BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Trump anapitia majaribu mengi kwa kweli. Ni kumuombea sana huyu mzee.
Mpo bize sana na nchi isiyowatambua, wao hawana time na sisi, marekani weusi wameuawa huko kwao ila mmpo tu nyuma yao kuwasapoti kwa maujinga yao.