dalili za kuzimika hazipo[emoji16]
Mtachoka tu...
 
Licha kudai kukaa kimya na kuendelea kukaa kimya kuhusu sakata la Bandari lakini bado akazungumza, hakukaa kimya kama alivyodai ina first statement.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema, "Hakuna mtu mwenye ubavu na misuli kuigawa nchi hii, kuiuza au kuharibu amani yake iliyodumu kwa miaka mingi".

Ni maneno mazuri lakini tusome between the lines ya maneno yake! Nini maana ya ubavu na msuli? Kwani Kuna kutunishiana ubavu na misuli?

Kwa wanataaluma ya lugha ya kuongea na mwili ni kwamba Samia amesema, "nimeshaamua, mimi ni mbele kwa mbele na hakuna wa kunizuia kwa namna yoyote". Isipokuwa ametumia kauli ya kiongozi kuficha makali. Hii maana yake yuko tayari kufamfanya lolote atakayetunisha ubavu au msuli.

Je, ubavu na misuli ya TEC haiwezi kumtisha Samia na CCM yake?
Walume ndago wanamchora tu,ataomba poa
 
She is confused, ameshindwa kutatua tatizo alilotengeneza mwenyewe, sasa anatuletea hasira za wanawake jikoni, amwage hiyo mboga kama anajiona ana ubavu huo.
 
TEC ni Vatican, Vatican wako na MAKUNDI kama "Jesuits" na "MAFIA," na mengine mengi. Dola ya Roma ndio hadi sasa inatawala dunia.

ilianza Babeli ikaja Uajemi, kisha Uyunani na sasa ni Roma. hadi arudipo Yesu kwa mara ya pili (na ni hivi karibuni).

YESU NI BWANA&MWOKOZI
Kama roma na makundi yake ya maana sana kachukue uraia huko sio unakitambulisho cha taifa la Tanzania, na bado kabisa unataka tutawaliwe na roma hii kubali wewe tu, hii Tanzania yetu itaendelea milele na itasimama imara.
 
Back
Top Bottom