Marekani hatutakuwa na uwezo wa kumzuia Israel Tena iwapo Iran watashambulia

Marekani hatutakuwa na uwezo wa kumzuia Israel Tena iwapo Iran watashambulia

Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Weka ushahidi solid tuamini ulichoandika, vijana wengu kweye hili la Israel vs Iran mmegubikwa na ushabiki uliokithiri.
 
Hivi we kiongozi uliyeandika Uzi huu unafikiria Nini??

Yaani marekan iwazuie Israel kufanya mashambuliz Iran na wawaruhusu kuyafanya Gaza??

Iran sio kama hao wengine, yaan wale ni viburi wenzao na hawaelew Chcht kama unavofikiria ww
Si ndio hapo sasa? 😂 Yaani Marekani aache kuizuia Israel isishambulie Gaza kuua wasio na hatia ije kuizuia isishambulie Iran?? Sarcasm
 
iran si ajibu tu sisi wanazi tunataka israel afute ayatollah na ushenz wake
 
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Uomgo Israel hawawezi na marekani anajaribu kamakawaida yake ya propaganda hata yeye aingie mstari wa mbele kama alivyoingia gaza hataweza
 
Iran hatuongei sana, tunafahamu kuwa Israel hawezi kurusha hata jiwe mbele yetu na vita hii tunapambana na USA kwa kivuli cha Israel tutaichakaza USA ikiwa hapohapo Israel
20241101_081309.jpg
 
Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Inashangaza Iran haoni hilo wakati mkuu Chitiva uko Mchambiawima na unalijua hilo😂
 
nyie ndo mnajua kuwa USA ndio anapigana au atapigana wkt Iran alishasema Makamanda wakuu wa jesh la marekani wapo Telaviv na ndio wanaendesha vita kwaniaba ya israel tena kitambo tu mwanzo mwanzo wa vita ya Gaza so Tunaposema Muairan amuogopi mmarekani sijui amuelewi au nyie ndio mnamuogopa mmerekani Iran kashachapa kambi za jeshl marekani kaitwa njoo kwenye vita na mm si wote umu mashaidi Tramp alikimbia vita. Iran kashafanya mengi kuiyatalisha Israel lkn wameufyata Wairan washawapigisha magoti na mikono juu wanajeshi wa marekani akuna nchi nyengine imewai fanya aya IRAN ndio anamtafuta uyo mmarekani lkn marekani akai kwenye mfumo anarukaruka IRAN anajua anapigana nanani ndio icho anakitaka akuna aja kuvaa koti la Israel inafanya waIsrael w mchamba wima leo matumbo joto mana muIran washamjua ni mtendaji mzuli ana maneno yeye ni kuchapa tu so sisi tunajua maumivi ya wapalestina ayaishi adi JOKAA KUUU life kwaiyo anavutwa aje kwani nyinyi amjui kinachoendelea marekani anaepigwa mtungo mchina mrusi muIran iyo Israel chambo tuuu someni vizuli picha. Anaetakiwa ni USA
Hivi vichekesho vinarushwa Chanel gani?
 
Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Duh kwahio wewe huku unaekaa mbagala maji matitu umeliona hilo kazi kwelikweli
 
Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Nanukuu: "Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel".
Ni sawa na Iran inavyovisaidia vikundi vya Hezbollah, HAMAS, Houthi n.k. ili vikundi hivyo vionekane ni wababe wa vita lakini Israel keshaliona hilo.
 
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Hahahaa ncheke kwanza.
Hilo tangazo limetoka Tel Aviv kama lilivyo likachapishwa Washington. Hapo Israel inaogopa kichapo kingine kutoka Iran kwa hivyo wanajidai USA katoa onyo. Iran haitishwi na USA wala Israel na kichapo kinakuja
 
Marekani ama Israel, hakuna anayeweza kuingia fullscale war na Iran. Huyu jamaa anamiliki siraha za nuclear NATO na washirika wengine wanalitambua Hilo.
Nani ambaye hamiliki hizo silaha!?
 
Back
Top Bottom