Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Che GuevaraTrump!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Che GuevaraTrump!
Atatafutwa hata kama Atashinda ,hatakiwi Kwa gharama yeyoteHawawezi kumshinda kwa kura!
Wamejaribu lawfare, nayo imeshindikana.
Sasa wanataka kumuua!
Democraps.
Nyie si ni wapumbavu na ndio Huwa mnadanganya punguani wenzenu kwamba Katiba Mpya zitazuia hayo.Aisee, mambo ya ki-CCM yameanza lini huko?
Kuna siku utakuta mke wako analiwa..afu utasema ni igizo..Ukute zoezi limepangwa na Trump mwenyewe Ili kuleta attention kwa watu na huruma hiyo itumike kumchagua siasa ni utapeli.
Alikutukana!? Kuambiwa ukweli siku hizi Ni matusiBinadamu ni mnafiki sana aseeh. Huyu Trump aliyewatukana wa Africa ikawa asilimia kubwa ya watu hawampendi na kumtolea maneno ya shombo kibao. Leo watu wanampenda na kumuombea arudi tena madarakani.
Kisa tuu amepigwa risasi? Lissu ilikuwaje 😂Trump Rais ajaye
Mbona kama picha imepigwa kimkakati 😂 anyway namkubali sana Trump
Na yeye si ndio staili yake ya kufanya siasa!? Wacha waende hivyo hivyo kama anavyotaka yeye waende.Kibabu wao Biden hajitambui sasa wanatumia maguvu!
Losers.
Uko sahihi, sniper Tena USA hawezi kufanya kosa kama hilo kumjeruhi tuu kama lengo lilikuwa kumuua.Nafikiri wanajaribu kumtumia ujumbe, wangetaka kumuua wasingeshindwa.
Kupewa ujumbe kwa Risasi zaidi ya thelathini! Hizi porojo katafute wajinga wa kuwaambia.Uko sahihi, sniper Tena USA hawezi kufanya kosa kama hilo kumjeruhi tuu kama lengo lilikuwa kumuua.
N kama ilivyotokea kwa Lissu ilikuwa n kupewa ujumbe tuu na sio kuuawa.
Target Sio kumuua, ila kuna ujumbe alitakiwa kupewaMkuu Nyani Ngabu hizo risasi zilizo makosa Trump mbona hazikuwa umiza watu waliokuwa mkutanoni na ukiangalia alivyokuwa amesimama kwa kugeuka imekuwaje aumie sikio la kulia tu .
USSR
Na sasa ndio wameshampa urais kirahisi kabisa... Tramp hana haja ya kuendelea na rally, keshashinda kwa landslide..Hawawezi kumshinda kwa kura!
Wamejaribu lawfare, nayo imeshindikana.
Sasa wanataka kumuua!
Democraps.
Hizo risasi 30 alipigwa sehemu gn ya mwili? Imagine angepigwa kichwani au kifuani ungesemajeKupewa ujumbe kwa Risasi zaidi ya thelathini! Hizi porojo katafute wajinga wa kuwaambia.
Kwamba shooter alikuwa anaenda vitani mpaka ashike heavy guns, ambazo kwa USA ni prohibited pia.Assassins wa siku hizi ni wajinga wajinga hasa... nilishangaa ishu ya Sativa kushindw kudedishwa. Hata huko USA pia sniper kashindwa kumdondosha mtu ambaye alikuwa hana movement yoyote ile.. (Static position).
Ok umemkosa, na watu (Walinzi) wamekuja kufanya Covering. Why usitumie heavy guns kupenetrate bullet from one body to another..?
Inasifika USA wana highend tools why mlio wa risasi usikike? Hakuna stealth mechanism iliyotumika (kiwambo)?
Or ni warning tu hawakutaka kumuua?