Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unataka usaidiwe kukataa ama kukubali?.Wataalamu wa afya ya uzazi mliopo humu hii inawezekanaje yaani huyu mtu kanitia stress binafsi nimekataa.View attachment 3045017
Kwa hili nimekubali kuwa kaniona boyaMwanamke anakutreat kulingana na akili zako.Jiangalie bro😂😂
Ni ngumu kukubali haingii akiliniDah ,, sio yako Ila Kubali tu lakini
DuhKwan alikuwa Bikra mkuu
Mwanzo niliamini ila Kila nikijaribu kufikiri najiona kabisa nimekosea sanaHapo unataka usaidiwe kukataa ama kukubali?.
Huwezi jua labda nanyie ni wateule coz mzee yusufu angekataa ile mimba ya bi mariam unahisi ingekuaje so kubali mkuu usikute mmechaguliwa mtuletee mwokozi 😅😅Kwa hili nimekubali kuwa kaniona boya
Hapana sio yanguNi yako mkuu usikatae 😹😹
Hili ni tusi mkuu 😂😂😂UKIKOSA AKILI JITAHIDI KUWA NA AIBU MAANA UJINGA NA CONFIDENCE Huwa HAVIENDANI"
Usikubali hiyo Kesi
Yaan kakuona Boya sanaaKwa hili nimekubali kuwa kaniona boya
Ngoja tuone miezi Tisa sio mingiHuwezi jua labda nanyie ni wateule coz mzee yusufu angekataa ile mimba ya bi mariam unahisi ingekuaje so kubali mkuu usikute mmechaguliwa mtuletee mwokozi 😅😅
Eeh hudumia mkuu, miezi tisa ikitimia utuletee uzi hapaNgoja tuone miezi Tisa sio mingi
Kihasibu tunasema balance carried forwardWataalamu wa afya ya uzazi mliopo humu hii inawezekanaje yaani huyu mtu kanitia stress binafsi nimekataa.View attachment 3045017
Ya mungu mengiEeh hudumia mkuu, miezi tisa ikitimia utuletee uzi hapa
Mimi nimecheck kwenye VAR ni yako bana 😹😹😹Hapana sio yangu