Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

itakuwa na eneo lako wamekupa kabisa ikibidi anza kujenga
 
Aisee, 1987 nilikua hata tumbon simo.
 
We jamaa nimekkubari unaongea vitu vipo very above common human understanding.!
 
Huenda unakaribia pia kufa,sema tu umesahaulika.
Miaka 35 tangu kutokewa na huyo malaika sio haba,omba sana ufike February 2022
 
Kumbe malaika nao wanaonge kama wale watu wa kweny movie ya yesu..
 
Mkuu umezima private messages. Naomba unicheki Whatsapp 0676434611. Kuna Jambo nataka nikushirikishe. Asante
 
Samahanini sana. Kumekuwa na mixed feelings hapa. Nitakuwa nimeanzie mbele zaidi. Labda nianze na vitu simple.
Huyo malaika kwani alikuambia uandike vitu simple?

Kwani walikuambia uwaandikie wasio na mixed feelings?

Kwani Bible imeandikwa vitu simple?

Hii lack of consistency kwako inawafanya watu waone hii ni story ya kutunga na zaidi ni chai!

Tembea na beat uliokuwa unatembea nao kama hv: ..... mwenye ufahamu na asikie...

Full stop!
 
[emoji817]
 
Mpaka hapo story yako inapingana na biblia hivyo ni dhahiri hao ni Malika wa giza wanajaribu kukutumia kukutoa ktk njia na kuongoza kuwatoa wengine ktk misingi ya kweli za biblia.
Cha kufanya washirikishe wengine wakusaidie mfunge pamoja kukemea na kuomba neema ya Mungu na roho hao wachafu watakoma kukufuata
 
Vijana vuteni bangi original! Kushabu zinaharibu akili
Mzee mbona mmengangana bangi bangi..wew unakiamin ulichofundishwa kanisan au msikitini..what if si kwel...so watu wakija na bahar nyingne why usisome na kutulia uka judge mwenyew..unabak kusema bang bang...hii dunia ina watu 8bil...wakristu ni 20 % waisilamu sijui ..inamana hao wengne woote ni wajinga na iman wanazoamin...so ikiletwa hoja usikimbilie tu kusema bangi bangi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…