Hili si suala la ushabiki wala kiimani. Uungwana siku zote ni kujitendea haki mwenyewe kwa kuukabili ukweli hata kama ni mchungu.
Sote ni wafu watarajiwa na kwa mola tutarejea. Hata ipo tofauti linapokuja suala la kurejeshwa na binadamu wengine, ndiyo maana kelele zinapigwa.
Rejea "Operation Plasma" ya MOSSAD kumhusu Mohamed al-Mabhouh kamanda wa HAMMAS, aliyeuwawa Dubai 19 January 2010:
The Dubai Operation: Mossad, Murderer & Mayhem in the Desert
Hiyo ni case moja yenye kufanana na nyingi za namna hiyo, zenye kuwahusisha Israel au Marekani.
Pattern ni hiyo hiyo kote, kila mmoja wa wawili hao akiguswa popote. Si vigumu kutambua iko kama sheria isiyo rasmi (rule of the thumb) kuwa:
"Ukimwua au kujaribu kumwua mwisrael au mmarekani au ukiyatishia mataifa yao au watu wao popote; tokea muda huo, tambua wewe ni mfu unayetembea, na watakuondoa."
Ya kwamba watakusaka pamoja kukuondoa wao duniani, bila kujali muda wala gharama. Ya kuwa kwenye hilo tangia mataifa yao yamekuwapo kwenye hilo hawajawahi kushindwa!
Yale yale ya akina Osama bin Laden, Mula Omari, General Farrah Aideed, Saddam Hussein, Muamar Gaddafi nk.
Angetoboa Haniyeh, Nasrallah au Sinwar? Watatoboa Ali Kamenei, yule wa Houthi, au nani?
Kwa sababu mataifa wawili hawa kwenye haya ya kutishiana nyau ni wamoja, ziko namna mbili tu za kushughulika nao kwa mafanikio:
1. Kusalimu amri kama UAE, Saudi Arabia nk yaishe kama unataka kuishi. Au:
2. Kupambana nao relentlessly bila pause ukafe mkipigana, kama ni nia yako japo kuwagawia nao maumivu ya kutosha kwa kadri iwezekanavyo.
Hili la pili ndipo alipokosea Hezbollah na ndipo anapokosea Iran kwani hawako tayari kusalimu amri. Ni wazi wamekuwa tayari kufa lakini wame "pause" na sasa cha mbwa koko kitawakuta.
Kwamba watapigwa surprise? Kwa hakika lile la aina ya "pagers na walkie talkies" si muda mrefu litawakuta Iran.
Kumbe kipi kipo salama nao chenye technolojia yoyote ya mmarekani? Ni TVs, computers, magari au gadgets zozote zenye chipsets zozote zenye lolote na wamarekani?
Kutowatokea wote wawili hawa bila kukoma (in hot pursuit) na kuwapelekea moto vilivyo sasa, yatamkuta Iran kama ya Hezbollah, asishangae hatakuwa na uwezo hata kurusha ngumi.
Alipoletewa moto rasmi Hezbollah, maelfu ya wapiganaji wake walikuwa tayari ni mahututi hosipitalini: vipofu, mikono hamna, miguu hamna, matumbo yamefumuliwa, nk.
Kwamba Hezbollah alianzishiwa vita rasmi, makamanda wote wakuu wakiwa marehemu na hawezi kutumia vifaa vyovyote vya mawasiliano.
Haihitaji macho ya kinabii kumwona Iran naye yulee ..., kama Hezbollah au kama kuku bandani akisubiria zamu yake ya kuchinjwa!
"Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu ."
Sote ni wafu watarajiwa na kwa mola tutarejea. Hata ipo tofauti linapokuja suala la kurejeshwa na binadamu wengine, ndiyo maana kelele zinapigwa.
Rejea "Operation Plasma" ya MOSSAD kumhusu Mohamed al-Mabhouh kamanda wa HAMMAS, aliyeuwawa Dubai 19 January 2010:
The Dubai Operation: Mossad, Murderer & Mayhem in the Desert
Hiyo ni case moja yenye kufanana na nyingi za namna hiyo, zenye kuwahusisha Israel au Marekani.
Pattern ni hiyo hiyo kote, kila mmoja wa wawili hao akiguswa popote. Si vigumu kutambua iko kama sheria isiyo rasmi (rule of the thumb) kuwa:
"Ukimwua au kujaribu kumwua mwisrael au mmarekani au ukiyatishia mataifa yao au watu wao popote; tokea muda huo, tambua wewe ni mfu unayetembea, na watakuondoa."
Ya kwamba watakusaka pamoja kukuondoa wao duniani, bila kujali muda wala gharama. Ya kuwa kwenye hilo tangia mataifa yao yamekuwapo kwenye hilo hawajawahi kushindwa!
Yale yale ya akina Osama bin Laden, Mula Omari, General Farrah Aideed, Saddam Hussein, Muamar Gaddafi nk.
Angetoboa Haniyeh, Nasrallah au Sinwar? Watatoboa Ali Kamenei, yule wa Houthi, au nani?
Kwa sababu mataifa wawili hawa kwenye haya ya kutishiana nyau ni wamoja, ziko namna mbili tu za kushughulika nao kwa mafanikio:
1. Kusalimu amri kama UAE, Saudi Arabia nk yaishe kama unataka kuishi. Au:
2. Kupambana nao relentlessly bila pause ukafe mkipigana, kama ni nia yako japo kuwagawia nao maumivu ya kutosha kwa kadri iwezekanavyo.
Hili la pili ndipo alipokosea Hezbollah na ndipo anapokosea Iran kwani hawako tayari kusalimu amri. Ni wazi wamekuwa tayari kufa lakini wame "pause" na sasa cha mbwa koko kitawakuta.
Kwamba watapigwa surprise? Kwa hakika lile la aina ya "pagers na walkie talkies" si muda mrefu litawakuta Iran.
Kumbe kipi kipo salama nao chenye technolojia yoyote ya mmarekani? Ni TVs, computers, magari au gadgets zozote zenye chipsets zozote zenye lolote na wamarekani?
Kutowatokea wote wawili hawa bila kukoma (in hot pursuit) na kuwapelekea moto vilivyo sasa, yatamkuta Iran kama ya Hezbollah, asishangae hatakuwa na uwezo hata kurusha ngumi.
Alipoletewa moto rasmi Hezbollah, maelfu ya wapiganaji wake walikuwa tayari ni mahututi hosipitalini: vipofu, mikono hamna, miguu hamna, matumbo yamefumuliwa, nk.
Kwamba Hezbollah alianzishiwa vita rasmi, makamanda wote wakuu wakiwa marehemu na hawezi kutumia vifaa vyovyote vya mawasiliano.
Haihitaji macho ya kinabii kumwona Iran naye yulee ..., kama Hezbollah au kama kuku bandani akisubiria zamu yake ya kuchinjwa!
"Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu ."