Kwa ufupi Zanzibar hakuna baba wa taifa wala mama wa taifa ,usemi huo hawanao WaZanzibar tena msijilete
kimbelembele kuwachomekea ,hayo ya baba wa taifa na mama wa taifa ni hukohuko upande wapili.
yeye alikua askari wa kukodiwa.mercanery.....hana utambulisho....ni mpiganaji wa kikristo aliekodiwa kwa niaba ya kanisa kuumaliza uislam zanzibar...haya mengine ni porojo tu...
Unakubaliana kuwa Okello alisoma CUBA?
Wewe unaamini kuwa uislamu ni dini dhaifu sana ambayo kila mkristo anaweza kuimaliza kirahisi tu.
we ni mwarab nin? amekuuliza babu zako wa kiarab walioleta ustaarab zanzibar? ha ha ha....ukikosa elimu mtu sijui unakuaje? leta hoja na si matusi na udini. huna hoja acha watu wenye akili wajadili. pole kwa kuuliwa babu zako.
ndugu yangu acha thropology ambzo mwenyewe unashndwa kuzfanyia idequetion,unaniuliza mm kuwa ni mwarabu simply b,couse nimesema mume2ulia babu ze2,hyo ndg yng ni self intermesity ya m2 hupaswi kuijua then unaashiria kwmb mm sina elimu hlo pia ni self intermesity haikuhusu pia,mm ndg yng sina elim kubw ila umr wng unaniruhusu kusoma zaid,binafsi nina master ya law with international law na sasa hv nafanya phd ya human physycology,ili niweze kudeal na watu wenye iq ndgo km wew,ndg nnach kufndsh jibu hoja ach kuinglia maisha y m2 binafsi
ni john okello
Tunapoelekea kwenye kilele cha sherehe za Mapinduzi ningependa tujiulize swali hilo ambalo limekuwa na mkanganyiko sana kutokana na Itikadi mbalbal za watu.
Je, baba wa Taifa la ZANZIBAR NI NANI KATI YA HAWA?
(a)John Okelo
(b)Abeid Karume
(c)Sultani bin Said
Hivi wewe unaakili sawasawa? Hata kama mamayako hakukupa malezi unapaswa kujifunza hata kutoka kwa majirani. Udini unakusumbua wewe juha. Huwezi kuandika bila kuwataja wakatoliki? Mbona hospitali zao unakwenda kutibiwa? Mbona shule zao mnasoma?
Wewe ndio msomi wa kiZanj bar mtupu kabisa kichwani,kama babu jinga wenu Mohammed Said...unaandika kama mtoto wa form two,hii ni elimu zanzibar university lazima...Think tank za waZnz hizi..Kwa mtindo huu sijui mtakuwa taifa la namna gani kama sio Somalia mpya.
we kashamba kweli nyerere si baba yenu. Au umesahau zanzibar si nchi
John Okello ni nani?? Na kwa nini historia na mchango wake kwa taifa unafichwa fichwa?
Mkuu usipoteze energy yako bure! Huyu Matembere hana hoja! Hizo kasumba zao za Kuchukia waarabu na uoga wao dhidi ya Warabu hautushuhulishi kwa lolote!
John Okello ni nani?? Na kwa nini historia na mchango wake kwa taifa unafichwa fichwa?
Tafuteni kitabu chake alicho andika mtajua katumwa na nani. Yeye ndio jawabu.kwa uchache amesema ametumwa na yesu kuupindua uislam zanzibar lakini wakristo wenzie walim betray . Kwa mujibu wa okelo mapinduzi yalikua ni crusade na miaka ya mwanzo ya mapinduzi masheikh wengi waliuliwa na kufungwa . Elimu ya dini ya kiislam ilipigwa marufuku . Viongozi wakidhihaki Quran hadharani.
Ilikua pindua zanzibar na dini yao.