Maoni yangu kuhusu Vita ya Urusi Kama Magharibi Au NATO watalazimika kuhusika moja Kwa moja

Maoni yangu kuhusu Vita ya Urusi Kama Magharibi Au NATO watalazimika kuhusika moja Kwa moja

Wewe nakubaliana na mleta Mada Iran ilikuwa tishio
IRAQ sio IRAN ila ilikua tishio mbele yanani ya US UK ISRAEL au!!?
Kama IRAQ ingekua tishio sidhanii kama hata ISRAEL wangeweza kushambulia mitambo yao ya nyuklia kwamabomu kabisaa ambalo jambo hilo ISRAEL hajawahi na hatawahi kufanya mbele ya IRAN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee lwaitama alipigwa mkwara enzi za magufuli hakuyumba leo hii kwenye bandikolake ashindwe hata kuweka namba ya simu hapana ngoja niendelee kujiridhisha
 
Dokta jipange sana unapoleta mijadala kwenye platform kama hiz ambapo watu wako free kuku hoji na ku challenge mawazo yako regardles umewaacha mbali kielemu but people knows.
Hii sio lecture hall ambapo neno lako halipingwi kwa kuogopa kufelishwa ....wala hii sio mahojiano kwenye TV station ambapo u can foresee questions za presenters ambao wengi wana ufaham limited.

TUKO TAYAR KUJIFUNZA TOKA KWAKO ILA JIPANGE MZEE WANGU
 
mataifa ya mashariki ya Ulya sio wajinga kumwaga damu kujiunga na WEST , Urusi anafanya maovu mengi kwenye uchumi na siasa za majirani zake , ova
Kwa hiyo hawa watu "wanamwaga damu kujiunga na WEST, kwa vile Urusi anafanya maovu mengi kwenye uchumi na siasa za majirani zake."

Na katika akili zako haiingii kabisa kuona kwamba Urusi na wao inabidi wajihami dhidi ya WEST anayezongea mlangoni kwake kwa nia mbaya?

Wewe unaona tu ubaya wa Urusi, lakini huwezi kuhoji yanayofanyika upande pinzani?
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr. Lwaitama
Huyu ni Dr azaveli lwaitama ninayemjua au ni lwaitama wa mchongo?
 
Dokta jipange sana unapoleta mijadala kwenye platform kama hiz ambapo watu wako free kuku hoji na ku challenge mawazo yako regardles umewaacha mbali kielemu but people knows.
Hii sio lecture hall ambapo neno lako halipingwi kwa kuogopa kufelishwa ....wala hii sio mahojiano kwenye TV station ambapo u can foresee questions za presenters ambao wengi wana ufaham limited.

TUKO TAYAR KUJIFUNZA TOKA KWAKO ILA JIPANGE MZEE WANGU
Wewe mchallenge tu kwa hoja,hiyo mikwara ya nini tena Mkuu?
 
Wewe mchallenge tu kwa hoja,hiyo mikwara ya nini tena Mkuu?
hapana mkuu Nyamizi .Mimi honestly ni mweupe sana kwenye mambo mengi na humu ni sehem ya kujifunza tu naitumia ndio maana sijawah kuwa na thread humu zaid ya kuchangia changia kwa mbali kama hivi 😂 😂 na kwakwel mnanifaa sana kwa mitanange yenu hsa kuhusu sakata la urusi vs ukraine.sasa kwa jinsi watu walivyo na nondo humu na mzee kasema yy ni mgeni humu ndio maana nimempa alaert tu kuwa ajipange maana vijana mko deep kwel kwel..wala sikua na lengo la kumpiga mkwala
 
Unatafuta nikupuuze kama vichaa wengine hapa.
hahaaa puuza tu maana huna hoja ya msingi unaambiwa ulaya ya mashariki , unasema kwan sehemu nyingine hakuna nchi , umehishiwa hoja
 
Kama kweli wewe ndiye Lwaitama basi nina uhakika umeandika haya kwasababu mmeamua kama chama kushabikia mashoga na ushoga mkionhozwa na yule jamaa wa Ubelgiji.

Unapozungumzia uchumi,kwani uchumi utasaidia nini kwenye vita kati ya Urusi na Marekani!? Au unadhani watapigana kama Urusi anavyopigana na Ukraine?

Vita kati ya miamba hao viwili haitakuwa ndefu hadi ihitaji uchumi mkubwa. Wala haitachukua miezi saba kama unavyodhani. Huwenda vikaweka historia mpya ya vita vilivyotumia muda mfupi zaidi duniani. Huenda ikachukua saa kadhaa vita kumalizika na kuacha athari isiyoelezeka. Kuna uwezekano wa nchi kama si dunia kurudi zama za giza. Silaha zitakazotumika nizamaangamizi. Itakuwa nani atawahi kumfikia mwenzake. Na akikuwahi hatakupa nafasi yakujibu wala kutubu. Atakuangamiza.

Huo uchumi haotakusaidia mbele ya silaha hizo za maangamizi.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Nadhani umehitimisha uzi huu vizuri japo mleta mada kaishia ñjiani bila kufafanua
 
Depot kubwa ya Silaha za Marekani na EU zashambuliwa jana usiku [emoji23][emoji23]
20220510_103600.jpg
20220510_103558.jpg
20220510_103556.jpg
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr. Lwaitama
Mwalimu! Ni lini US ameenda kuvamia nchi hv karibuni akiwa mwenyewe bila allies?? Marekani ameenda iraq na allies..ameenda libyaa na allies..afghanistan kote huko kaenda na wenzakee..mbona asiende mwenyewe!! Acheni kuikuza US kiasi hicho..ni kweli US wako mbal sana kijeshii..lakin Russia pia wako mbal mno..tena sanaaa..narudia tena..wako mbal mno..msije mkazani mrusi anavyofanya gwaride baas kamaliza kila kitu..ukwel n kwamba anavitu vingi mnoo...ambavyoo havioneshi..suala la kuonesha silaha kwenye gwaride au kutoonesha silaha ni utamaduni wa nchi husika..lakin pia historia ya nchi husika toka ilivyokuwa founded!! Watu wengi humu hatujui nini kinaendelea kwenye vita ukraine! Lakin kama ulimskiliza Putin kwenye hotuba yake unaweza pata picha halisi ya nn kilikuwa kinaendelea ukrain kabla ya uvamizi!! Russia ilikuwa inaenda kuangamizwaa na west! Shida sisi kina kayumba humu africa tunasikiliza media za west na kuziamni propaganda zao...very discouraging..
 
Kama kweli wewe ndiye Lwaitama basi nina uhakika umeandika haya kwasababu mmeamua kama chama kushabikia mashoga na ushoga mkionhozwa na yule jamaa wa Ubelgiji.

Unapozungumzia uchumi,kwani uchumi utasaidia nini kwenye vita kati ya Urusi na Marekani!? Au unadhani watapigana kama Urusi anavyopigana na Ukraine?

Vita kati ya miamba hao viwili haitakuwa ndefu hadi ihitaji uchumi mkubwa. Wala haitachukua miezi saba kama unavyodhani. Huwenda vikaweka historia mpya ya vita vilivyotumia muda mfupi zaidi duniani. Huenda ikachukua saa kadhaa vita kumalizika na kuacha athari isiyoelezeka. Kuna uwezekano wa nchi kama si dunia kurudi zama za giza. Silaha zitakazotumika nizamaangamizi. Itakuwa nani atawahi kumfikia mwenzake. Na akikuwahi hatakupa nafasi yakujibu wala kutubu. Atakuangamiza.

Huo uchumi haotakusaidia mbele ya silaha hizo za maangamizi.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Labda tu huelewi, kwenye nuclear warfare silaha ikitumwa kutoka Moscow kuelekea Washington DC moja kwa moja na ile ya Washington DC nayo inaondoka kuitafuta Moscow.

Itakumbukwa kwamba Marekani ina kiasi cha nuclear warheads 3,000 ambazo tayari ziko deployed dhidi ya za Russia 2,000.

Ni ukweli usiopingika kwamba kwenye vita vya nyuklia hakuna mshindi.
 
hapana mkuu Nyamizi .Mimi honestly ni mweupe sana kwenye mambo mengi na humu ni sehem ya kujifunza tu naitumia ndio maana sijawah kuwa na thread humu zaid ya kuchangia changia kwa mbali kama hivi [emoji23] [emoji23] na kwakwel mnanifaa sana kwa mitanange yenu hsa kuhusu sakata la urusi vs ukraine.sasa kwa jinsi watu walivyo na nondo humu na mzee kasema yy ni mgeni humu ndio maana nimempa alaert tu kuwa ajipange maana vijana mko deep kwel kwel..wala sikua na lengo la kumpiga mkwala
Umeeleweka Mkuu
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr. Lwaitama
Pumba tupu. Bro. Punguza ushabiki
 
Back
Top Bottom