Marekani hatutakuwa na uwezo wa kumzuia Israel Tena iwapo Iran watashambulia

Marekani hatutakuwa na uwezo wa kumzuia Israel Tena iwapo Iran watashambulia

Israel hataniii anasubiri mtu ajitegeshe

Marekani tayari kapeleka B52 zakutosha hivyo ni swala la muda kabla kule hapajawaka
B52 kwenye modern war hazina nafasi labda wazipeleke Syria au Yemen huko ..kwanza lilivyokubwa unalitungua tu kwa nchi yenye missle capability kama Iran na ADs za maana
 
nyie ndo mnajua kuwa USA ndio anapigana au atapigana wkt Iran alishasema Makamanda wakuu wa jesh la marekani wapo Telaviv na ndio wanaendesha vita kwaniaba ya israel tena kitambo tu mwanzo mwanzo wa vita ya Gaza so Tunaposema Muairan amuogopi mmarekani sijui amuelewi au nyie ndio mnamuogopa mmerekani Iran kashachapa kambi za jeshl marekani kaitwa njoo kwenye vita na mm si wote umu mashaidi Tramp alikimbia vita. Iran kashafanya mengi kuiyatalisha Israel lkn wameufyata Wairan washawapigisha magoti na mikono juu wanajeshi wa marekani akuna nchi nyengine imewai fanya aya IRAN ndio anamtafuta uyo mmarekani lkn marekani akai kwenye mfumo anarukaruka IRAN anajua anapigana nanani ndio icho anakitaka akuna aja kuvaa koti la Israel inafanya waIsrael w mchamba wima leo matumbo joto mana muIran washamjua ni mtendaji mzuli ana maneno yeye ni kuchapa tu so sisi tunajua maumivi ya wapalestina ayaishi adi JOKAA KUUU life kwaiyo anavutwa aje kwani nyinyi amjui kinachoendelea marekani anaepigwa mtungo mchina mrusi muIran iyo Israel chambo tuuu someni vizuli picha. Anaetakiwa ni USA
Ilmu ya madrasa ipitiwe vizuri jomba hata kuandika tu shida ndo utaweza kuchambua ya mashariki ya mbali sheikhe?
 
Ilmu ya madrasa ipitiwe vizuri jomba hata kuandika tu shida ndo utaweza kuchambua ya mashariki ya mbali sheikhe?
Mimi ndio sheikhe!! Aya umejuaje we mjuzi mbili nyie ata amueleweki wadini ipi mana msikiti ukibomolewa mnashangilia heeee tena mzayuni akibomoa kanisa mnashangilia daaaa nyiwe wateule kweli mpo juu bwasheeee. Wacha tusubili promiss 3 uwekalibu na TV vitu LiVE. Afu msipoteee jamiii F tutawamiss wateule siku zimebaki sijui 2. Tukuone isiwe km ilivokuwa promis 2 mmepotea mazima. Jamiii metuachia sisi tunafungua jukwaa sisi tunafunga sisi nyie jehova mekimbia. Bhana,
 
Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Wao watulie waachie mbungi ipigwe ...
 
Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Unajuaje labda na yeye Iran anaitaka vita na Mmarekani?
 
Hawa Maayatola wachakazwe ili Amani irejee Mashariki ya kati.
 
Yani ninachopendea Marekani wana smart move sana halafu wanatumia akili nyingi wana anza kwanza ku analyse asali za vita hasara wakikuta watapata hasara kubwa hawagombani wanangoja ikipatikana chance tu tayari wanafanya yao, sio kama hao wengine wanataka wajioneshe wanaweza na Marekani hajawahi kufanya sifa za kuonyesha silaha,
Ni nani aliejua wakati wa vita ya pili ya dunia atakuwa na Atomic bomb,
US ni wa kuogopwa kabisa.
 
Iran ajiepushe na hii vita ya moja kwa moja
Hapo Israel anakusudia kumtia hasara kwa kushmbulia visima vya mafuta na lengo lao ni kushambulia vituo vya Nuke.
 
Wanafik hao, waseme wao hawatajizuia, game lao hilo wanawasukumia mashoga wenzao wa kizayuni wasiojiweza.

Mmerekani aingie yeye akapigane live, asikete unafik wake hapa.
Huyooo mtotooo....!
 
Israel bila msaada wa Marekani haiwezi kuishambulia Iran.
Hamas na Hezbollah wote hawa wanapigana kwa niaba ya Iran ila Israel akipigana kwa niaba ya Marekani inakuwa nongwa.
 
B52 kwenye modern war hazina nafasi labda wazipeleke Syria au Yemen huko ..kwanza lilivyokubwa unalitungua tu kwa nchi yenye missle capability kama Iran na ADs za maana
Wapi umewahi ona imetunguliwa?

Na unaelewa mazingira yapi hupelekea kupelekwa?
 
Vita ya Israel na Iran, inawezea ishia hiyo hiyo level. Kusema wanaingia kwenye full scal war ni ngumu
 
Level ya Iran labda NATO, Israel mdogo sana, anapigana na kikundi kidogo kama Hamas kwa mwaka mzima, hajakishinda, ataiweza nchi kweli?
Kupigana na vikundi vya kigaidi ni ngumu kuliko kuipiga nchi, Marekani waliwahi kufeli Somalia miaka ya 90, lakini jiulize Somalia kama nchi wabnaimudu US?
 
Back
Top Bottom