Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mkuu Wabe ,umepotea sana!.

Kuna vitu kuhusu Okello havitajwi, baada ya kufanikisha MAPINDUZI MATUKUFU ya Zanzibar, kwa kutumia dawa za miti shamba za wana Mau Mau, ile tarehe 12 January 1964, siku 5 baadaye Okello alishuka bara tarehe 17, January, 1964, kesho yake tarehe 18, January 1964, jeshi liliasi Juliasi alitoroshwa kwa mtumbwi huku kavishwa baibui!, Okello was lineup kwenda kutangaza!, Thanks to Brits walizima jaribio lile, Karume akashauri Okello akirudi Zanzibar auwawe, Nyerere akamgomea!, hivyo akarudishiwa Airport, akarudishwa bara, akapelekwa kwao Uganda , baadaye alijipenyeza kurudi Kenya ku taka kuwakomboa kina Dedan Kimathi,
Pasco
 
Katika makabila ya Tanzania waarabu ni mojawapo kupitia Zanzibar. Mapinduzi matukufu.
 
@pasco haya kesho kula haluwa na kahawa.....kulala hakuna kazi sheni katangaza na Tanganyika nao wamekubali
kesho hamna kaziii...mnaalikwa haluwa
 
 

Kwa hiyo sultani qaboos ni muafrika?
 

Haya bwana. siku hizi wala siendelezi mijadala kama hii. Umeshinda. duh, Mzungu alikuwa akinunua watumwa zanzibar!! Maajab haya.
 

Post yangu inajibu nini na wewe unaleta nini. Mwenzio kataka picha ya utumwa zanzibar, nimeleta picha ya mtumwa zanzibar. Sasa wewe unaazisha ligi mpya ya nini? Chuki yangu dhidi ya waislamu inakuja wapi. Sababu pekee ya mwenzio kukataa utumwa zanzibar ni kuwatetea waarabu kwa sababu tu ni ya yeye anajiona muarabu kwa kuwa ni muislamu hakuna kingine!
 
Mkuu JF kuna great thinkers unapoweka kitu ni vizuri kuweka na ushahidi ili kujenga nguvu ya maneno yako, inakuwa ngumu watu kuamini maneno matupu ambayo hayana facts wa data.

Vitu vingine ni common knowledge na vinakubalika tu, hivi tunahitaji kuweka link kuthibitisha sheikh amani abeid karume ni mnyamwezi? ingekuwa tuna ubishani kuwa zanzibar inamaanisha vingine sawa, lakini kama hakuna, kwa nini mtu ambaye hajui maana ya neno zanzibar ashindwe kuniamini?

anyway chukua hii mojawapo:

"The name Zanzibar came from a combination of two Arabic words, 'Zinj', meaning black, and 'barr', being the Arabic word for land, the result meaning 'Land of the Blacks'."

source: Zanzibar :: What's in a name? | Specials
 
How about vatican/jerusalem and mafia including children kidnapping!
And molestation!

There is definitely relations there.

Maxshimba.

There is/are none in what you mentioned, in contrast, and as I construed before, there is more similarities between Allah, Arab and Islam.

In fact, the religion of peace is for Arabs and not otherwise.
 
 
 
Mag3, Hakuna mtu yoyote anayemshambulia Pasco watu wanahoji hayo Mapinduzi anayoyaita matakatifu, wewe huu upupuu ulioleta ndiyo historia ya mapinduzi?
Naona unaanza kuchanganyikiwa, nimepitia huu mjadala toka mwanzo, hakuna sehemu hata moja Pasco kayaita Mapinduzi matakatifu. Januari 12 ni siku ya kusherehekea Mapinduzi matukufu kama alivyosisitiza Dr. Mohamed Shein, Raisi wa Zanzibar mwenyeji wa Pemba leo katika sherehe ya kumbukumbu. Halafu anatokea mtu eti anahoji kwa nini Pasco anayaita Mapinduzi matukufu. Mapinduzi matukufu ya kuwang'oa walowezi wa kiarabu yalifanywa 1964 na yaliongozwa na Field Marshall John Okelo na huo ndio ukweli...kubwabwaja ovyo hakutaondoa hilo. Bila Okello hakuna mapinduzi matukufu na tofauti na Pasco wengine hayo mapinduzi matukufu yalitukuta, kwaherini.
 
Kwani, kuwa askari wa zanzibar ni shart kuwa Muislamu?

Wewe mtoto ustuletee udini hapa na huyo mgalatia Pasco.

Ni kifungu gani cha sheria kinasema kuwa kila polisi zanzibar lazima awe muislamu.
Huna adabu hata kidogo. Kuja kuleta uchonganishi na kugawa watanzania!
Au umekosa kazi ya kufanya kama huyo msukuma anejidhanj ni myahudi!!
 
Last edited by a moderator:

Je umewahi kumsilia Kanali Ali Mahfoudh?
Je unajuwa kama Nyerere alisema kuwa Uasi ule wa Jeshi ulipangwa Zanzibar?
Je unajuwa kuwa kauli ya Nyerere kusema "In the near future Zanzibar is going to be a big headache to us, I wish I could tow away that Island to the middle of the Indian Ocean" (hakusema those Islands) sababu ni kuwa Waafrika waliokuweko Zanzibar ndio waliopanga mipango ya kumwangusha 1962? Na Kambona na Hanga ndio alikuwa his main suspects na fates zao zimeishia wapi?

Je mnajuwa kuwa alomkimbiza Nyerere na kumficha nyumbani kwake shamba ni Mwarabu?
 
 

Acha chuki., John Okello si ndo alieneza dini ya kikiristo Tanganyika,, na ndo mpaka leo munaninginiza msalaba shingoni eti mutabarikiwa na kupata pepo mkifa
 
 

It seems you are behind History. Get some food for thought here: Zanzibar Christians
 

Kumbe Salva Kiir na Riek Mashar ni Waarabu.tehe tehee teheee.Sudan imetoa Uhuru kwa Sudan Kusini,hakuna vita Sudan bali sasa vita iko Sudan Kusin.Hatusikii tena habari za Janjaweed.Unaishangaza dunia kudai Waarabu wanawaua ndugu zetu kule Darfur.Tehe tehee teheeeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…