Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Pasco Long time friend

Okello atakumbukwa sana, lakini lazima waafrika na hasa watanzania tuwe na tabia ya kuandika historia

Okelo utamkuta uganda, kenya na Tanzania kwa issues mbalimbali

Japo ni aibu lakini, seems he was an expert for those dangerous missions na pengine alipewa ujira wake tu na kuondoka

Ni kweli uki dig deeper wenyeji wa pemba na unguja wametokea bara lakini in that community automatically John Okello alikuwa excommunicated

labda tuulizane kwa nini aliondoka Zenj??
Mkuu Wabe ,umepotea sana!.

Kuna vitu kuhusu Okello havitajwi, baada ya kufanikisha MAPINDUZI MATUKUFU ya Zanzibar, kwa kutumia dawa za miti shamba za wana Mau Mau, ile tarehe 12 January 1964, siku 5 baadaye Okello alishuka bara tarehe 17, January, 1964, kesho yake tarehe 18, January 1964, jeshi liliasi Juliasi alitoroshwa kwa mtumbwi huku kavishwa baibui!, Okello was lineup kwenda kutangaza!, Thanks to Brits walizima jaribio lile, Karume akashauri Okello akirudi Zanzibar auwawe, Nyerere akamgomea!, hivyo akarudishiwa Airport, akarudishwa bara, akapelekwa kwao Uganda , baadaye alijipenyeza kurudi Kenya ku taka kuwakomboa kina Dedan Kimathi,
Pasco
 
Katika makabila ya Tanzania waarabu ni mojawapo kupitia Zanzibar. Mapinduzi matukufu.
 
@pasco haya kesho kula haluwa na kahawa.....kulala hakuna kazi sheni katangaza na Tanganyika nao wamekubali
kesho hamna kaziii...mnaalikwa haluwa
 
All of them were decapitated by Jibril's sons.[/QUOTE

Asante kwa taarifa.ndugu tuungane tuweke kumbukumbu ya historia ya utumwa hapa kwetu.zipo juhudi za kufifisha histora hiyo kwa visingizio tofauti.vitabu vinatoweshwa.elimu hii imechakachuliwa mashuleni.kumbukumbu haztunzwi.hata lile kanisa pale zenj lenye kumbukumbu muhimu linapigwa danadana lichoke kabisa.Vitabu vilivyoandika historia hii havionekani.ni ajabu mtu kusema watumwa waliopelekwa uarabuni ni wachache wakati waarabu waliwasaka kutokea kongo;ujiji;tabora;kondoa ;morogoro;pwani;bagamoyo yenyewe na nchi nzima.Katiba ya Tanzania ilaumu utumwa waziwazi na kusema kamwe harudi huko na ifundishwe vizuri mashuleni.Katiba itakayoweza hili ni ya Tanganyika.
 
wa oman wanaishi pamoja kwa mchanganyiko wa matabaka bila ya kujali rangi au asili yako.
kila secta wako waoman wa kila kabila ....
ukienda Dhofar, Salalah ambao ndio mjii wa pili baada ya Muscat ni mjii unaotawaliwa na waoman weusi sana, na wao ndio wenye mji.niliwahi kutembelea huko na mwnyeji wangu akaniambia hapa ukitaka kufanya biashara basi mpaka uwaone hawa wenyeji weusi huu ni mji wao.....
ieleweke watumwa walio pelekwa arabuni ni kidogo sana ...kwani wenyewe waraabu miaka hio wakikimbia huko kwao ilikua hakuna ila jua.hakukuwa na shughuli yoyote iliyo hitaji watumwa. wengi ni wale walokua wakifanya kazi kwenye majahazi na wengine kazi za nyumbani ambao ni kiodogo.
hawa wamezaa na kuchanganya damu na waoman wa asili.leo mfalme wa oman ni sawa na obama ...na yeye amechangia damu ya mama muafrika.



View attachment 131802

View attachment 131803

View attachment 131804

View attachment 131806View attachment 131807View attachment 131808

View attachment 131809View attachment 131810

View attachment 131811
View attachment 131812View attachment 131814


View attachment 131815View attachment 131816

huyu anaweza kuwa babu yako..lakini si mnyamwezi tena bali ni muoman na mwarabu pia.
View attachment 131819
View attachment 131820

View attachment 131821View attachment 131823View attachment 131824

View attachment 131804View attachment 131803

tofauti ya hawa na wale wa usa hawa hawavai hirini au suti

Kwa hiyo sultani qaboos ni muafrika?
 
ok sawa huyu ni mtanganyika aliuzwa na machifu wenu kwa slave hunters.
machifu wakiuza watumwa wakiletwa znz na wazungu wakinunua.
ujinga uliokuwapo tanganyika ndio ulo wafanya machifu wauze watu wao.
na hakuna mzalendo wa asili wa zanzibar alifanywa slave.
zanzibar kilikua ni ni kituo cha biashara ya utumwa..na hakuna mtumwa wa kipemba wala wa kitumbatu wala kimakunduchi.

Haya bwana. siku hizi wala siendelezi mijadala kama hii. Umeshinda. duh, Mzungu alikuwa akinunua watumwa zanzibar!! Maajab haya.
 
Naona sasa ulivyokuwa na chuki na Waislam! Hivi mfano Mchungaji Shoga Gene Robinson wa Anglican unaweza kusema Wakirsto wote ni mashoga?

Sijui kama umeishasikia kuwa Kanisa liliomba msamaha kwa biashara ya utumwa.

Turudi kwenye mada ya msingi huyu mtoto mtumwa ametokea wapi mpaka kufika Zanzibar.

Post yangu inajibu nini na wewe unaleta nini. Mwenzio kataka picha ya utumwa zanzibar, nimeleta picha ya mtumwa zanzibar. Sasa wewe unaazisha ligi mpya ya nini? Chuki yangu dhidi ya waislamu inakuja wapi. Sababu pekee ya mwenzio kukataa utumwa zanzibar ni kuwatetea waarabu kwa sababu tu ni ya yeye anajiona muarabu kwa kuwa ni muislamu hakuna kingine!
 
Mkuu JF kuna great thinkers unapoweka kitu ni vizuri kuweka na ushahidi ili kujenga nguvu ya maneno yako, inakuwa ngumu watu kuamini maneno matupu ambayo hayana facts wa data.

Vitu vingine ni common knowledge na vinakubalika tu, hivi tunahitaji kuweka link kuthibitisha sheikh amani abeid karume ni mnyamwezi? ingekuwa tuna ubishani kuwa zanzibar inamaanisha vingine sawa, lakini kama hakuna, kwa nini mtu ambaye hajui maana ya neno zanzibar ashindwe kuniamini?

anyway chukua hii mojawapo:

"The name Zanzibar came from a combination of two Arabic words, 'Zinj', meaning black, and 'barr', being the Arabic word for land, the result meaning 'Land of the Blacks'."

source: Zanzibar :: What's in a name? | Specials
 
ilipinduliwa na magongo na marungu
Kajifunze kuandika, hili ni swali maelezo au washangaa?Punctuate
The_Pretender.jpg
 
How about vatican/jerusalem and mafia including children kidnapping!
And molestation!

There is definitely relations there.

Maxshimba.

There is/are none in what you mentioned, in contrast, and as I construed before, there is more similarities between Allah, Arab and Islam.

In fact, the religion of peace is for Arabs and not otherwise.
 
All of them were decapitated by Jibril's sons.[/QUOTE

Asante kwa taarifa.ndugu tuungane tuweke kumbukumbu ya historia ya utumwa hapa kwetu.zipo juhudi za kufifisha histora hiyo kwa visingizio tofauti.vitabu vinatoweshwa.elimu hii imechakachuliwa mashuleni.kumbukumbu haztunzwi.hata lile kanisa pale zenj lenye kumbukumbu muhimu linapigwa danadana lichoke kabisa.Vitabu vilivyoandika historia hii havionekani.ni ajabu mtu kusema watumwa waliopelekwa uarabuni ni wachache wakati waarabu waliwasaka kutokea kongo;ujiji;tabora;kondoa ;morogoro;pwani;bagamoyo yenyewe na nchi nzima.Katiba ya Tanzania ilaumu utumwa waziwazi na kusema kamwe harudi huko na ifundishwe vizuri mashuleni.Katiba itakayoweza hili ni ya Tanganyika.

It is hard if not impossible to do that because of the nature that is controlling Zanzibar. Most of those Zanzibaries who are in control, if not all of them, believe in an Arabic religion sometimes known by the name of the religion of peace. These people worship Arabs. These people worship Arabic language. These people wants to be Arabs. These people are mentally toxicosis brainwashed by jibrilic diabolical faith. Do you think these brainwashed Zanzibaries are ready to expose their Arabian deity? One good friend said. "Emancipate yourself from mental slavery". Indeed, the Zanzibaries needs that.
 
It is hard if not impossible to do that because of the nature that is controlling Zanzibar. Most of those Zanzibaries who are in control, if not all of them, believe in an Arabic religion sometimes known by the name of the religion of peace. These people worship Arabs. These people worship Arabic language. These people wants to be Arabs. These people are mentally toxicosis brainwashed by jibrilic diabolical faith. Do you think these brainwashed Zanzibaries are ready to expose their Arabian deity? One good friend said. "Emancipate yourself from mental slavery". Indeed, the Zanzibaries needs that.

Akhasante kwa kidhungu lakini kama si huu muungano wa kulazimishwa wazanzibari na watanganyika wa bara(sio wa pwani) hawafanani kwa tabia mila ustaraabu hulka silka dini lugha nyie ni wazungu weusi sisi ni wazanzibari....
 
Mag3, Hakuna mtu yoyote anayemshambulia Pasco watu wanahoji hayo Mapinduzi anayoyaita matakatifu, wewe huu upupuu ulioleta ndiyo historia ya mapinduzi?
Naona unaanza kuchanganyikiwa, nimepitia huu mjadala toka mwanzo, hakuna sehemu hata moja Pasco kayaita Mapinduzi matakatifu. Januari 12 ni siku ya kusherehekea Mapinduzi matukufu kama alivyosisitiza Dr. Mohamed Shein, Raisi wa Zanzibar mwenyeji wa Pemba leo katika sherehe ya kumbukumbu. Halafu anatokea mtu eti anahoji kwa nini Pasco anayaita Mapinduzi matukufu. Mapinduzi matukufu ya kuwang'oa walowezi wa kiarabu yalifanywa 1964 na yaliongozwa na Field Marshall John Okelo na huo ndio ukweli...kubwabwaja ovyo hakutaondoa hilo. Bila Okello hakuna mapinduzi matukufu na tofauti na Pasco wengine hayo mapinduzi matukufu yalitukuta, kwaherini.
 
Kwani, kuwa askari wa zanzibar ni shart kuwa Muislamu?

Wewe mtoto ustuletee udini hapa na huyo mgalatia Pasco.

Ni kifungu gani cha sheria kinasema kuwa kila polisi zanzibar lazima awe muislamu.
Huna adabu hata kidogo. Kuja kuleta uchonganishi na kugawa watanzania!
Au umekosa kazi ya kufanya kama huyo msukuma anejidhanj ni myahudi!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Wabe ,umepotea sana!.

Kuna vitu kuhusu Okello havitajwi, baada ya kufanikisha MAPINDUZI MATUKUFU ya Zanzibar, kwa kutumia dawa za miti shamba za wana Mau Mau, ile tarehe 12 January 1964, siku 5 baadaye Okello alishuka bara tarehe 17, January, 1964, kesho yake tarehe 18, January 1964, jeshi liliasi Juliasi alitoroshwa kwa mtumbwi huku kavishwa baibui!, Okello was lineup kwenda kutangaza!, Thanks to Brits walizima jaribio lile, Karume akashauri Okello akirudi Zanzibar auwawe, Nyerere akamgomea!, hivyo akarudishiwa Airport, akarudishwa bara, akapelekwa kwao Uganda , baadaye alijipenyeza kurudi Kenya ku taka kuwakomboa kina Dedan Kimathi,
Pasco

Je umewahi kumsilia Kanali Ali Mahfoudh?
Je unajuwa kama Nyerere alisema kuwa Uasi ule wa Jeshi ulipangwa Zanzibar?
Je unajuwa kuwa kauli ya Nyerere kusema "In the near future Zanzibar is going to be a big headache to us, I wish I could tow away that Island to the middle of the Indian Ocean" (hakusema those Islands) sababu ni kuwa Waafrika waliokuweko Zanzibar ndio waliopanga mipango ya kumwangusha 1962? Na Kambona na Hanga ndio alikuwa his main suspects na fates zao zimeishia wapi?

Je mnajuwa kuwa alomkimbiza Nyerere na kumficha nyumbani kwake shamba ni Mwarabu?
 
Akhasante kwa kidhungu lakini kama si huu muungano wa kulazimishwa wazanzibari na watanganyika wa bara(sio wa pwani) hawafanani kwa tabia mila ustaraabu hulka silka dini lugha nyie ni wazungu weusi sisi ni wazanzibari....

The issue here is the fear of committing infidelity in jibrilicious traits which is consolidated in the faith of most Zanzibaries, to wit
 
Wanabodi,

Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.

Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.

Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.

Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!.

Pasco.

Acha chuki., John Okello si ndo alieneza dini ya kikiristo Tanganyika,, na ndo mpaka leo munaninginiza msalaba shingoni eti mutabarikiwa na kupata pepo mkifa
 
The issue here is the fear of committing infidelity in jibrilicious traits which is consolidated in the faith of most Zanzibaries, to wit
Ndio maana nikasema watu kama nyinyi ni ardhi na mbingu na wazanzibari
Na faith ya wazanzibari ni uislamu na huo ndio uliku toeni bara mliko kuwa mnaishi na ngombe kwenye vibanda mkakimbilia zanziba na dar es salam kwenye uislam na pilau zao.
Leo mmestarabika kiduchu mshakua wadhungu kuliko wazungu wakati hao wazanzibari ndoo waliwapa viwanja wazungu wako kujenga makanisa znz na dar. Wao ndio walio tafsiri hii biblia yako kwa kiswahili
Bi kidude aliimba usimtukane mkunga uzazi ukalipo
 
Ndio maana nikasema watu kama nyinyi ni ardhi na mbingu na wazanzibari
Na faith ya wazanzibari ni uislamu na huo ndio uliku toeni bara mliko kuwa mnaishi na ngombe kwenye vibanda mkakimbilia zanziba na dar es salam kwenye uislam na pilau zao.
Leo mmestarabika kiduchu mshakua wadhungu kuliko wazungu wakati hao wazanzibari ndoo waliwapa viwanja wazungu wako kujenga makanisa znz na dar. Wao ndio walio tafsiri hii biblia yako kwa kiswahili
Bi kidude aliimba usimtukane mkunga uzazi ukalipo

It seems you are behind History. Get some food for thought here: Zanzibar Christians
 
Watu wanaofikiri kwa kutumia MAKATO utawajua tu. Mtu katoa hoja bila kuutaja uislamu wewe unaanza kujihami. Kwani waarabu kuwa waislamu ndio kwamba hawakutenda ubaya? Waarabu si ndio wanaua waislamu wenzao kule Dafur? Mada inawahusu waarabu na si wazungu. Tumia kichwa kufikiri na sio hicho kiungo cha biashara yenu kule znz na Tanga.

Kumbe Salva Kiir na Riek Mashar ni Waarabu.tehe tehee teheee.Sudan imetoa Uhuru kwa Sudan Kusini,hakuna vita Sudan bali sasa vita iko Sudan Kusin.Hatusikii tena habari za Janjaweed.Unaishangaza dunia kudai Waarabu wanawaua ndugu zetu kule Darfur.Tehe tehee teheeeee.
 
Back
Top Bottom