Marekani: Ndani ya siku 100 tu deni la taifa la Marekani lafikia $35 trillion kutoka $34 trillion

Marekani: Ndani ya siku 100 tu deni la taifa la Marekani lafikia $35 trillion kutoka $34 trillion

Debt ceiling is a political problem, not an economic problem.

Hakuna hata haja ya kuwa na debt ceiling, it is something uniquely American. Wamejiwekea wenyewe speed governor.

Ndiyo maana huwezi kusikia mzozo wa debt ceiling Uingereza au Japan.
Acha kuzingua, unadhani Kwa nini kunakuja ulazima wa kuongeza debt ceiling?
 
Acha kuzingua, unadhani Kwa nini kunakuja ulazima wa kuongeza debt ceiling? Jibu ni kwamba hakuna hela za kulipa madeni yaliyoiva.
Hapana.

Hili ni tatizo la kifalsafa kati ya wale wenye mawazo ya kizamani kwamba hela zitaisha, au tutawarithisha madeni mengi vizazi vijavyo na wale wanaosema kuwa ukiwa una control ya pesa, hakuna tatizo hilo.

Ungemsoma Paul Krugman ungeona kuwa deni la Marekani hata kulipika linalipika kwa kuwa na kodi ndogo tu ambayo Wamarekani wanaweza kuilipa, tatizo ni siasa, Republicans hawataki kuongeza kodi.

Yani hao hao watu wanaojifanya hawataki deni, ukiwapa mpango wa kulipa deni kwa kuongeza kodi kidogo tu, hawataki kulipa kodi.

Tatizo la deni Marekani ni la kisiasa, si la kiuchumi.

Paul Krugman kaandika vizuri sana.

Tatizo Watanzania hamtaki kusoma.
 
Hapana.

Hili ni tatizo la kifalsafa kati ya wale wenye mawazo ya kizamani kwamba hela zitaisha, au tutawarithisha madeni mengi vizazi vijavyo na wale wanaosema kuwa ukiwa una control ya pesa, hakuna tatizo hilo.

Ungemsoma Paul Krugman ungeona kuwa deni la Marekani hata kulipika linalipika kwa kuwa na kodi ndogo tu ambayo Wamarekani wanaweza kuilipa, tatizo ni siasa, Republicans hawataki kuongeza kodi.

Yani hao hao watu wanaojifanya hawataki deni, ukiwapa mpango wa kulipa deni kwa kuongeza kodi kidogo tu, hawataki kulipa kodi.

Tatizo la deni Marekani ni la kisiasa, si la kiuchumi.

Paul Krugman kaandika vizuri sana.

Tatizo Watanzania hamtaki kusoma.
Kwa nini Debt ceiling iliongezwa? Kwa nini Wasiongeze Kodi kama deni linalipika? Kwani Nchi ambazo kuketokea sintofahamu ya Kisiasa kama Kenya shida ilikuwa ni nini kama sio kuongeza Kodi za kulipa madeni baada ya kufikia Ukomo wa debt ceiling?
 
Kwa nini Debt ceiling iliongezwa? Kwa nini Wasiongeze Kodi kama deni linalipika? Kwani Nchi ambazo kuketokea sintofahamu ya Kisiasa kama Kenya shida ilikuwa ni nini kama sio kuongeza Kodi za kulipa madeni baada ya kufikia Ukomo wa debt ceiling?
Mkuu,

Mbona unauliza swali ambalo jibu lake lipo katika ulichonukuu?

Unanipa shaka kwamba hata mimi unanisoma.

Unauliza kwa nini hawaongezi kodi wakati nimeshakujibu kwamba Republicans mitizamo yao ya kisiasa haipendi kuongeza kodi na wao ndio wanaoblock mazungumzo ya kuongeza kodi kwenye Congress? Kifalsafa tu.

This is primarily a political problem, not primarily an economic problem.
 
BREAKING: US public debt has jumped $345 billion over the last 3 days hitting another record of $35.7 trillion.

Since June 2023, federal debt has surged by a MASSIVE $4 trillion, or 14%.

Over the same time period, US GDP is up just $1.5 trillion, or ~6%.
 
Back
Top Bottom