'Of course' hatuwezi kuwa "waigaji" siku zote, sasa niambie tuanze kuhimiza waje waige nini, kutekana, kuvunja sheria tunazotunga sisi wenyewe, n.k..?Wewe mtoa mada kwani ni lazima kila siku sisi ndo tuwe watu wa kuiga, kwani na hao unaowasema hawawezi kuja kuiga huku?.Nadhani ifike wakati na sisi tujione kiwa tunaweza kifanya jambo letu na likaigwa na tuondokane na hizo fikra za kitumwa.
ACHA chuki,, Mama ni RaisKinachoendelea ni wanasiasa kuungana kuwakandamiza wananchi.
Tukatae huu usanii unaoendelea maana sisi ndio tunaopoteza zaidi.
Kwani hakuna wa kuzungumzia hali ngumu za wananchi katika mazingira haya ambayo wote ni kitu kimoja.
Siasa ni biashara na mtaji ni bavicha. Mbowe kishakunja bilioni za ruzuku
Tungekuwa na ubunifu wa kiasi hicho unachokifikiri wewe hapa tungekuwa mbali sana kama nchi kimaendeleo.
Lakini najua uliyoandika hapa ni kama unajazia nafasi tu.
Unajichanganya sana mkuu, katika andiko lako hili, ambalo umetumia "kisheria", sijui mara ngapi katika andiko fupi kama hili.
Ni "sheria" ipi iliyohalalisha uchaguzi na matokeo ya uchaguzi uliofanyika?
Lakini ngoja nirudi mwanzo wa andiko lako.
Unaniuliza "kwa nini ninataka tuige wazungu...", kwani ni mambo mangapi tunawaiga hao wazungu, hili kweli linaweza kuwa swali la kumuuliza mtu ajibu?
Kwa kuwa unaonekana kupenda sana mambo ya "sheria", nikuulize wewe, kwa nini CCM isifuate sheria, kama hao Democrats wanavyofuata sheria kwa kutowanyima haki zao wapinzani?
Kwa hiyo, unaposema "...mazingira yetu hayafanani...", maana yake sisi hatupashwi kufuata sheria tunazoiga kutoka kwa hao wazungu? Tumetunga sheria zetu wenyewe hapa, lakini hatuzifuati hizo sheria, sasa unadai ni mazingira yetu ndiyo yanayotufanya tukaidi kuzifuata?
Hata upende ku'spin' vipi kuhusu maamuzi ya CHADEMA wakati huu, haiwezekani kamwe kuondoa msukumo wa manufaa kwao katika kuingizwa kwao kwenye chaka nene hili waliloingizwa na Samia, kwa ufundi mkubwa sana wa Kinana, na pengine Kikwete.
Duh!Maridhiano imekuwa nongwa. Mnataka siasa za watu wasiojulikana
Ninakusikiliza wewe mkuu, lakini dalili zote zinaonyesha CHADEMA iliyohimiri zile "risasi" haipo tena; ishateketezwa na njia mbadala ambazo hazikuhitaji matumizi ya risasi.CHADEMA sivyo unavyodhani. Risasi zilishindwa sembuse maridhiano ambayo muda wowote tunaweza jitoa.
Duh!
Ni wapi umesoma nikihimiza hayo mkuu?
Kwani hatuwezi kufanya siasa bila huko kutekana na mambo mengine yasiyofaa?
Kwa hiyo kwa mtizamo wako ni kwamba "maridhiano" kazi yake kubwa ni kuondoa tu hao watu "wasiojulikana"?
Kwani hakuna mambo mengi makubwa zaidi ya hilo?
Ninakusikiliza wewe mkuu, lakini dalili zote zinaonyesha CHADEMA iliyohimiri zile "risasi" haipo tena; ishateketezwa na njia mbadala ambazo hazikuhitaji matumizi ya risasi.
Kuna watu mafundi sana wa mambo haya, kwa hiyo usije ukashangaa ukiona mwisho wa siku ile CHADEMA uliyokuwa ukiifahamu haipo tena.
Kama ni biashara basi anzisha na ww ili ufaidiSiasa ni biashara na mtaji ni bavicha. Mbowe kishakunja bilioni za ruzuku
Sioni jinsi gani "Mama angekaza", na zaidi ya hayo, usinifanye nionekane kana kwamba ninapinga hayo "maridhiano".Naona ni Kama una wasiwasi na mrengo wa Chadema ndio nikauliza ulitaka CHADEMA wafanyeje. Mama mwenyewe kasema anapata Upinzani huko CCM hata kuruhusu mikutano ilikuwa kazi. Ina maana CHADEMA wangekaza na CCM pamoja na serikali wangekaza na mwisho wa siku unajua kingetokea Nini.
Anzisha na ww Chadema Yako wawe wanakutiiNyie bavicha kuna mnalolijua zaidi ya kukubali kila anachokisema mwenyekiti??
Anzisha chama chako ili ukaze hizo nati mkuuSawa Kabisa.
Sasa swali ni hilo la CHADEMA kwenda tena kuungana na watu hao, badala ya kukaza nati ili nasi tuondokane na hiyo hali mbovu.
Ni kipi kinachowaingiza CHADEMA kwenye mtego wa kwenda kuendeleza hayo maovu?
Dah!CHADEMA hunadilika na mazingira. Kumbuka watu wengi waliihama CHADEMA wakati wa shida kuanzia Viongozi, wabunge mpaka wanachama wa kawaida. Maana ilikuwa dhambi kujihusisha na CHADEMA. Ila leo, Rais wa nchi na TBC wanaipa airtime BAWACHA kwenye mkutano wao.
Sawa Kabisa.
Sasa swali ni hilo la CHADEMA kwenda tena kuungana na watu hao, badala ya kukaza nati ili nasi tuondokane na hiyo hali mbovu.
Ni kipi kinachowaingiza CHADEMA kwenye mtego wa kwenda kuendeleza hayo maovu?
Vyama vya siasa vikimalizwa kwa siasa za mazungumzo na maridhiano ni sawa kabisa na hiyo ni sehemu ya demokrasia, ila sio kwa hofu na vitisho vya risasi, utekaji, unyang'anyi na njia nyingine haramu za binadamu wasiostaarabika.Sioni jinsi gani "Mama angekaza", na zaidi ya hayo, usinifanye nionekane kana kwamba ninapinga hayo "maridhiano".
Nilicho wasiwasi nacho ni matokeo ya hayo "maridhiano" yanayoonekana kuimaliza CHADEMA.
Wewe mkuu unaona CCM iko sawa kama ilivyo kimkakati ila CHADEMA ndio inatakiwa “ikaze” kutoruhusu dhulma na udhalimu inaotendewa na CCM (irrespective of the president in office). Sawa?Tungekuwa na ubunifu wa kiasi hicho unachokifikiri wewe hapa tungekuwa mbali sana kama nchi kimaendeleo.
Lakini najua uliyoandika hapa ni kama unajazia nafasi tu.
Kwa hili niwapongeze sana CHADEMA.. Nisiwe na maneno mengi muda utasemaKama hii ndiyo kweli, basi inakulazimu uwe na wasiwasi mkubwa sana kwa kumfanya CCM kuwa ndiye "mtekelezaji."
Akikataa kutekeleza utamfanya kitu gani?
Atakupotezea muda, na mwisho wa siku utaambulia ukoko tu.
Msome vizuri umwelewe Mwenyekiti wa CCM. Yeye anahotuba za visentensi vifupifupi tu, na hana maneno mengi sana.
Jitahidi umsome/umsikilize vizuri. Hana makuu mama wa watu, na wala hazungushi zungushi sana ukimsikiliza kwa makini.
Nenda karejee hotuba yake, kwa mfano ile ya leo.