Aika MaeAnakuambia walizibua mirija yaani sperms zako zilikuwa zimenasa ndo zikaingiq. π€£π€£ na mimba juuu.
Hiyo nayo ni miujiza
Hizi akili hizi πππHata mtaro ukizibuliwa maji huanza kupita...
Miezi mitatu tayari kwani? πNi yako mkuu usikatae πΉπΉ
Ni mtu mzima kanipiga gap mwakaIla kuna wadada wengine ni smart kwenye uongo, yaani anakudanganya while wewe unajua ni uongo ila na wewe unajikuta unaupenda uongo wake hadi unakubali yani... sema huyo wako kidogo anaonekana hana uzoefu na mambo ya uzazi na usikute ni chitoto cha 2000.
Mahi πππMiezi mitatu tayari kwani? π
Hesabu zangu ilikuwa tukutane mwezi wa 9 π€£Mahi πππ
Imefika tayari angalia kalenda yako vizuri
Anhaa basi ndio maana anakuchukulia wewe mjukuu wake, kwamba anakumudu... ushauri wangu we msapoti tu kama unauwezo wa kumsapoti coz anaonekana amekwama kimahesabu na anaona wewe ndio mtu wa kumvusha kwenye hiko kipengele alicho nacho.Ni mtu mzima kanipiga gap mwaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mtaro ukizibuliwa maji huanza kupita...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waliomzibua mirija ya uzazi walitumia kifaa gani?
Umerudi na vazi rasmii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni yako mkuu usikatae [emoji81][emoji81]
πΉπΉπΉ kalenda ishageuka mahiHesabu zangu ilikuwa tukutane mwezi wa 9 π€£
πππ Ahsante udugu wanguUmerudi na vazi rasmii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibuu uduguuu.