Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Leo mashangaziiii na ma ankalii wanasifiwa ktk mahusianoo.
Kumekuchaaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona hivyo ujue hu uzi unamlenga mtu na soon ataingia kwenye kumi na nane za mwandishi.
Tunaanza mbali kama kutupa ndoano na chambo
 
Kweli kinachofuatwa hapo ni hela
Mkuu nani hapendi pesa dunia hii?
Pesa inapendwa na mapenzi yanaota haraka sehemu ambayo ni conducive.
Na ukweli ni kwamba kila mtu aliyependa ana sababu ya why amempenda John na sio juma...
Sababu yaweza kuwa stability ya uchumi, age n.k n.k
 
Mkuu nani hapendi pesa dunia hii?
Pesa inapendwa na mapenzi yanaota haraka sehemu ambayo ni conducive.
Na ukweli ni kwamba kila mtu aliyependa ana sababu ya why amempenda John na sio juma...
Sababu yaweza kuwa stability ya uchumi, age n.k n.k
Ndo maana nikamwambia mwanangu Wagumu Tunadumu tutafute hela tutakula kila aina ya mbususu hata tuwe tumegonga 60+
 
Mwenyezi Mungu aendelee kutujalia uzima na afya tele sisi watu wazima. πŸ™
 
Leo mashangaziiii na ma ankalii wanasifiwa ktk mahusianoo.
Kumekuchaaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaniiii ni wanajitambua sio kidogooooo shossssssssπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ!
Wanakufanya hadi ujute kuchelewa kukutana nae lol cocastic nifikishie salamu Zangu kwa wanaume Watu wazima wanaojielewa woooootrreeeπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸ˜›!
 
He's so lovely yaani. Sio mbaba sana lakiniπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kiufupi married men wanajitambua angalau.
β€πŸ˜‹πŸ˜‹β€
Na wewe uwe mjanja sasa kufanya ya maana na kama yuko connected kujadili nae namna gani anaweza kukusaidia kuadvance hata career yako. Sio daily unaomba hela za mawigi na kusuka
Ipo siku hutakuwa nae.
 
β€πŸ˜‹πŸ˜‹β€
Na wewe uwe mjanja sasa kufanya ya maana na kama yuko connected kujadili nae namna gani anaweza kukusaidia kuadvance hata career yako. Sio daily unaomba hela za mawigi na kusuka
Ipo siku hutakuwa nae.
Sii mnasemaga hela za kuhongwa hazifanyibkitu muhimu 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…