Mara nyingi wanawake hawaoini kuna tatizo na huzoeana kama mabesti na gays, hii imechangia sana kundi kubwa la gays kuwa watoto wa single mothers.

Mara nyingi wanawake hawaoini kuna tatizo na huzoeana kama mabesti na gays, hii imechangia sana kundi kubwa la gays kuwa watoto wa single mothers.

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
wanawake wengi wanaona hakuna tatizo lolote kwa mwanaume kushiriki ama kuwa na viashiria vya mapenzi ya jinsia moja, kwao huchukulia ni sawa tu..

Tumeshajionea mpaka mitandaoni wanaume wanacheza vigodoro na wanasifiwa sana na wanawake, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote.

Mwanaume anavaa kikuku, wanawake wanamsifia kapendeza, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Mwanaume anapiga stori za kimbea na ile misisitizo ya "halooooo" , wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Mwanaume anavaa mavazi ya kike, wanawake wanampongeza kapendeza, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Wengi wasichokijua ni kwamba gays wengi marafiki zao ni wanawake, hawa wanawake wanawachukulia kama shosti zao, shida inakuja pale akianza kuja nyumbani, mtoto wa kiume anaanza kuona ni sawa kuiga namna anavyotembea, kucheza, kuongea, n.k. ni suala la muda tu !
 
Hii ni kweli kabisa, ndio maana wanawake wengi wanafurika saluni za kike zenye wasusi mashoga. Hata huko masaluni makeup artist wanaoaminika zaidi ni mashoga.

Hili swala sijui linasababishwa na nini, bado nalifanyia utafiti zaidi.
 
Kama walishirikiana na devil 😈 kututoa kwenye reli, kwao sio shida.........
 
Inashangaza, hii huwa sijui kwa nini mabinti hutengeneza urafiki wa karibu na watu wa namna hiyo.
 
Bora wanawake wanaotengeneza nao urafiki
Kuliko wanaume wanaowashughulikia huko vyumbani..!

Mkiwa kijiweni mnawasema! Mkitawanyika mnawapigia simu kuwaomba utamu
Wengine wanachangia huu uzi kuwaponda huku mademu zao ni mashoga🚮
 
Lamomy hii imekaaje mkuu

mbona wanakuwa washkaji zenu?
Mfano nani hao gays?
Mimi simjui yeyote humu km ulivyo wewe.!!
Ninachofanya ni kufurahi na members wote ambaye atanichekesha nitacheka, atakayeongea fact ntamuunga mkono.!
Sijui jinsia za watu na sio kazi yangu kufatilia hilo.!

Wewe mwenyewe sijui km kweli ni kijana au ni babu? Nipo kufurahi.!
Humu JF kila mmoja ana uhuru wake, hivyo siwezi kuingilia kimtokacho mtu.!
 
KUna fuse kichwani iliungua toka wanaumbwa, tusiwachekee chekee. Ke wanaharibu sana kizazi cha wanaume ulimwengun
Tunawashinda nyie ambao mnawaingilia??
Waharibifu wa kwanza wa wanaume ni wanaume wenyewe, acheni kuwaingilia muone km kutakuwa na gays mxiewww
 
Mfano nani hao gays?
Mimi simjui yeyote humu km ulivyo wewe.!!
Ninachofanya ni kufurahi na members wote ambaye atanichekesha nitacheka, atakayeongea fact ntamuunga mkono.!
Sijui jinsia za watu na sio kazi yangu kufatilia hilo.!

Wewe mwenyewe sijui km kweli ni kijana au ni babu? Nipo kufurahi.!
Humu JF kila mmoja ana uhuru wake, hivyo siwezi kuingilia kimtokacho mtu.!
Yaani, ni kwanini mashoga wengi wanakaa na wanawake kwa karibu? Na wanawake hamuwatengi?

Au unakwepa swali?
 
wanawake wengi wanaona hakuna tatizo lolote kwa mwanaume kushiriki ama kuwa na viashiria vya mapenzi ya jinsia moja, kwao huchukulia ni sawa tu..

Tumeshajionea mpaka mitandaoni wanaume wanacheza vigodoro na wanasifiwa sana na wanawake, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote.

Mwanaume anavaa kikuku, wanawake wanamsifia kapendeza, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Mwanaume anapiga stori za kimbea na ile misisitizo ya "halooooo" , wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Mwanaume anavaa mavazi ya kike, wanawake wanampongeza kapendeza, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Wengi wasichokijua ni kwamba wanawake huwa wanawachukulia hawa watu kama shosti zao, shida inakuja pale akianza kuja nyumbani, mtoto wa kiume anaanza kuona ni sawa kuiga namna anavyotembea, kucheza, kuongea, n.k. ni suala la muda tu !
Huu muda na nguvu mnayotumia kujadili petty issues kama hizi mngetumia kupambania nchi yenu Samia asingetumia mapato ya Tanganyika kuijenga Zanzibar
 
wanawake wengi wanaona hakuna tatizo lolote kwa mwanaume kushiriki ama kuwa na viashiria vya mapenzi ya jinsia moja, kwao huchukulia ni sawa tu..

Tumeshajionea mpaka mitandaoni wanaume wanacheza vigodoro na wanasifiwa sana na wanawake, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote.

Mwanaume anavaa kikuku, wanawake wanamsifia kapendeza, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Mwanaume anapiga stori za kimbea na ile misisitizo ya "halooooo" , wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Mwanaume anavaa mavazi ya kike, wanawake wanampongeza kapendeza, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Wengi wasichokijua ni kwamba wanawake huwa wanawachukulia hawa watu kama shosti zao, shida inakuja pale akianza kuja nyumbani, mtoto wa kiume anaanza kuona ni sawa kuiga namna anavyotembea, kucheza, kuongea, n.k. ni suala la muda tu !
wote wenye ushirikana na mashoga,
Muumba mbingu na ardhi awajalie watoto kama hao.
Ameen
 
Yaani, ni kwanini mashoga wengi wanakaa na wanawake kwa karibu? Na wanawake hamuwatengi?

Au unakwepa swali?
Sasa mimi ushoga wake unanihusu nini??
Mbona kuna wanawake mashoga lakini hatuwakimbii??

Halafu hakuna kiumbe muongo km mwanaume, niliwahi kuwa na mwanaume ile kimapenzi ya uongo (mawasiliano ya simu mtandaoni) anajifanya anapinga ushoga kumbe alikuwa na mwanamke anamfanya back door na anasifia huyo mwanamke alikuwa analalamika sana.!! Niliposikia hivyo nikajua wale wale hata mashoga usikute kapita nao.!!
Wanaume humu mkiwaona wanapinga sana ushoga ni waongo, wenyewe ndo michezo yao pendwa huko uraiani mxiewwww
 
wanawake wengi wanaona hakuna tatizo lolote kwa mwanaume kushiriki ama kuwa na viashiria vya mapenzi ya jinsia moja, kwao huchukulia ni sawa tu..

Tumeshajionea mpaka mitandaoni wanaume wanacheza vigodoro na wanasifiwa sana na wanawake, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote.

Mwanaume anavaa kikuku, wanawake wanamsifia kapendeza, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Mwanaume anapiga stori za kimbea na ile misisitizo ya "halooooo" , wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Mwanaume anavaa mavazi ya kike, wanawake wanampongeza kapendeza, wanawake hawaoni kuna tatizo lolote

Wengi wasichokijua ni kwamba gays wengi marafiki zao ni wanawake, hawa wanawake wanawachukulia kama shosti zao, shida inakuja pale akianza kuja nyumbani, mtoto wa kiume anaanza kuona ni sawa kuiga namna anavyotembea, kucheza, kuongea, n.k. ni suala la muda tu !
Hivi mkiwapotezea tu mtapungukiwa nini?

Hamuoni kwamba hapa mnawapa promo?
 
Back
Top Bottom