Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Hili linaloendelea ni somo kubwa sana kwetu sanaDuh tumeachwa pakubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili linaloendelea ni somo kubwa sana kwetu sanaDuh tumeachwa pakubwa.
Na matokeo yakiwa ni kinyume chake urudi hapa hapa tena.Kwenye kesi hakuna kitu kidogo wala kikubwa.Mtu anaweza kushinda kesi kwa kipengele kidogo sana.Mahakamani lolote linaweza kutokea.Nachokukatalia wewe ni kuja na judgement yako moja kwa moja,unaendeshwa na mapenzi yako zaidi kwa Ruto na siyo facts zilipelekwa Mahakamani katika kufikia maamuzi yako ya 'kesi kutokuwa na foundation' umesikia nyegela waitu!Hapana dada yangu mpendwa, Kila mtu ana haki ya kusikilizwa.
Wanachofanya majaji ni kutoa haki ya kumsikiliza Odinga, ametaka baadhi ya vituo kura zihesabiwe tena wamemkubalia. Hana ushahidi ni kama anabahatisha bahatisha tu.
Utaniambia mwisho wake, Ukuniwila, ango?!
Kuna mmoja hapo nimemuona ni Othman Chande Jaji mkuu mstaafu wa Tanzania,sijui anajifunza nini,Tz muone aibu,tupo nyuma mno sijui tupo wapi?Waangalizi wa kimataifa wakifuatilia kwa makini mwenendo wa Mahakama ya Juu.
View attachment 2340754
Mkuu asante kwa kutuhabarisha live,Mungu akutie nguvu,tunafuatiliaFomu zilipakuliwa kutoka kwa mfumo na kupakiwa na maelezo mapya - Philip Murgor.
View attachment 2340764
Alishaingiza upepo janaSioni Ruto akiruka hiki kiunzi.
Unamaanisha nini!?Alishaingiza upepo jana
Wako mapumziko ya lunchMbona kimya ghafla
Nyamizi upo upande upi wa Ruto ama Raila?Wako mapumziko ya lunch
Yuko upande wa haki.Nyamizi upo upande upi wa Ruto ama Raila?
Yes atakaye shinda kwa halali ndiye anafaa kuwa rais lkn hii ngoma inaashiria uchaguzi utarudiwaYuko upande wa haki.