ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ushuzi mtupu he will dare nothingWakitaka damu imwagike Kenya wampore ushindi hustler
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushuzi mtupu he will dare nothingWakitaka damu imwagike Kenya wampore ushindi hustler
Ndio maana nyinyi ni wafu mnaotembea mchana!!!! how can you comment such a stupid thing katika ulimwengu wa demokrasiaMambo ya kupeleka kesi mahakamani kupinga urasi. Tz tuliona mbal mno yaan nitangazwe mshindi alfu mpinzani Akimbilie mahakamani siyo sawa sas wakija kubadilisha itakuaje
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Chebukati alianza ubabe hata kabla ya uchaguzi wenyewe,two weeks akawapa majukumu tofauti kabisa kina Cherera,halafu yeye kabakia na ya kutangaza.Nimecheka Wakili mmoja kasema alijipa kazi ya kuwa MC wa kutangaza matokeo na siyo kuverify ambayo ndiyo kazi yake kubwa ikiwa ilipaswa kufanywa na yeye mwenyewe na Commisioners wenzie.aisee uchaguzi unaweza kurudiwa,spana zinazopigwa ni hatari
Sio kweli labda kama ufatilii siasa za Kenya,MTU pekee ambaye wakenya wote wanamuogopa akiamua kuleta vurugu na jamii inaitikia ni Odinga.Wakitaka damu imwagike Kenya wampore ushindi hustler
Nduhu ilumbuye, nene nate okwene, de sezayo, lina lyakwiyineka duhu ileneli!Na matokeo yakiwa ni kinyume chake urudi hapa hapa tena.Kwenye kesi hakuna kitu kidogo wala kikubwa.Mtu anaweza kushinda kesi kwa kipengele kidogo sana.Mahakamani lolote linaweza kutokea.Nachokukatalia wewe ni kuja na judgement yako moja kwa moja,unaendeshwa na mapenzi yako zaidi kwa Ruto na siyo facts zilipelekwa Mahakamani katika kufikia maamuzi yako ya 'kesi kutokuwa na foundation' umesikia nyegela waitu!
Wabheja sana Isezaye[emoji3].Nimekupata vizuri sana.Ngoja tujikite kwa Mahakama ya Upeo kuona kinachoendelea tupanue maarifa.Nduhu ilumbuye, nene nate okwene, de sezayo, lina lyakwiyineka duhu ileneli!
Hapo juu nimekupoteza!
Tukirudi kwenye mada, itoshe tu kusema kwamba umeongea ukweli mchungu!
Tole shihamo.Wabheja sana Isezaye[emoji3].Nimekupata vizuri sana.Ngoja tujikite kwa Mahakama ya Upeo kuona kinachoendelea tupanue maarifa.
Kwa hilo tuseme ukweli,tumezidiwa.Ona hata tuliopo huku Manerumango tunaona mubashara kinachoendelea ndani ya SCOKTole shihamo.
Shida ya Kenya ni kwamba mahakama ziko huru ukilinganisha na zetu. Tudegeleke mbina kacheele.
Nimeona jamaa wa IEBC wamegoma kuwaruhusu maafisa wa muzee Baba kufanya uchunguzi wa mfumo wa IT uliokuwa unapokea matokeo.100%
Kuna hii picha wakati mahakamani mtifuano unaendelea jamaa anawaangalia kupitia sinema na kuongea kwa rununu basi RAO yupo vizuri ni vile jamaa wanampiga chini tu.aisee uchaguzi unaweza kurudiwa, spana zinazopigwa ni hatari
Ndio naanza kukuelewa mwambaNdio maana nyinyi ni wafu mnaotembea mchana!!!! how can you comment such a stupid thing katika ulimwengu wa demokrasia
Wakumbushe hao kuwa amani ya Kenya inamtegemea sana Raila kuliko mtu yeyote.Sio kweli labda kama ufatilii siasa za Kenya,MTU pekee ambaye wakenya wote wanamuogopa akiamua kuleta vurugu na jamii inaitikia ni Odinga.
Uchaguzi haurudiwi. Rutto is undisputtable winner. Hata hivyo uchaguzi ukirudiwa hata mara 50 Odinga will never win labda apewe tu urais nje ya msingi wa kura. Lakini je hiyo inawezekana?Kuna hii picha wakati mahakamani mtifuano unaendelea jamaa anawaangalia kupitia sinema na kuongea kwa rununu basi RAO yupo vizuri ni vile jamaa wanampiga chini tu.
View attachment 2341244
Ila RAO kasema kama atakuwa kashinda basi si suala la kurudia uchaguzi bali kumtangaza mshindi.
Acha kupotosha!!??Hakuna wakili aliyejibu zaidi ya Philip Murgor ku clarifyRaila analiwa pesa bure, Orengo amepwaya sana, re count sampling imefanyika hakuna jipya lolote. Mawakili wake wameulizwa maswali mepesi tu hawana justification. Raila is an Epitome of loosing
Tusibiri rejoinder.Acha kupotosha!!??
CJ hakuwapa nafasi ya kujibu leo amewaambia wajibu maswali wakati wanafanya rejoinder......
On top of that hayo maswali yakijibiwa yanaclear doubt. Huoni kwamba wanalay ground for Raila win
Mara hii wamekataa ujinga... unaenda kupigania mwanasiasa kisha baada ya muda wanaenda kushikana mkono na kupeana ulaji bila mabadiliko yoyote huku wewe umekufa au kujeruhiwa..!Sio kweli labda kama ufatilii siasa za Kenya,MTU pekee ambaye wakenya wote wanamuogopa akiamua kuleta vurugu na jamii inaitikia ni Odinga.