Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

Nasubiri zile kauliza Israel anauwa wanawake na watoto wasio na hatia
 
Acha waanze afu wakifuatwa sasa tupate kivimba tena
All the best 🇮🇱🇮🇱
 
Muda wa bunker buster kuingia mzigoni umewadia.

Mito ya pombe na mabikra 72 waongezwe huko jehanamu
 
Aisee niko hapa Chekereni nimeziona kweli sema kamera yangu haipo vizuri sana

 
Zimesharushwa, ngoja wafanye accessment ya madhara watoe taarifa ya next movie. Inawezekana Tehran ikapigwa pale panapouma sana
 
End
Nasubiri zile kauliza Israel anauwa wanawake na watoto wasio na hatia
Endelea kupigwa propaganda na mashog,a Israel wakati wanaume wanatenda tu.

Hapo Gaza anahangaika na wanamgambo ambao hawana hata kifaru kimoja wala ndege vita lakini moto wanaowashiwa ni balaa hadi anashindwa ashike lipi.
 
Breaking | Hundreds of Iranian rockets are striking Israeli occupation settlements and military sites across Israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…