Weka ushahidi solid tuamini ulichoandika, vijana wengu kweye hili la Israel vs Iran mmegubikwa na ushabiki uliokithiri.Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Si ndio hapo sasa? 😂 Yaani Marekani aache kuizuia Israel isishambulie Gaza kuua wasio na hatia ije kuizuia isishambulie Iran?? SarcasmHivi we kiongozi uliyeandika Uzi huu unafikiria Nini??
Yaani marekan iwazuie Israel kufanya mashambuliz Iran na wawaruhusu kuyafanya Gaza??
Iran sio kama hao wengine, yaan wale ni viburi wenzao na hawaelew Chcht kama unavofikiria ww
Uzuri Iran ikijibu video zitasambaa sio wale mpaka watafuta vipicha uchwara vya satalaitiiran si ajibu tu sisi wanazi tunataka israel afute ayatollah na ushenz wake
Ndio wajibu tu israel hanaga mambo yakutangaza hayo mtajua wenyeweUzuri Iran ikijibu video zitasambaa sio wale mpaka watafuta vipicha uchwara vya satalaiti
Uomgo Israel hawawezi na marekani anajaribu kamakawaida yake ya propaganda hata yeye aingie mstari wa mbele kama alivyoingia gaza hatawezaMarekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Inashangaza Iran haoni hilo wakati mkuu Chitiva uko Mchambiawima na unalijua hilo😂Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Hawezi taka hyo vita..una jua iran ana mhonga marekani mafuta kiiasi gann ili abalance tu mambo..marekan mjanja mjanja anangata huku ana kausha vileUnajuaje labda na yeye Iran anaitaka vita na Mmarekani?
Hivi vichekesho vinarushwa Chanel gani?nyie ndo mnajua kuwa USA ndio anapigana au atapigana wkt Iran alishasema Makamanda wakuu wa jesh la marekani wapo Telaviv na ndio wanaendesha vita kwaniaba ya israel tena kitambo tu mwanzo mwanzo wa vita ya Gaza so Tunaposema Muairan amuogopi mmarekani sijui amuelewi au nyie ndio mnamuogopa mmerekani Iran kashachapa kambi za jeshl marekani kaitwa njoo kwenye vita na mm si wote umu mashaidi Tramp alikimbia vita. Iran kashafanya mengi kuiyatalisha Israel lkn wameufyata Wairan washawapigisha magoti na mikono juu wanajeshi wa marekani akuna nchi nyengine imewai fanya aya IRAN ndio anamtafuta uyo mmarekani lkn marekani akai kwenye mfumo anarukaruka IRAN anajua anapigana nanani ndio icho anakitaka akuna aja kuvaa koti la Israel inafanya waIsrael w mchamba wima leo matumbo joto mana muIran washamjua ni mtendaji mzuli ana maneno yeye ni kuchapa tu so sisi tunajua maumivi ya wapalestina ayaishi adi JOKAA KUUU life kwaiyo anavutwa aje kwani nyinyi amjui kinachoendelea marekani anaepigwa mtungo mchina mrusi muIran iyo Israel chambo tuuu someni vizuli picha. Anaetakiwa ni USA
Duh kwahio wewe huku unaekaa mbagala maji matitu umeliona hilo kazi kwelikweliKwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Unafikiri gas ipo Ghaza tu?Mpigwe tuu, tumechoka na vurugu zenu
Muhimu awe na uhakika wa kushindana, mbaya zaidi uzuoefu uliopo waarabu hushindwaUnajuaje labda na yeye Iran anaitaka vita na Mmarekani?
Nanukuu: "Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel".Kwasasa marekani inachofanya ni kuisaidia Israel na kujifanya haiisaidii ili sifa zote ziende kwa Israel.
Kamwe marekani na uingereza hawawezi kuiacha Israel idhalilike kinachonishangaza ni kwamba kwanini Iran hawalioni hilo
Hahahaa ncheke kwanza.Marekani imeionya Iran : “kwakweli hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia Israel wasifanye maajabu dhidi ya Iran endapo Iran wakithubutu kulipiza kisasi, tunajua na tunaelewa nini Israel walikuwa wamepanga na haikuwa kazi rahisi kuwazuia wasifanye hivo, wakati huu hatutakuwa na uwezo si tu wa kuwazuia Israel bali hata kuwashauri itakuwa ngumu”
Iran sio waarabu rudi shule kasome tenaMuhimu awe na uhakika wa kushindana, mbaya zaidi uzuoefu uliopo waarabu hushindwa
Nani ambaye hamiliki hizo silaha!?Marekani ama Israel, hakuna anayeweza kuingia fullscale war na Iran. Huyu jamaa anamiliki siraha za nuclear NATO na washirika wengine wanalitambua Hilo.
Itakua fresh,maana tel aviv itakua kama Gazamlitaka israel atumie rungu kuua mbu? Iran akishusha kitu kizito na yeye anashushiwa