Ukiona hivyo ujue hu uzi unamlenga mtu na soon ataingia kwenye kumi na nane za mwandishi.Leo mashangaziiii na ma ankalii wanasifiwa ktk mahusianoo.
Kumekuchaaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nani hapendi pesa dunia hii?Kweli kinachofuatwa hapo ni hela
Me nna mzee wangu tqyari mkuu nakula tu mema ya nchi. Huwa sina tabia ya kuandika vitu personalUkiona hivyo ujue hu uzi unamlenga mtu na soon ataingia kwenye kumi na nane za mwandishi.
Tunaanza mbali kama kutupa ndoano na chambo
Fundi wangu,...mhenga mwenzanguNdio ndio
Ndo maana nikamwambia mwanangu Wagumu Tunadumu tutafute hela tutakula kila aina ya mbususu hata tuwe tumegonga 60+Mkuu nani hapendi pesa dunia hii?
Pesa inapendwa na mapenzi yanaota haraka sehemu ambayo ni conducive.
Na ukweli ni kwamba kila mtu aliyependa ana sababu ya why amempenda John na sio juma...
Sababu yaweza kuwa stability ya uchumi, age n.k n.k
He's so lovely yaani. Sio mbaba sana lakiniπ π πMi5 tena kwa mbaba wako
Mwenyezi Mungu aendelee kutujalia uzima na afya tele sisi watu wazima. πSalamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Asante mkuu kwa kuwa mkweli kwa nafsi yako. Halafu tafiti zinaonesha kwamba mapenzi ambayo uchumi uko stable yana amani sana ukilinganisha na yale ya tia maji tia maji.Ndo maana nikamwambia mwanangu Wagumu Tunadumu tutafute hela tutakula kila aina ya mbususu hata tuwe tumegonga 60+
Kusikia nini tena mremboπ€£π€£π€£
mzabzab umesikia lakini?
Yaniiii ni wanajitambua sio kidogooooo shossssssssππππππ!Leo mashangaziiii na ma ankalii wanasifiwa ktk mahusianoo.
Kumekuchaaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee Dr kuna watu wanazeekaga vibaya lolπ!!Hata vijana wakikua watakuwa watu wazima,ni swala la muda tu.
β€ππβ€He's so lovely yaani. Sio mbaba sana lakiniπ π π
Kiufupi married men wanajitambua angalau.
Wanaume wote wachakataji mbusuu sema tuu ndalama kikwazoSiku hizi umekuwa mchakata mbususu huna tofauti na mzabzab
ππ
Sii mnasemaga hela za kuhongwa hazifanyibkitu muhimu π€£π€£π€£π€£β€ππβ€
Na wewe uwe mjanja sasa kufanya ya maana na kama yuko connected kujadili nae namna gani anaweza kukusaidia kuadvance hata career yako. Sio daily unaomba hela za mawigi na kusuka
Ipo siku hutakuwa nae.