Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Mapato ya Filamu ya Royal Tour kule AMAZON ni kufuru, kuingizia Tanzania zaidi ya TZS 1.5 Trilioni kwa mwaka

Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Mambo ya Ali Nacha.

Amandla...
 
hao 175 milion customer wa Amazon hata 1% hawataangalia hiyo movie, Amazon kuna movie zaidi ya laki moja na ukipata view laki moja una bahati
Nakazia kwa kusema atuamvie mpaka sasa wameshauza copy ngapi au Wana views ngapi?
 
Siami kama Taifa ndipo tulipofikia tunabet kabisa yaani

Na hatuna tofauti na qnet kabisa.

Hii mada imenisikitisha mno.
 
Iko hivi,


Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Hakuna kama Rais Samia nasema siku zote hili,
Hiyo filamu itakuwa itauzwa kila mwaka? Au hii propaganda imelenga akili ndogo?
 
Hizi hesabu sijui mnatoaga wapi, na kwa akili yako inaonekana Amazon hawapati chochote, FYI 99% ya pesa itabaki Amazon
Kamuulize lisu kishasema kuna utitiri wapesa nindefu bado wewe waufipa unaendelelea kubisha haya endelea haya ndio mambo yakutafuta pesa sio kuzulumu wavuvi unateka malizao alafu waje wakomboe ndioupate hela mwambieni mpina ajifunze kwa mama huyu
 
Kamuulize lisu kishasema kuna utitiri wapesa nindefu bado wewe waufipa unaendelelea kubisha haya endelea haya ndio mambo yakutafuta pesa sio kuzulumu wavuvi unateka malizao alafu waje wakomboe ndioupate hela mwambieni mpina ajifunze kwa mama huyu
naungana na wewe mkuu wangu 🙏🙏🙏
 
Rais mzima anacheza movie? hii ni aibu kwa taifa , yaani hata sisi Tanzania yenye watu Mil63 tunakubali vipi Rais wetu anachukuliwa mchana kweupe kwenda nje kucheza movie? , kweli walio sema Tanzania katika watu mil5 basi wenye akili timamu ni wawili au watatu hawa kukosea, na ndo mtaji mkubwa wa watawala wetu.
Ni documentary sio movie kama za kanumba
 
Huu ni ujasiliamali wa mama nyie subirini watalii,
 
Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Umejuaje kuwa ni mali ya Tanzania kwa 100%
Kama hakuna anayejua gesi ya mtwara ni mali ya Tanzania au la, pia hakuna anayejua kama dhahabu ya Geita ni mali ya Tanzania au la, kivipi unakuja ghafla tu kusema filamu ni mali ya Tanzania?

Wewe ndio msemaji wa serikali?
 
Umejuaje kuwa ni mali ya Tanzania kwa 100%
Kama hakuna anayejua gesi ya mtwara ni mali ya Tanzania au la, pia hakuna anayejua kama dhahabu ya Geita ni mali ya Tanzania au la, kivipi unakuja ghafla tu kusema filamu ni mali ya Tanzania?

Wewe ndio msemaji wa serikali?
Mkuu hilo nalo unahitaji ushahidi kweli?!
 
Iko hivi,

Sote tunafahamu, Filamu ya Royal Tour ni mali ya Watanzania kwa 100%

Tanzania imeigharamia filamu hii tangu kurekodiwa kwake mpaka kuzinduliwa kwake huko Marekani.

Inakadiriwa mpaka kukamilika kwa uzinduzi wa filamu hii imetumia zaidi ya TZS 7.2BL fedha toka kwa wadau wa maendeleo endelevu.

Nimeona kiongozi wa CHADEMA anayeishi Ughaibuni Mhe Tundu Lissu amehoji hii kwenye ukurasa wake wa Tweeter akitaka kujua pesa toka Mtandao wa AMAZONI ni mali ya nani?

Kwakuwa Tanzania ni mmiliki halali wa "Tanzania Royal Tour Film " mapato yote yatokanayo na filamu hiyo pia ni mali ya Watanzania ukiondoa gharama za Uendeshaji kule Amazoni.

Mtakumbuka AMAZONI inajumla ya Watazamaji na wanunuzi|wakodiji 175M kwa mwaka.

Gharama ya kukodi tu yaani kuangalia na kuondoka ni US$ 5.99 karibu TZS 15,000.

Wakati huo huo gharama za kuinunua video hiyo ni US$ 19.99 au TZS 46,000.

Kwakuwa Amazon inawanunuzi na wakodiji 157M Wa video zake kwa mwaka.

Hebu tukadirie filamu yetu ya Royal Tour ikodiwe tu na watu 100M kwa mwaka au kwa miaka.

Hii ni sawa na kusema

Chukua hawa wakodiji 100M zidisha kwa elfu 15 utapata jumla ya TZS 1,500,000,000,000 yaani TZS 1.5Trilioni.

Kumbukeni hii ni pesa toka AMAZONI tu sio Utalii.

Ili kuweka rekodi sawa haya mapato ya TZS 1.5Trilioni ni kwaajili ya kukodi tu achilia mbali yale ya kununua sijayaweka hapa.

Lazima tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ni akili kubwa sana na huenda itatuchukua miaka mingi sana kumpata mtu mwingine kama yeye.

Sasa Tanzania huenda ikapata jumla ya zaidi ya TZS 1.5Trilioni toka Amazon kama mauzo ya Filamu yetu ya Royal Tour kila mwaka bila kuhesabu faida kubwa ya Utalii tuliyoilenga.

Wenye masikio na wasikie haya,

View attachment 2195022

View attachment 2195105
Nina wasiwasi kwanza tujue gharama zilizotumika pia fahamuni kuwa mrahaba wote ni wa yule aliyetengeneza sisi hatuna chochote zaidi ya mbuga,wanyama na raisi wetu kuonekana kwenye runinga za weupe huko majuu sisi hatuna cha kuonyesha kupita makala za vivutio kwa mfano kutoka misitu ya Amazoni,mbuga ya Kruger,Okavangu au Madagascar, kelele zote za sijui Royal Tour haziingii hata thamani ya makala hata za mbunge kama Trans Mara.
 
Mkuu hilo nalo unahitaji ushahidi kweli?!
Bila shaka linahitaji ushahidi sababu serikali inafanya mikataba kwa usiri.

inaweza kuwa nchi imeuza copyright kwa kampuni binafsi (hata kama ni kwa nia nzuri), na nchi ikabaki tu na target ya kuvutia watalii kupitia filamu lakini sio mapato ya mauzo ya filamu

Sasa huyu mwenye uzi yeye kajuaje kuwa serikali ndio mmiliki wa filamu tena kwa 100%?
 
Back
Top Bottom