pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Mauzo ya Tecno na Infinix yamepanda sana sijui kuna ubunifu gani wamefanyaKama umefuatilia vizuri utagundua hujajibu hoja za mauzo ya iphone kushuka na kuwakata asilimia 30 developers ila umeishia kumshambulia yeye binafsi na bidhaa zake bila kujibu hoja.
Apple kazi yao si kuja na vipya au ugunduzi, kazi ya Apple huwa ni kuboresha zaidi vitu ambavyo wengine hawajaviboresha au wameshindwa.Mpaka sasa hakuna search engine ambayo imeweza kuipiku Google, hakuna search engine inayotengeneza pesa kuliko Google yet bado watu wanasema Google search engine kwa sasa haina jipya inaenda kupoteza watumiaji.
Same to Facebook ndiyo maana anapambana kununua apps nyingine kama alivyonunua instagram na whatsapp.
Ni kweli kuwa kwa sasa uzinduzi wa iPhone hauna vitu exciting sana kama ilivyokuwa hapo awali. Zama zile ilipokuwa ikitolewa iPhone mpya, unaona kweli kuna vitu vipya sana. Now days mostly it;s about cameras, now naona na AI japo hata wakati wa uzinduzi wa iPhone 16 AI features zilikuwa ni promises hazikuzinduliwa nayo.
Hata Samsung hawana jipyaHayo makopo sijawahi yaelewa,mi samsung, Nokia
Apple walichofanikiwa ni kuleta changes kwenye mobile computing baada ya kuleta iphones na iPad. Nitawaheshimu zaidi kwa hilo ila kabla yao Laptop zilikuwepo, Desktop zilikuwepo pamoja na Smart Gadgets za HP zinazo run on Windows na baadhi ya simu zilzokuwa zina run on Symbian OS.Kwenye suala la uvumbuzi huwezi linganisha Apple Inc na Meta.
Apple wameanzisha trends za vitu vingi sana na phone/computer companies wakiwemo Samsung wanaigiliza...
Apple wameleta mapinduzi makubwa na kui shape 21st century...
Nakubaliana na wewe, lakini tukiri wameleta mapinduzi.Apple walichofanikiwa ni kuleta changes kwenye mobile computing baada ya kuleta iphones na iPad. Nitawaheshimu zaidi kwa hilo ila kabla yao Laptop zilikuwepo, Desktop zilikuwepo pamoja na Smart Gadgets za HP zinazo run on Windows na baadhi ya simu zilzokuwa zina run on Symbian OS.
Ndiyo sasa huo uboreshaji umepungua kwa sasa. Mimi ni mpenzi wa apple products and ecosystem but hivi karibuni uzinduzi wao hauna vitu exciting kama ilivyokuwa nyuma. Japo kwa upande wa computer ile mac min waliyotoa juzi ya bei chee ni bidhaa ambayo imenivutia mno.Apple kazi yao si kuja na vipya au ugunduzi, kazi ya Apple huwa ni kuboresha zaidi vitu ambavyo wengine hawajaviboresha au wameshindwa.
Kama ni mfuatiliaji utagundua hilo.
Mapinduzi walioleta ni kupitia iOS ila pia usisahau kuna Androids. Hawa wote wawili wamepindua meza kwenye mobile computing. Sahizi mimi nina laptop ila naweza nisiiwashe hata mwezi mzima kila kitu namalizia kwa phone.Nakubaliana na wewe, lakini tukiri wameleta mapinduzi.
Kwani mgundizi wa type C ni Samsung? By the way wakati Samsung anatengeneza simu za tochi pia alikuwa ni mtengenezaji wa vifaa vya Apple.Tayari na chaja zao zinaingiliana na type C za Samsung.
Hivyo wamekuja na camera?!
Lakini still google messaging app inasupport encryption same to samsung messaging app. So kwanini kama ni encryption app asingeimplement hiyo kwenye rcs?RCS ni complex na inaweza kutuma medias na files, hivyo attacker uwanja mpana zaidi ku attack kuliko sms ya kawaida...
In short RCS ni hatari kuliko simple sms...
simple as that..
Kuna kitu kinaitwa USB Implementers Forum (USB-IF) ambayo inahusisha makampuni mengi yanayotengeneza bidhaa ikiwemo Apple, Intel, Microsoft, HP, Dell na wengine. Hawa ndiyo huja na standard za USB. Hivyo type c si standard ya samsung wala invention ya samsung.Kwani mgundizi wa type C ni Samsung? By the way wakati Samsung anatengeneza simu za tochi pia alikuwa ni mtengenezaji wa vifaa vya Apple.
Japo tukiri Apple ameleta chachu kwa companies nyingine za software/hardware wapambane zaidi na kuboresha products zao.Mapinduzi walioleta ni kupitia iOS ila pia usisahau kuna Androids. Hawa wote wawili wamepindua meza kwenye mobile computing. Sahizi mimi nina laptop ila naweza nisiiwashe hata mwezi mzima kila kitu namalizia kwa phone.
Sema kuna jambo moja nakubaliana nawe mkuu, RCS baina ya imessages na app zingine haina end to end encryption, end to end encryptiion ni baina ya google messages au google messages na samsung messaging app.Apple kazi yao si kuja na vipya au ugunduzi, kazi ya Apple huwa ni kuboresha zaidi vitu ambavyo wengine hawajaviboresha au wameshindwa.
Kama ni mfuatiliaji utagundua hilo.
Kabisa mkuu ni kama wale wanaonunua saa za hundred thousands of dollars kwa prestige tu.When your customers buy your product based on PRESTIGE, you don't have to worry about being INNOVATIVE.
RCS by default haiji na features za end-to-end, kama ya google ipo coded na Kotlin au Java, iOS haitumii Kotlin ama Java, hapo itawabidi waanze ku code hizo features kwa swift ama Objective C from scratch...Lakini still google messaging app inasupport encryption same to samsung messaging app. So kwanini kama ni encryption app asingeimplement hiyo kwenye rcs?
Tunarudi pale pale kwenye rcs apple alikuwa anatumia hoja ya security kuwa monopoly. RCS inasupport encryption google kaimplement kwenye messaging app yake same to samsung na simu nyingi za android kwa rcs wanatumia app ya google message.
Likes unazifanyia kazi gani?Samsung users gonga like hapa 👍
Yeah! Sasa jamaa alilisema as if Apple anamuiga Samsung. Ninachofahamu mimi ni kuwa Apple kuingia type- C imemlazimu kutokana na sheria zilizowekwa na European Commission lakini sio kwa kuishiwa teknolojia.Kuna kitu kinaitwa USB Implementers Forum (USB-IF) ambayo inahusisha makampuni mengi yanayotengeneza bidhaa ikiwemo Apple, Intel, Microsoft, HP, Dell na wengine. Hawa ndiyo huja na standard za USB. Hivyo type c si standard ya samsung wala invention ya samsung.
But kwakuwa inakuwa ndiyo messaging standard, umoja wa ulaya umemlazimisha basi hayo yatatekelezwa hana namna. Sheria za Umoja wa Ulaya zimemlazimu apple kutekeleza mengi ambayo asingeyatekeleza.RCS by default haiji na features za end-to-end, kama ya google ipo coded na Kotlin au Java, iOS haitumii Kotlin ama Java, hapo itawabidi waanze ku code hizo features kwa swift ama Objective C from scratch...
Hio ni kazi ingine..