Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

Ulijuaje Kama alie kutokea Ni Malaika isije kua umetokewa na majini mzee
 
Punguza ujuaji brother.
 
Wajuaji ni wengi humu halafu wajinga wajinga tu hawana lolote wanalolijua.

Tuvumiliane tu.
 
Samahn kwa kuingilia... Naomba nijuze siri ya number 3 na nguvu ya mfungo wa Tatu kavu
 
jamaa smart sana asante kwa ujumbe nimejifuna kitu akija tena ukipost ni tag...
 
kila anachoongea nikweli jinsi duniani tunavyozidi kuungana tunaidi kua na Amani tunazidi kujua vitu vingi furaha uleta aman na upendo na hapo ndipo tunapo mtukuza MUNGU achana na dini japo akuna dini duniani inayo ubiri chuki nyingi zazo zinatangaza Amani na upendo na Umoja sema tu vitabu na maandishi ndo yapo tofauti ila vyote vinakauli mbiu moja kutangaza Amani furaha na upendo tu
 
Daaàh Mzee huyo malaika ni muongo sijapata kuona!! Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani Mkuu ungemshitukia mapema huyo jamaa kwamba anakupiga na kitu kizito ungemwacha amtafute mtu mwingine aizee!!
 
Mi naona Mzee unachojaribu hapa ni kutulazimishia tu fikra na na Mitazamo yako to kwa kisingizio cha malaika!! [emoji23] [emoji23] Binafsi nimekushitukia!!
 
Utakua na roho safi sana, na utakua unaomba sana sio rahisi hivyo malaika kumtokea mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…