..kazi anafanya au hafanyi..hizo hela anapewa bure? Lkn ana utu hata km analipwa, si rahisi kuhatarisha uhai wako kwa kutetea ubinadamu, kazi ziko nyingi angeweza kufanya kazi nyingine na bado akalipwa!Kwa jicho la kawaida unaona anashare maumivu na wewe, funguwa jicho la tatu uone wired funds zinazoingia kwenye account yake kutoka kwa mabeberu.
4R hawakuweza kuzitumiaMjumbe wa kamati kuu ya Chadema Godbless Lema amemfariji Maria Sarungi kupitia ukurasa wake wa X kutokana na Maria kushindwa kufika katika msiba wa baba yake
“Nimekusikiliza ukiongea kwa njia ya mtandao wakati wa salamu za rambi rambi ukiwa mbali na halaiki iliyokuja kumuaga baba yako Prof Sarungi hapa Karimjee Hall. Naelewa maumivu yako sana tu , usalama wako ni muhimu na hauwezi kuupuuza. Nafsi yako itakuwa inaumia sana. Jipe Moyo Mkuu sana kwani hatuna muda mrefu sana kufika ktk hatua muhimu ya mabadiliko.” - Godbless Lema
Yapi maoni yako
Ubongo wako hauna tofauti na nyumbu wa Manyara. Kuna siku yatakupata ndiyo ujinga utakutoka.Tujifunze kuheshimu mamlaka Ili tuishi kwa amani.
Nimeandika Kuheshimu sio kuogopa.
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Godbless Lema amemfariji Maria Sarungi kupitia ukurasa wake wa X kutokana na Maria kushindwa kufika katika msiba wa baba yake
“Nimekusikiliza ukiongea kwa njia ya mtandao wakati wa salamu za rambi rambi ukiwa mbali na halaiki iliyokuja kumuaga baba yako Prof Sarungi hapa Karimjee Hall. Naelewa maumivu yako sana tu , usalama wako ni muhimu na hauwezi kuupuuza. Nafsi yako itakuwa inaumia sana. Jipe Moyo Mkuu sana kwani hatuna muda mrefu sana kufika ktk hatua muhimu ya mabadiliko.” - Godbless Lema
Yapi maoni yako
Hatari sana.
The day is coming, and you will regreat!A self-inflicted problem. She would have buried her father if she had respected the authority or criticized it respectfully.
Wewe ndiye utazoea hapo hapo Bongo, siku si nyingi.huyo bwege hawezi kuwa mtoto wa mzee mstaarabu km Prof. Sarungi. Litoto lidogo linamtukana Rais wa nchi yake? Babake alishawahi kumtukana nani? Akaozee huko Kenya, pumbavu.
Halafu huyu Mzee kazikwa Dar badala ya kwao Tarime kwenye makaburi ya wazazi na ndugu zake, tukisema watu wawe wanakumbuka kwao wakiwa hai hayo ndio matatizo mtu na heshima zote unazikwa makaburi ya jumuia utadhani huna kwenu, watu wa Mara mbona hivyo? muwe mnakumbukwa makwenu Dar sio kwenu! Pia ni muhimu kuoa mke mnayetoka wilaya/mkoa mmoja.Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Godbless Lema amemfariji Maria Sarungi kupitia ukurasa wake wa X kutokana na Maria kushindwa kufika katika msiba wa baba yake
“Nimekusikiliza ukiongea kwa njia ya mtandao wakati wa salamu za rambi rambi ukiwa mbali na halaiki iliyokuja kumuaga baba yako Prof Sarungi hapa Karimjee Hall. Naelewa maumivu yako sana tu , usalama wako ni muhimu na hauwezi kuupuuza. Nafsi yako itakuwa inaumia sana. Jipe Moyo Mkuu sana kwani hatuna muda mrefu sana kufika ktk hatua muhimu ya mabadiliko.” - Godbless Lema
Yapi maoni yako
Kwani ukizikwa kwenye makaburi ya umma kuna ubaya gani?Halafu huyu Mzee kazikwa Dar badala ya kwao Tarime kwenye makaburi ya wazazi na ndugu zake, tukisema watu wawe wanakumbuka kwao wakiwa hai hayo ndio matatizo mtu na heshima zote unazikwa makaburi ya jumuia utadhani huna kwenu, watu wa Mara mbona hivyo? muwe mnakumbukwa makwenu Dar sio kwenu! Pia ni muhimu kuoa mke mnayetoka wilaya/mkoa mmoja.
Wabongo bwana, kwahiyo ulikua pembeni ya Mzee wake kipindi anatoa maelekezo?Katekeleza maelekezo, Baba yake alimwambia hata akifa asikanyage kwenye mazishi yake
Muongo anaokopa kuwa mbali nabwana wake hanahathari yoyote kwautawala huu nanianahabari nayeye aache uongo naujingaMjumbe wa kamati kuu ya Chadema Godbless Lema amemfariji Maria Sarungi kupitia ukurasa wake wa X kutokana na Maria kushindwa kufika katika msiba wa baba yake
“Nimekusikiliza ukiongea kwa njia ya mtandao wakati wa salamu za rambi rambi ukiwa mbali na halaiki iliyokuja kumuaga baba yako Prof Sarungi hapa Karimjee Hall. Naelewa maumivu yako sana tu , usalama wako ni muhimu na hauwezi kuupuuza. Nafsi yako itakuwa inaumia sana. Jipe Moyo Mkuu sana kwani hatuna muda mrefu sana kufika ktk hatua muhimu ya mabadiliko.” - Godbless Lema
Yapi maoni yako
Samia Leo alikua na mikutano ya kamati kuu na halmashauri kuu ya CCM ulitakaje mkuu aache kuiongoza? Mbona viongozi wengi wa chama na serikali waliopo na wastaafu waneshiriki au ulitakaje? Maria anaposema sababu za Kiusalama amefanya nini kinachomfanya aogope mbona watu wapo na wanaendesha harakati zao?Liwe liwalo Sarungi hawezi kumkana mwanae kisa tu ishu za kupakazana.
Sarungi kama hujui aliishia kuwa masikini na Maria ndiye alikuwa anampa huduma zote.
Kisa cha Maria kutokuja Tanzania ni Samia na kwa hili Samia nimezidi kumuona hafai. Sarungi alikuwa mtumishi wa umma kwa miaka mingi. Unashindwa vipi kutambua kifo chake?
Sarungi hakuwahi kuhasi CCM kama kina Sumaye na Lowassa, mbona wao wanaheshimika licha ya kutaka CCM ianguke mwaka 2015? Samia kilichomkaa kooni ni chuki na kilichomshinda Maria kuja ni ishu za usalama!
Yule ameshaandaliwa mpaka mashtaka. Unataka aje ili ashikiliwe mahabusu bila dhamana kama walivyofanyiwa wengine?
Tujifunze kuheshimu mamlaka Ili tuishi kwa amani.
Nimeandika Kuheshimu sio kuogopa.
Tujifunze kuheshimu mamlaka Ili tuishi kwa amani.
Nimeandika Kuheshimu sio kuogopa.
Ana akaunti twitter anapost vitu vingi tu vingine hata maana havina. NimemalizaSamia Leo alikua na mikutano ya kamati kuu na halmashauri kuu ya CCM ulitakaje mkuu aache kuiongoza? Mbona viongozi wengi wa chama na serikali waliopo na wastaafu waneshiriki au ulitakaje? Maria anaposema sababu za Kiusalama amefanya nini kinachomfanya aogope mbona watu wapo na wanaendesha harakati zao?
Roho mbaya, ukosefu wa hekima ni vitu vinavyomsumbua huyo muungwana.Kwani ukizikwa kwenye makaburi ya umma kuna ubaya gani?
Akili gani hizo wewe?
Hapo una insinuate kwamba marehemu hajazikwa huko alikozaliwa/ alikotokea kwa sababu hakuwa na chochote!
Yote hayo wewe umeyajuaje?
Hoja yako ni nini?Ndugu mbona msibani wameongea bila kuficha kuwa Maria Sarungi hakuchangia hata mia msiba wa baba yake
Kwa kabila la Proffessor Sarungi haikubaliki
Ok sawa hakuja kwa nini hakuchangia mchango wa hela wa msiba na mazishi ya baba yake ? Msiba vikao vimekaa toka Afariki kukusanya michango yeye hajatoa hata mia
Asilete porojo na michango aliogopa kutoa?
Hajamtendea haki baba yake marehemu
Lema sio msemaji wa familia
Familia wanalalamika maria Sarungi hajatoa hata mia shughuli ya mazishi ya baba yake
Angekuja kufanya nini?
Nduguye mmoja akasema Maria Sarungi alipoambiwa aje Tanzania kumzika baba yake akajibu kwa jeuri kuwa wamtumie nauli nduguye akauliza sisi tutoe wapi pesa za wewe kuja? akasema kwenye michango ambayo Viongozi wa CCM na CCM na serikali na Jeshi alikokuwa waziri.ambao wamechangia msibani
Nduguye akakata simu kwa hasira
Unaongea kama umetoka mirembe janaKOSA KUBWA ALOFANYA NI HILI LANKUTOHUDHURIA.
ALITAKIWA AFIKE, WAMKAMATE, DUNIA IENDELEE KUJIONEA.
Chadema mlishasema hamfi na hamziki ma CCM. Anatekeza msimamo wa chama.
Hivi angepost huo msiba si ajabu pia mngemkosoa au kusema anajipendekeza maana wenyewe huko Twitter akina Maria wanaita spana!! Ndo Yale watani zangu wamakonde wanasema ukikaa nchale ukisimama nchale!!Ana akaunti twitter anapost vitu vingi tu vingine hata maana havina. Nimemaliza