Mapenzi yanauma lakini kuna kale ka-feeling mkizama kwenye dimbwi la mapenzi

Kanipora mume halafu hajiamini [emoji81][emoji81][emoji81]
Mmeshaanza kuchachuanaa? Hivi hamnaga vya kuwaweka buzzy?
Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂😂😂 Wewe mapenzi unayapa kipaumbele sana ndiomana yanakutesa, njoo huku mbarali unisaidie kuvuna uache kuwaza ujinga
ingekuwa mwezi wa pili au watatu walahi ningekuja aisee... nilikuwa nahaha.... mapenzi ya mwisho mwa ligi huwa matamu.. ila sasa ukijaaa kwenye mfumo ndio utaelewa
 
'Niambie wewe ni mhaya bila kuniambia wewe ni mhaya...'
 
😁😁😂😂😂😂😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…